Mwakyembe awatega wabunge CHADEMA, awaambia wakitaka ukweli warudishe hoja ya Richmond Bungeni

Mwakyembe awatega wabunge CHADEMA, awaambia wakitaka ukweli warudishe hoja ya Richmond Bungeni

Chadema wenzangu tuombe liludishwe jamani tupate ukweli
Yaani badala ya kujadili mambo ya maana ya maendeleo mntaka wabunge watumie tena kodi setu kajadili ujinga huu. You are not serious!
 
Ha ha ha mtoa mada mshahara wangu Wa mwez huu nakupa wote ....
 
tena richmond ina watu wengi wengine ni marais wastaafu na wengi wako ccm mtaaibika bure

Hao unaosema wataaibika, waaibike mara Ngapi? PM wao na serekali nZima ilijiuzulu. Nyie mumepewa fursa ya kurejesha hoja bungeni basi itumieni kwa kuleta hoja.

Safari hii watakao aibika ni wale waliokuwa wakimuunga mkono Mwakyembe NA kamati yake, NA walio mweka Lowasa kwenye tovuti yao kama Fisadi No. 1, NA sasa wanamtetea kama malaika.

Mtego wa Panya
 
Wale wanachama, wafurukutwa, wakereketwa na wapenzi wa CDM mliomtangaza Lowassa kwa miaka 8 kuwa Fisadi na baadaye mkarubuniwa kuwa ni Malaika kupitia kwa Mwenyekiti wenu, sasa mnakaribishwa Bungeni ili mtuthibitishie Umalaika wa Lowassa aliyekosa sifa za Urais CCM nanyi mkamchukua kwa kuingizwa mjini( "kubadili gia angani"). Mnao wabunge wenu mahiri wafufue sasa Richmond tujue mbivu na mbichi ili iwasaidie angalau kumpatia Lowassa uenyekiti wa Chama chenu kinachokufa! Inafahamika wazi kwamba Urais ndio asahau milele hiyo MTU wenu!! Karibuni mje na dawa za kutosha kumsafisha!!

Hivi BUNGENI ndiyo mahakama siku hizi??Kwanini Serikali isipeleke kesi Mahakamani tukajua mbivu na mbichi?Mwakyembe amesema ana evidence kwanini wasipeleke mahakamani kwanini Bungeni??Tunataka kesi iende mahakamani.
 
Chadema hawana huo uwezo, watabaki kupiga kelele tu lakini si kupeleka hoja bungeni officially.

Uwezo tunao,tunataka kesi iende MAHAKAMANI,pale BUNGENI siyo MAHAKAMA.Tunajua Lowassa amefanya maovu basi haki yake ni MAHAKAMANI na si BUNGENI.Mwakyembe tumia taaluma vizuri,toka lini Bunge likaamua kesi ya JINAI??
 
Kwani Mwanzo Mwakyembe alisema UONGO???

Iweje aseme sasa hivi wakitaka kujua ukweli warudishe hoja ya Richmond bungeni
 
Hivi BUNGENI ndiyo mahakama siku hizi??Kwanini Serikali isipeleke kesi Mahakamani tukajua mbivu na mbichi?Mwakyembe amesema ana evidence kwanini wasipeleke mahakamani kwanini Bungeni??Tunataka kesi iende mahakamani.
Tena wapeleke mahakama ya mafisadi
 
Hivi kumpeleka mtu mahakamani inahitaji maombi kwa wabunge wapeleke hoja bungeni??

Hiyo mahakama ya mafisadi mlijenga kama urembo???
Ninyi si ndio mnaleta choko choko kwamba El alionewa?
 
Mwakyembe kalishwa Sumu! By Marehemu Samuel Sitta! R.I.P
 
Hivi kilichowazuia ku'mnyoa kwa chupa' kipindi kile ni nini?
 
Uwezo tunao,tunataka kesi iende MAHAKAMANI,pale BUNGENI siyo MAHAKAMA.Tunajua Lowassa amefanya maovu basi haki yake ni MAHAKAMANI na si BUNGENI.Mwakyembe tumia taaluma vizuri,toka lini Bunge likaamua kesi ya JINAI??
Kwahiyo ulikuwa tayari kumpeleka muovu Ikulu?
 
Na pia kule kwa mwenyekiti wa chama cha ngada

Chama cha Masogange ndiyo wauza SEMBE,si umeona jinsi ticket za ndege zikiarushwa toka SA kwa drug lords kwenda kwa Bashite?
 
Hii serikali ijiuzulu tu.

Yaani wao ndio wameshika dola na wao ndio waliofunga huo mjadala Bungeni alafu leo ndio wanaowataka wapinzani waibue swala hilo badala ya kutekeleza maazimio ya Bunge au kufungua kesi Mahakamani.

Pathetic!

Then why doesn't your MP's do not demand Kesi kufungwa, NA wanakuja NA hoja za kipumbavu eti Lowasa kaonewa.

Kama kaonewa kati ya waliomuonea CHADEMA IS LEADING, wao ndio walio isambaza hiyo sifa ya ufisadi wa Kaka Lowasa, NA tusisahau alikuwa fisadi No. 1 kwenye web site Yao.

Stop being a narrow minded person.
 
Chama cja MAsogange ndiyo wauza SEMBE,si umeona jinsi ticket za ndege zikiarushwa toka SA kwa drug lords kwenda kwa Bashite?
Na vipi kuhusu chama cha sepetunga
 
CCM walikopi ujinga wa chadema

kikubwa mwakyembe kasema wao hawakuwa mahakama, ni bunge
Kwa hilo hakuna tatizo kwa kuwa inajulikana toka zamani kuwa CHADEMA ndio remote ya kuongozea akili za CCM ndiyo maana hata ujinga wa CHADEMA mnakopi.
 
Back
Top Bottom