kilama
JF-Expert Member
- Jul 14, 2015
- 2,745
- 1,989
HahahahKwa mara ya kwanza Chadema wataanza kuitetea Richmond...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HahahahKwa mara ya kwanza Chadema wataanza kuitetea Richmond...
Mara hii Mwakyembe anawalaza watu na viatu ...yaani ni bampa tu bampa!Kwa mara ya kwanza Chadema wataanza kuitetea Richmond...
Hebu shirikisheni kidogo mbongo zenu. Mbali ya Lowassa kujiuzulu ni mapendekezo mangapi ya Kamati ile teuli ya bunge yalitekelezwa. Hata bila ya hoja kurudishwa Bungeni yeye Mwakyembe aseme ni nini walitekeleza kwenye mapendekezo ya kamati ile teule ambayo yeye alikuwa Mwenyekiti?Baadhi ya makamanda wa CHADEMA (hasa CHADEMA asilia) hawaitaki ndoa ya kisiasa kati ya Mbowe na Lowasa, sasa watoke vipi ni jinsi ya kuirudisha suala RICHMOND bungeni.
Si mliunda Mahakama ya Mafisadi sasa mnashindwa nini kumshitaki ili hali mwenyewe alishasema mwenye ushahidi aende Mahakamani?Amewashauri pelekeni hilo suala kule ili lishughulikiwe ninyi si kila siku mnaona ccm wanafiki?
Wanaipelekaje Bungeni. Wanaipeleka kama hoja mpya ama kama hoya ile ile ya zamani. Kwani hiyo Richmond bado ipo? Mitambo yake iliuzwa kwa Dowans na Serikali ikachukua kodi, na Dowans nao wakawauzia Symbion na serikali ikachukua kodi na mitambo hiyo inatumika kuwauzia TANESCO umeme na serikali inachokua kodi na tozo mbali mbali!!Amewashauri pelekeni hilo suala kule ili lishughulikiwe ninyi si kila siku mnaona ccm wanafiki?
Kwa kulirejesha tena bungeni, nadhani hataishia kuhusu uhusika wa Lowasa, bali pia kupitia utekelezaji wa maamuzi ya Bunge.Hebu shirikisheni kidogo mbongo zenu. Mbali ya Lowassa kujiuzulu ni mapendekezo mangapi ya Kamati ile teuli ya bunge yalitekelezwa. Hata bila ya hoja kurudishwa Bungeni yeye Mwakyembe aseme ni nini walitekeleza kwenye mapendekezo ya kamati ile teule ambayo yeye alikuwa Mwenyekiti?
Waziri wa habari Harrison Mwakyembe amewambia wabunge wa chadema kama wanataka ukweli wa ufisadi wa Richmond warudishe hoja hiyo bungeni.
Haya sasa karibuni kukanyagana maana hii hoja ni mwiba ambao watu wengine hawatakaki hata kuuona!![]()
Wanairejeshaje. Kama hoja mpya ama kama ni hoja ile ile ambayo Mwakyembe alisema wameficha mengine kuzuia serikali isianguke? Na serikali ni nani kama waziri Mkuu walitaka ajipime? Unapotaka kurudisha hoja ile Bungeni ni lazima na Kikwete arudi tena madarakani, ili ukweli wote usemwe na tuone kama serikali itaanguka ama itapona!!Kwa kulirejesha tena bungeni, nadhani hataishia kuhusu uhusika wa Lowasa, bali pia kupitia utekelezaji wa maamuzi ya Bunge.
Hivi kwa swala la Richmond aibu ni ya nani ?! Siyo serikali (CCM) iliyoshindwa kuwachukulia hatua watuhumiwa ?! Wenye dola ni CDM kweli ?! au huyu Mwakyembe mi ndiyo simuelewi !!! Nchi ikiwa viongozi wasanii aina hii maendeleo ni ndotoMara hii Mwakyembe anawalaza watu na viatu ...yaani ni bampa tu bampa!
Kanali hii hoja ni ya kitoto kabisa. Yaani mtu alipewa nafasi ya kusema kila alichokijua na hakusema halafu anakuja miaka 9 baadaye anasema anataka kusema na watu wanamshangilia. Hivi vichwa vyetu vimebeba nini ndani yake!?MH Dr mwakyembe unataka upande wetu mafuliko yapungue 2020
Waziri wa habari Harrison Mwakyembe amewambia wabunge wa chadema kama wanataka ukweli wa ufisadi wa Richmond warudishe hoja hiyo bungeni.
Haya sasa karibuni kukanyagana maana hii hoja ni mwiba ambao watu wengine hawatakaki hata kuuona!![]()