idawa
JF-Expert Member
- Jan 20, 2012
- 25,284
- 38,364
Waulize wabunge wanaohoji sasa hivi kwani hawakumaliza.?Kwani halikumalizwa Bungeni?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Waulize wabunge wanaohoji sasa hivi kwani hawakumaliza.?Kwani halikumalizwa Bungeni?
Hivi wewe kuna fisadi gani aliwahi kukamatwa enzi za jk?Mkuu ulisoma hotuba ya waziri kivuli mnyika kuhusu maazimio ya bunge kuhusu richmond??? Hivi na wwe unaamini chadema wangemchukua lowassa kama wanajua mwisho wa siku HE IS A CRIMINAL na atakamatwa??? R they that dumb???
Najua humkubali lowassa ila ukiweka ushabiki pembeni na ukiangalia kwa picha kubwa utagundua ukweli wa mambo
kwa kweli hapo ndo huwa naona bora tuhangaike na jpm tuHivi wewe kuna fisadi gani aliwahi kukamatwa enzi za jk?
Wote tunajua Lowassa na jk wanahusika na richmond lkn chedema walitaka kupeleka fisadi ikulu
Bunge lilitoa Mapendekezo na serikali haikuyatekeleza yote, na la pili ni kwamba wabunge wa sasa hawahoji suala la Richmond bali wanahoji weledi wa Mwakyembe pale anaposema hawezi kufanyia kazi Ripoti ya uchunguzi wa suala la kuvamiwa kwa Clouds kwa kuwa eti upande mwingine haujasilizwa, wakati yeye mwenyewe ana "Precedence" ya kutosikiliza upande wa pili!Waulize wabunge wanaohoji sasa hivi kwani hawakumaliza.?
Chadema wenzangu tuombe liludishwe jamani tupate ukweli
Kwa ivo na Kikwete ni Fisadi?Hivi wewe kuna fisadi gani aliwahi kukamatwa enzi za jk?
Wote tunajua Lowassa na jk wanahusika na richmond lkn chedema walitaka kupeleka fisadi ikulu
Polonium ni mbaya sana huwa kupona kabisa ni shughuli!Kikwete atapona kweli?
Mahakama ya Mafisadi haina watuhumiwa kama Lowassa ni Ufisadi kwanini asiwe mteja wa Kwanza kupelekwa??Sababu wanajua Mafisadi ni akina Mwakyembe wenyewe wanapiga Kelele tu.Waziri wa habari Harrison Mwakyembe amewambia wabunge wa chadema kama wanataka ukweli wa ufisadi wa Richmond warudishe hoja hiyo bungeni.
Haya sasa karibuni kukanyagana maana hii hoja ni mwiba ambao watu wengine hawatakaki hata kuuona!![]()
Lowasa alishasema " Hili dili tulicheza mtu tatu. JK, RA na EL" Unadhani Tundu Lisu alipomlist EL fisadi number moja Tanzania alikuwa anaropoka?Hii serikali ijiuzulu tu.
Yaani wao ndio wameshika dola na wao ndio waliofunga huo mjadala Bungeni alafu leo ndio wanaowataka wapinzani waibue swala hilo badala ya kutekeleza maazimio ya Bunge au kufungua kesi Mahakamani.
Pathetic!
Kwa mara ya kwanza Chadema wataanza kuitetea Richmond...
Lowasa alishasema " Hili dili tulicheza mtu tatu. JK, RA na EL" Unadhani Tundu Lisu alipomlist EL fisadi number moja Tanzania alikuwa anaropoka?
CHADEMA hawawezi kukubali kurudisha hoja kwa sababu TL mwenyewe anaujua ukweli wote.
Kwa ivo na Kikwete ni Fisadi?
Bungeni ndiko mahakama iliko?Acha hasira! Rudisheni hoja bungeni vinginevyo ninyi ni ndumi la kuwili.
Kwani CHADEMA walimwita Lowassa fisadi kwa hoja ya Richmond?Lowasa alishasema " Hili dili tulicheza mtu tatu. JK, RA na EL" Unadhani Tundu Lisu alipomlist EL fisadi number moja Tanzania alikuwa anaropoka?
Sasa wewe hao wabunge wako wa chadema kina mnyika, lema, msigwa and co mbona walizunguka nchi nzima kuwaaminisha watu kama EL ndio anahusika na richmond
Kwani ripoti ya Richmond imejadiliwa mwaka gani na Lowasa amekuja Chadema mwaka gani.?Mkuu ulisoma hotuba ya waziri kivuli mnyika kuhusu maazimio ya bunge kuhusu richmond??? Hivi na wwe unaamini chadema wangemchukua lowassa kama wanajua mwisho wa siku HE IS A CRIMINAL na atakamatwa??? R they that dumb???
Najua humkubali lowassa ila ukiweka ushabiki pembeni na ukiangalia kwa picha kubwa utagundua ukweli wa mambo
Huyu JPM ana usafi gani hadi usimuweke ktk orodha ya mafisadi?!Hivi wewe kuna fisadi gani aliwahi kukamatwa enzi za jk?
Wote tunajua Lowassa na jk wanahusika na richmond lkn chedema walitaka kupeleka fisadi ikulu