Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama wamejua hoja imefungwa hao akina Kubenea and Co mbn kila siku kwenye magazeti yao na nasari kurudia jana, waambie wairudishe tenaHii serikali ijiuzulu tu.
Yaani wao ndio wameshika dola na wao ndio waliofunga huo mjadala Bungeni alafu leo ndio wanaowataka wapinzani waibue swala hilo badala ya kutekeleza maazimio ya Bunge au kufungua kesi Mahakamani.
Pathetic!
Kanuni si zipo watatumia hizo hizoWanaipelekaje Bungeni. Wanaipeleka kama hoja mpya ama kama hoya ile ile ya zamani. Kwani hiyo Richmond bado ipo? Mitambo yake iliuzwa kwa Dowans na Serikali ikachukua kodi, na Dowans nao wakawauzia Symbion na serikali ikachukua kodi na mitambo hiyo inatumika kuwauzia TANESCO umeme na serikali inachokua kodi na tozo mbali mbali!!
Na bado akaja Obama kuifungua kwa mbwembwe nyingi sana ahhh ahh yule sumu inamsumbua aseeKanuni si zipo watatumia hizo hizo
Waziri wa habari Harrison Mwakyembe amewambia wabunge wa chadema kama wanataka ukweli wa ufisadi wa Richmond warudishe hoja hiyo bungeni.
Haya sasa karibuni kukanyagana maana hii hoja ni mwiba ambao watu wengine hawatakaki hata kuuona!
. Mzee mwanakijiji we unaamini ni yake? Na je siku ukiambiwa labda ni ya mama Clinton utakubali kwa mfano lakini?hama ya Obama hivi?Hakuna mtu yeyote mwenye akili nzuri ambaye anamuunga mkono Lowassa ambaye anaweza kuthubutu hata ndotoni kuleta tena hoja ya Richmond; hii changamoto imetolewa mara nyingi na hakuna aliyethubutu kuichukua. Lowassa alipewa nafasi ya kujitetea mbele ya wabunge wote na mbele ya taifa lote lakini kwa hasira aliamua kuzira uwaziri mkuu kupitia ile hotuba yake maarufu ya "nimedhalilishwa sana".
Kabisaaaa, alilisha watu sumuMwakyembe anatupa taarifa rasmi kuwa alidanganya binge wakati ule halafu kuna ndugu wanamshangilia!! Wa TZ!!?!!
Du inawezekana?Si alisema angeeleza yote serikali ingeanguka? Alikuwa akimaanisha nini? Wana siasa msituchezee tumeshanyooshwa tayari ile migongo iliyopindaKha! Ndo mnamuita Dr huyo, mbona hoja zake hazina mashiko na hazistahili kuongelewa na mtu mwenye hadhi-cheti cha PHD achilia mbali nafasi aliyonayo ya uwaziri.
My take: Atumwe India kwa matibabu haraka sana, mana naona ile sumu imekula kaubongo kaliko kabakia kazima kale daaah
Naamini unajua maana ya 'Natural Justice'. Kwamba mtu hapewi adhabu mbili kwa kosa hilohilo. Lowasa adhabu yake ya kukubali kujiuzuru ilimpa nafuu ya kutoendeleza mjadala bungeni, wakati huo na kuzua makibwa ambayo yangepelekea kufikishwa mahakamani, na leo mjadala ungekuwa haupo labda na upinzani wanatawala nchi hii.Aliekua waziri wa katiba na sheria na akashindwa kumfunga Fisadi Lowassa.
Kwani kasema ana ukweli mwingine? Hana mwingine bali kwa wale wasio ridhika may b hawakufuatilia n.k 2006 mpk leo ni miaka 11 wengi walikuwa wadogo.Sasa kama ana ukweli mwingine tofauti na ule aliousoma bungeni wakati ule maana yake nini?
Huyu Bwana mwakyembe (Nakataa muita Dr) kajivua nguo sana kwenye hili. PhD holder wa sheria anasema hakuna haja ya kutimiza shart la Natural Justice kwa kuskiliza mtuhumiwa Kisa amehoji watu wengi. Is he really serious? Halafu anataka kutubabaishia na cjui investigation kitu gani. Tumbavu!Kha! Ndo mnamuita Dr huyo, mbona hoja zake hazina mashiko na hazistahili kuongelewa na mtu mwenye hadhi-cheti cha PHD achilia mbali nafasi aliyonayo ya uwaziri.
Waziri wa habari Harrison Mwakyembe amewambia wabunge wa chadema kama wanataka ukweli wa ufisadi wa Richmond warudishe hoja hiyo bungeni.
Haya sasa karibuni kukanyagana maana hii hoja ni mwiba ambao watu wengine hawatakaki hata kuuona!