Mwakyembe awatega wabunge CHADEMA, awaambia wakitaka ukweli warudishe hoja ya Richmond Bungeni

Mwakyembe awatega wabunge CHADEMA, awaambia wakitaka ukweli warudishe hoja ya Richmond Bungeni

Huyu ndo alikuwabwazirinwa katiba na sheria na akaanzisha mahakama ya mafisadi. Kweli nimeoa kwa wanyakyusa sasa wanasababisha nikae kwa akili zaidi na my wife na wakwe zangu.

Mahakama ya Mafisadi ni chombo cha serikali. Ufisadi ni Jinai. Yu wapi Jamhuri ashitaki watuhumiwa?
 
Ufisadi wa jpm unaojaribu kutuaminisha hapa ni porojo ambazo ukiambiwa uthibitishe hutaweza, lakini kwa lowasa ni tofauti.......kamati teule ya bunge ilimwaga ushahidi wote ya ufisadi wake!

Muulize kwa nini amehamishia kile kivuko cha mwaka 1928 jeshini akikupa jibu njoo.
 
Lakini kama Wapinzani si wairudishe hiyo Hoja tu Mjadala uanze upyaa..!!??
Hili suala la nani na nani hawatapona lisikutie hofu.

Issue hapo siyo MJADALA kurudi,kama evidence zipo Bungeni siyo Mahakamani ,wapeleke Mahakama za Mafisadi si wameianzisha??Wanaogopa nini??

Tena wapeleke zote mpaka ile ya Bilioni nane kununua kivuko hewa,escrow na Lugumi.Ningependa kujua ukweli na ukweli utapatikana Mahakamani ambako evidence zitatolewa.
 
Huyo mzee wa kulishwa sumu akili yke iko tumboni tu hana chochote zaidi ya kutawaliwa na visasi na njaa kali mpka kujitoa ufahamu
 
Namshangaa sana Waziri Mwakyembe eti hakumhoji Mh.Lowassa Kwa kuwa ushahidi dhidi yake ulikamilika.Kama ndio hivyo mbina Ushahidi dhidi ya Paulo Makonda nao ulikamilika? Bw.Mwakyembe wewe ni mwana Sheria kumhoji mtuhumiwa ni haki kisheria kutomhoji Mh.Lowassa ulikosea huo ndio ukweli je kwanini suala la Makonda unataka ahojiwe? Mbona nao ulikamilika? Kumbuka watanzania hatudanganyiki tumesoma kama we we Sheria tunaijua mkuu

Yule mayor wa daresalaam huko huko wa chadema si alifungua kesi imeishia wapi?
Hivi chagadema na wabunge wenu mlitumwa na wapiga kura wenu kumtafuta makonda au kuwatatulia kero za kimaisha na kuwaletea maendeleo majimboni?
Je ajenda rasmi ni makonda kwa chagadema?
Hakika ufipa mmeshikwa pabaya
8a7ba2e4d5d8e9572f3247ffeec9cf53.jpg
 
Huyo mzee wa kulishwa sumu akili yke iko tumboni tu hana chochote zaidi ya kutawaliwa na visasi na njaa kali mpka kujitoa ufahamu

Ahhhhhh ukitaka kujua watu hawajui wanachotaka ona kama wewe. Poleni sana mnataka mabadiliko ya Jina tu la viongozi sio halisi. Ohhhhh.
 
Kutokana na maneno ya Mh Waziri wa habari na Utamaduni na Michezo Kusema Wapinzani wanataka kumsafisha Mh EL kwa kumlamba miguu,Swali kati ya Wapinzani na Mh Waziri Mwakyembe nani mlamba miguu?

Nimeshangaa kutoana POVu na Nasari badala ya kujibu hoja ya kwanini anafanya Double Standards?Yaani swali jepesi sana mpaka amemwaga adrenalin yote kisa kukumbatia mtu mwenye makosa ya JINAI
 
Namshangaa sana Waziri Mwakyembe eti hakumhoji Mh.Lowassa Kwa kuwa ushahidi dhidi yake ulikamilika.Kama ndio hivyo mbina Ushahidi dhidi ya Paulo Makonda nao ulikamilika? Bw.Mwakyembe wewe ni mwana Sheria kumhoji mtuhumiwa ni haki kisheria kutomhoji Mh.Lowassa ulikosea huo ndio ukweli je kwanini suala la Makonda unataka ahojiwe? Mbona nao ulikamilika? Kumbuka watanzania hatudanganyiki tumesoma kama we we Sheria tunaijua mkuu

We unaongea nini sasa. Mada yako hasa ni nini na uzi wako.
 
Hivi lini CCM tutawatimuwa wezi wengine waliobaki na walitajwa kwenye list of shame
 
Yule mayor wa daresalaam huko huko wa chadema si alifungua kesi imeishia wapi?
Hivi chagadema na wabunge wenu mlitumwa na wapiga kura wenu kumtafuta makonda au kuwatatulia kero za kimaisha na kuwaletea maendeleo majimboni?
Je ajenda rasmi ni makonda kwa chagadema?
Hakika ufipa mmeshikwa pabaya
8a7ba2e4d5d8e9572f3247ffeec9cf53.jpg
Sasa uchadema hapo unakujaje. Swala la uhakiki vyeti lilivyoathiri watu wengi wewe huoni?
Je huoni kuwa ni fedheha kwa mkuu wa mkoa kutumia majeshi kufanya uvamizi kwenye kituo cha habari?

Hili swala la Bashite sio ishu ya kisiasa!
 
Wanyakyusa ni kati ya watu wakweli sana, huyu Mwakyembe sijui ni wa aina gani! Ati naye ana Ph.D Kweli mtu akiingia siasa ukoo umtenge kwanza, siku akiacha siasa arejeshwe kwenye ukoo.Kumbe siasa inaendeshwa kwa unafiki na uongo.
Kwenu watu wakweli ni wale wanaokubali kutumikishwa, kuabudu na kuburuzwa na micggat ya moshi na arusha kama walivyo wakurya na nyakyusa koko
 
Sasa uchadema hapo unakujaje. Swala la uhakiki vyeti lilivyoathiri watu wengi wewe huoni?
Je huoni kuwa ni fedheha kwa mkuu wa mkoa kutumia majeshi kufanya uvamizi kwenye kituo cha habari?

Hili swala la Bashite sio ishu ya kisiasa!

Mpaka sasa hakuna mpiga kelele aliyewhi kuthibitisha makonda kutokuwa na elimu stahiki,bali kelele tuuu kama mizuka ya gwajima imewashika woote.

Ndio maana nimeuliza Boniphace alienda mahakamani ili sh
 
Ana waaibisha watu ya Mb city hakuna dr njaa kule...hii spicies sijui ya wap
 
Back
Top Bottom