Mwakyembe binafsi nakukubali sana kwa umahiri wako wa sheria na hasa nilikukubali zaidi kwa namna ulivyoiandaa ripoti ya Richmond iliyomng'oa Edward Lowassa kwenye uwaziri mkuu.
Tuwe wawazi jamani, ni nani ndani ya Chadema atakayekubali sakata hilo lirudi bungeni tena? Wako wanachama ndani ya chadema ambao mpaka sasa hawakubaliani na ujio wa Lowassa katika chama kwa kuwa kimepoteza agenda na hakitamaniki tena kwa wananchi kwa kuonyesha undumilakuwili wao. Lakini wanachama hao watafanyaje ili hali mwenyekiti wa kudumu wa chadema anamkubali Lowassa kwa maslahi yake binafsi? Nani ndani ya chadema atabetua mdomo saivi kupingana na mwenyekiti wa kudumu? Mnakumbuka mwanahalisi ilivyokuwa ikiichambua Richmond na mshirika wake Lowassa? Leo kubenea ataweza kuandika tena?
Ile muvi ya Richmond bungeni ilikuwa tamu sana na ninaomba irudishwe bungeni na watuwekee bunge mubashara wakati wote wa kuijadili Richmond hadi watakapomaliza.
Wapi Selelii jamani
Ngoja nikamate popcorn zangu nivute na kiti muvi ndo hiyooooo
Chonde chonde jamani chadema ileteni Richmond bungeni
Naanza kupasua chupa nipate vipande vya kunyolea
Tuwe wawazi jamani, ni nani ndani ya Chadema atakayekubali sakata hilo lirudi bungeni tena? Wako wanachama ndani ya chadema ambao mpaka sasa hawakubaliani na ujio wa Lowassa katika chama kwa kuwa kimepoteza agenda na hakitamaniki tena kwa wananchi kwa kuonyesha undumilakuwili wao. Lakini wanachama hao watafanyaje ili hali mwenyekiti wa kudumu wa chadema anamkubali Lowassa kwa maslahi yake binafsi? Nani ndani ya chadema atabetua mdomo saivi kupingana na mwenyekiti wa kudumu? Mnakumbuka mwanahalisi ilivyokuwa ikiichambua Richmond na mshirika wake Lowassa? Leo kubenea ataweza kuandika tena?
Ile muvi ya Richmond bungeni ilikuwa tamu sana na ninaomba irudishwe bungeni na watuwekee bunge mubashara wakati wote wa kuijadili Richmond hadi watakapomaliza.
Wapi Selelii jamani
Ngoja nikamate popcorn zangu nivute na kiti muvi ndo hiyooooo
Chonde chonde jamani chadema ileteni Richmond bungeni
Naanza kupasua chupa nipate vipande vya kunyolea