Mwakyembe awatega wabunge CHADEMA, awaambia wakitaka ukweli warudishe hoja ya Richmond Bungeni

Mwakyembe awatega wabunge CHADEMA, awaambia wakitaka ukweli warudishe hoja ya Richmond Bungeni

Acheni kuwahangaisha CHADEMA bure. Wakati ule suala la Richmond limeletwa Bungeni Wabunge wa chama chenu ambao ndio walikuwa wengi Bungeni, walisimama upande gani?? You should be ashamed of yourself. Likirudishwa Bungeni kisha utolewe ushahidi kwamba "Mwenyekiti wa Baraza la Mawaziri" wa wakati huo ndiye aliyetoa baraka kwa Mkataba wa Richmond, na Mwenyekiti huyo hakuwa Lowassa, mtasemaje?? Nyie watu, Mungu anawaona lakini.. acheni hayo mambo yenu ya unafiki mtaendelea kulaaniwa.
Sasa si ndio maana mwakyembe kasema kama kuna mtu anaona zikifanyika figisu arudishe hiyo hoja bungeni ili mbivu na mbichi zijuliikane
 
Acheni uongo. Katika nchi zenye mfumo kama wa kwetu, haijawahi kutokea Waziri Mkuu akawa na Mamlaka makubwa ya kuingia mikataba mikubwa kama wa Richmond. I repeat, acheni uongo wa kitoto! Mbona kila siku tunasema Rais katika nchi yetu ana madaraka makubwa kama Mungu? Yaani ilikuwaje wakati huo Mh. Lowassa akawa na Madaraka Makubwa kuliko Rais?? Wadanganyeni wajinga wajinga.... welevu tulishang'amua siku nyingi.
Aisee inaonekana hujui kikuchokuwa kinaendelea
 
Richmond.jpg

Najaribu kumfikiria Mh. Mwaki hapo...!!
 

Attachments

  • Richmond.jpg
    Richmond.jpg
    27.6 KB · Views: 29
Hata mimi naona ipelekwe hoja mezani!
Aibu ni pale linapokukutana tena kukiwa na wazamani na wapya wenye Mahaba Mubashiru...
 
Una
Hivi BUNGENI ndiyo mahakama siku hizi??Kwanini Serikali isipeleke kesi Mahakamani tukajua mbivu na mbichi?Mwakyembe amesema ana evidence kwanini wasipeleke mahakamani kwanini Bungeni??Tunataka kesi iende mahakamani.
Unafikiri kwa masaburi? Mjadala wa Richmond ulikuwa Bungeni siyo Mahakamani
 
mimi nafikiri ili swala sio la chadema ni la nchi mwakyembe amekua waziri wa katiba na sheria lakini hakuwahi ongelea swala la richmond sasahivi kabwana na ansad ndo anaanza kusema kama chadema wana ushahidi warudishe swalala richmond mezani swali
kwanini mwakyembe mwenyewe asirudishe swala la richmond kama anaona lowasa alitakiwa kushughulikiwa na aliachwa
pili kwa nini serikali isifungue kesi dhiidi ya lowasa kuhusu richmond ilo ndo swala lamsingi
kwenye mahakama ya mafisadi mwakyembe alisema hakuna fisadi sasa tunakuomba mwakyembe ufungue mashtaka mahakamani ili lowasa akikutwa na ushahidi afungwe kabisa
mwakyembe bunge sio mahakama na haliwezi kumfunga lowasa kwakua ww nimwanasheria mahiri fungua kesi ya richmond hapoi utakua umelitendea haki taifa
tumechoka maneno ya kisiasa tunataka action kamanikufungwa basi afungwe sio mnaleta maneno maneno hayana mana
 
Una

Unafikiri kwa masaburi? Mjadala wa Richmond ulikuwa Bungeni siyo Mahakamani

NAsema hivi mwisho wa siku kuna waliopo kwenye hiyo report siyo wabunge,na hivyo ni vyema kupelekwe kesi mahakamani period ,haya majigambo ya Mwakyembe aliyekana hata andiko lake ni shida.

Ipelekwe kesi Mahakamani ,Lowassa ashtakiwe kw akuhujumu uchumi tumalize na Lowassa.
 
Sasa si ndio maana mwakyembe kasema kama kuna mtu anaona zikifanyika figisu arudishe hiyo hoja bungeni ili mbivu na mbichi zijuliikane

Kwani kwa akili yako ni nani waliofanya figisu ambao huyo Mwakayembe anawaambia warudishe suala Bungeni?? Kwa nini hajaomba suala ya ESCROW lirudishwe pia???? au lenyewe halikuwa na figisu? Tumia akili kidogo tuu, hii siyo wala rocket science.
 
Si ni huyu huyu Mwakyembe aliyesema kwamba angesoma report your Serikali ingeanguka?
Alikuwa anaficha nini,sasa anapata wapi guts now?
Kama ushahidi upon wampeleke mahakamani tujue mbivu na mbichi...lakini so kutaka kuhamisha mijadala ya binge kwa sasa wakati serikali inafail
 
Yaani kila kitu wanataka wafanyiwe na Chadema, waongo hao! suala lilipelekwa Bungeni wakati ule Lowassa akiwa CCM. Wote wakaungana wakaua hoja ya Richmond na maazimio yake. Kisha alipohama, wakamgeukia na kusema wakichaguliwa tena wataunda Mahakama ya mafisadi huku wakisema Lowassa ndiye fisadi papa namba moja. Watanzania wakawachagua kwa kura nyingi, Mahakama ikaundwa kwa mbwembwe nyingi, kisha wameshindwa kumfikisha tena kwenye mahakama hiyo. Sasa anaibuka mtu anasema hoja ipelekwe Bungeni!! this is a big joke, and someone need to feel ashamed of this political gimmicks...
 
Nafasi ipo wazi, hao wanaopenda haki ndo muda wao wa kuirudisha hoja ya richmond, ila naamini wataingia mitini kwani na wao wanaujua huo ukweli.
 
Hata leo tunawaambia kuna mtu anaitwa Daudi Bashite anafanya kazi kwa kutumia "mavyeti" feki, but they never do anything or take any action as usual. Wanasubiri Bashite ahame chama chao ndio waanze nao kumwandama kwa vyeti feki???? You cannot be a reasonable ruling party by doing all the wrong things...Ni lazima tuwaambie ukweli hata kama unauma.
 
Acha ulofa! CDM si ndio mnasema Lowassa mliyemtangaza Fisadi miaka 8 si sasa mnasema kaonewa na kwamba yeye ni malaika? Wabunge wenu walete hoja Bungeni

Kwa hiyo usiwasingizie Chadema! kama nimekwambia mtu fulani ni mwizi kwa muda wa miaka 8 na una majeshi ya kuweza kumkamata ukashindwa kufanya hivyo, who are you blaming then? don't be an idiot..
 
Mimi naona tufike mahali tuone ya kuwa tunachezewa akili pote pote, si CCM si upinzani

Wapinzani hawatuchezei akili acha kuwasingizia. Wanaotuchezea akili ni wale ambao tumewapa ridhaa ya kutuongoza na kuhakikisha kila mtu anatendewa kwa haki, na hawafanyi hivyo. Acha kuwapandisha hadhi wapinzani kwenye mambo ya ovyo. Put the blame where it belongs.
 
Back
Top Bottom