Mwakyembe awatega wabunge CHADEMA, awaambia wakitaka ukweli warudishe hoja ya Richmond Bungeni

Mwakyembe awatega wabunge CHADEMA, awaambia wakitaka ukweli warudishe hoja ya Richmond Bungeni

Hivi hili lijitu lijinga lina mikakati gani kwenye wizara liliyopewa?
 
Hivi hili lijitu lijinga lina mikakati gani kwenye wizara liliyopewa?
Unaongelea nyusi zilizo nyonyoka baada ya kulishwa sumu na watu wa richmond?
Hivi hili lijitu lijinga lina mikakati gani kwenye wizara liliyopewa?
 
Hivi hili lijitu lijinga lina mikakati gani kwenye wizara liliyopewa?

Hivi hili lijitu lijinga lina mikakati gani kwenye wizara liliyopewa?
Pelekeni hoja ya richmond uone kama lijinga
 
Hivi hili lijitu lijinga lina mikakati gani kwenye wizara liliyopewa?

Hivi hili lijitu lijinga lina mikakati gani kwenye wizara liliyopewa?

f8a2ee82edcb53d37265961027d9e5ba.jpg

Kweli limewashika pabaya aisee duh!
 
kama ni kweli, basi kuna uwezekano Mwakyembe alitoa report ya uwongo na aliwadanganya watanzania. Kwanini aseme kma 'wanataka ukwei?' je hii haitafsiri ya kwamba huyu mh aliudanganya umma wa watanzania? achunguzwe upya kwanza
Umemsikiliza lakini hujamuelewa. Kazi ya Mwakyembe haikua kumpeleka Lowasa Mahakamani bali ilikua kuchunguza na Bunge kutoa maamuzi. Yeye alimaliza kazi yake suala la kumhoji Lowasa lilikua la Bunge lakini alisepa kwasababu alizozijua mwenyewe. Report haina uongo bali urafiki wa Kikwete na Lowasa wakati huo ulimsaidia huyo Rais wa watu wa mioyoni. Na kikwete alimuokoa Lowasa lakini hakutaka achukue nafasi yake maana CCM wangeisha mwaka 2015.
 
Na vipi kuhusu chama cha sepetunga

Hatutumii kawaulize wenye Chama Cha Masogange,ambao wamemwambia hata Masogange asirudi tena Mahakamani kwa sbabau siri zao zitawekwa juani.Nasubiria kama Polisi wataenda kumkamata nyumba ndogo ya Mheshimiwa wa Darisalama
 
Waziri wa habari Harrison Mwakyembe amewambia wabunge wa chadema kama wanataka ukweli wa ufisadi wa Richmond warudishe hoja hiyo bungeni.

Haya sasa karibuni kukanyagana maana hii hoja ni mwiba ambao watu wengine hawatakaki hata kuuona!

Dk Mwakyembe, Nassari wapimana

Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Dk Harrison Mwakyembe (kushoto) na Mbunge wa Arumeru Mashariki (Chadema), Joshua Nasari, Wawili hao walihamisha mjadala wa hotuba ya bajeti ya Ofisi ya Rais Tamisemi na kurudisha suala la Richmond lililotokea mwaka 2008, huku Nasari akimtuhumu Dk Mwakyembe kuwa hakutenda haki katika ripoti yake na kumuondoa bila kumpa nafasi ya kujitetea aliyekuwa Waziri Mkuu, Edward Lowassa.

Dodoma. Mbunge wa Arumeru Mashariki (Chadema), Joshua Nasari na Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Dk Harrison Mwakyembe jana walichafua hali ya hewa bungeni na kusababisha mzozo mkubwa katika mjadala uliokuwa ukiendelea.

Wawili hao walihamisha mjadala wa hotuba ya bajeti ya Ofisi ya Rais Tamisemi na kurudisha suala la Richmond lililotokea mwaka 2008, huku Nasari akimtuhumu Dk Mwakyembe kuwa hakutenda haki katika ripoti yake na kumuondoa bila kumpa nafasi ya kujitetea aliyekuwa Waziri Mkuu, Edward Lowassa.

“Huyu Mwakyembe ndiye aliyeongoza ripoti ya Richmond na hakumpa nafasi mheshimiwa Lowasa ajitetee, leo tena kapewa dhamana ya kuongoza Wizara ya Habari, Nape (Nnauye) ameondolewa lakini hakuna nafasi ya kumhoji Mkuu wa Mkoa... hakuna haki hapo,” alisema.

Kauli za Nasari zilimfanya Dk Mwakyembe kuomba mwongozo na aliposimama alisema: “Nilikuwa naongoza kamati na utaratibu mzuri wa kisheria ni kuwa, kama utaona kuna ushahidi wa kutosha hakuna sababu ya kumuita mtu, unaleta taarifa bungeni halafu Bunge linakuja kuamua.”

Dk Mwakyembe alisema katika taarifa yao, waliona hakuna sababu ya kumuita Lowassa kuhojiwa kwani ushahidi ulikuwa wazi na ndiyo maana hakutakiwa kuitwa mbele ya kamati badala yake walikuja kumshtaki bungeni.

“Huyu mtu wanayekuwa na mahaba naye kwa sasa, nasema wamlete hata leo waone kama hatutamnyoa kwa chupa, kanuni za kibunge zinaruhusu anaweza kuirudisha tena taarifa ya Richmond na ikaanza upya,” alisema Dk Mwakyembe.

Chanzo: Mwananchi

Kumbe kweli hawakumpa nafasi ya kumsikiliza! Halafu Mwakiembe anataka ajivunie ni mtaalam wa sheria! Hapo kuna shida kidogo!
 
Mimi kama mwanachama wa Chadema chama cha wanyonge naomba tuirudisha suala la Richmond bungeni ili tumfunge mdomo Mwakyembe.Uwongo ukisemwa sana bila Kupingwa hugeuka na kuwa kweli nawaomba wabunge wetu machachali tuirudishe bila kuoga bungeni
 
Na anaetakiwa kuwa kinara wa kurudisha hoja ya richmond bungeni ni Kubenea maana yeye na gazeti lake wana ushahidi wote
 
This guy is a lair! Anaomba kesi ya Richmond kwa sababu anataka kufanya siasa. Ni chama chake mwenyewe ndicho kilichoiua hoja hiyo Bungeni wakati ule, and he should be ashamed of what he is saying. Kwa nini asililie kesi ya ESCROW ambayo ni ya juzi tu, akarudishwa Bungeni ili aonyeshe ushujaa wake??? we say it everyday... ukiwa kwenye hiki chama unakumbwa na tatizo la IQ yako kushuka kila siku....
 
Mimi naona tufike mahali tuone ya kuwa tunachezewa akili pote pote, si CCM si upinzani
 
Acheni kuwahangaisha CHADEMA bure. Wakati ule suala la Richmond limeletwa Bungeni Wabunge wa chama chenu ambao ndio walikuwa wengi Bungeni, walisimama upande gani?? You should be ashamed of yourself. Likirudishwa Bungeni kisha utolewe ushahidi kwamba "Mwenyekiti wa Baraza la Mawaziri" wa wakati huo ndiye aliyetoa baraka kwa Mkataba wa Richmond, na Mwenyekiti huyo hakuwa Lowassa, mtasemaje?? Nyie watu, Mungu anawaona lakini.. acheni hayo mambo yenu ya unafiki mtaendelea kulaaniwa.
 
Acheni uongo. Katika nchi zenye mfumo kama wa kwetu, haijawahi kutokea Waziri Mkuu akawa na Mamlaka makubwa ya kuingia mikataba mikubwa kama wa Richmond. I repeat, acheni uongo wa kitoto! Mbona kila siku tunasema Rais katika nchi yetu ana madaraka makubwa kama Mungu? Yaani ilikuwaje wakati huo Mh. Lowassa akawa na Madaraka Makubwa kuliko Rais?? Wadanganyeni wajinga wajinga.... welevu tulishang'amua siku nyingi.
 
Mwakyembe kalishwa Sumu! By Marehemu Samuel Sitta! R.I.P
Sitta, R.I.P, Mwakyembe, Bashite aka Konda,aliyekatika mkia Mpendazoe et al (na wengine) walitaka kuanzisha chama gani?_CCK?
Kwa kuwa ripoti ya Mwakyembe ilificha vitu fulani isije ikaleta mtikisiko(according to him) the absence of the late Sitta makes the whole issue at the moment...... malizia

Hivi kuna kitu kinaitwa 'nusu ukweli?'

Makaburi yachimbuliwe? Yapo mengi!!
 
It's obvious ...Mwakyembe hawezi kufanya lolote ....kama Waziri aliyekuwepo katimuliwa kwa kuunda tu tume mnategemea huyu achukue hatua gani kama si upinzani kukosa mbinu ya namna ya kumlazimisha mamlaka ya uteuzi kuchukua hatua ....unaibuaje hoja kama hii kwa mgongo wa issue ya aibu kama Richmond ambayo sasa inaleta ukakasi hata huko Chadema? ....

..hoja yangu ni kwanini Mwakyembe anashindwa kumshitaki Lowassa?

..hayo ya Bashite acha aendelee kukaa naye maana anazidi kumchafua.
 
Mkuu hata kagame alituaminisha watu kuwa watutsi million 1 waliuawa 1994 yaani mauaji ya kimbari yalikuwa ni mauji dhidi ya watutsi kwa miaka 20 katuaminisha hivyo ila recently mambo yamekuwa wazi kuwa rwanda haikuwa na watutsi zaidi ya 200,000 ssa inakuwaje waseme walikufa watutsi million 1??? The whole world now knows the truth

Kwahyo hta ccm ilituaminisha watanzania wote kupitia ripoti ya mwakyembe kuwa yye ndo fisadi wa richmond ila with tym ukweli umejulikana ssa lowasa kasema yye hakuna alilofanya kikwete hakujua so whatever ushahidi chadema waliokuwa nao yeye simply "ALITUMIWA" ssa ndio unataka tuendelee kushkilia msimamo huo huo wa kuwa lowassa ni fisadi?? While the chain of command was clarified???
Chadema wana ushahidi wa ufisadi wa Lowassa
 
Naona Mwakyembe anataka kusafuria nyota ya Lowassa
 
Back
Top Bottom