Mwakyembe awatega wabunge CHADEMA, awaambia wakitaka ukweli warudishe hoja ya Richmond Bungeni

Mkuu mimi naeleza mawazo yangu, kwahiyo kama wewe unaona ni sawa kuwaamini basi sawa
 
Huu ndiyo upumbavue na ulofa!. Hivi huyu Kyembe zinamtosha?

Habari ya Richmond anapoiweka kwa maslahi ya kisiasa wakati taifa linaumia ni binadmau wa naman gani huyu?

Hivi habari za ufirauni unafanyika na ccm ni CHADEMA tu ndo wnaoumia?

Kwa nini wasimpeleke mahakamani na wezi wengine?

Kwa akili ya kawaida, huyu kyembe, kwa nini anang'ang'ani habari ya richmond irudishwe bungeni wakati anataarifa zote na hiyo hatua ilishapita? Kwa nini yeye kama serikali inajua ukwlei wasimpeleke mahakamani ili akahukumiwe kwa haki? Anakinmbile kusema irudi bungeni ili apate support za kipumbaveu za ndiyoooooo? Au ni kwa kuwa hata mauwongo yake akisem abungeni anakuwa na kinga?

WATANZANIA, WATU KAMA KWEYMBE HAWAFAI KWA MAENDELEO YA TAIFA.


 
Wapinzani msiondolewe kwenye hoja za msingi na huyu jamaa, kuweni makini sana naye. Wakati ule, ni yeye aliyesema "Kamati yake ingesema kila kitu serikali ingeanguka" Someni tena Hansard, na kisha mwulizeni awaambie kwa nini alishindwa kusema kila kitu wakati huo.... Kama ni kweli aliamini EL alikuwa mhusika mkuu, na alitaka kumnyoa kwa chupa kama anavyosema leo, kwa nini alificha baadhi ya mambo????? using common sense, is a very powerful thing!!
 
Kwani kwa akili yako ni nani waliofanya figisu ambao huyo Mwakayembe anawaambia warudishe suala Bungeni?? Kwa nini hajaomba suala ya ESCROW lirudishwe pia???? au lenyewe halikuwa na figisu? Tumia akili kidogo tuu, hii siyo wala rocket science.
Na wewe pia tumia akili!

Nasari hakuhoji ishu ya escrow, alihoji suala la richmond akionesha kwamba Lowassa alionewa ndio maana mwakyembe akamjibu hivyo!

Fuatilia mambo kwa umakini.
 
Kwani selikali haikuanguka? Lowasa alijiuzulu u pm, ndio kusema sekikali ilianguka
 
Sasa fikiri bashite aje huko chadema alafu mmpe VIP treatment! Si mtakuwa wajinga wakutupwa?
 
Na wewe pia tumia akili!

Nasari hakuhoji ishu ya escrow, alihoji suala la richmond akionesha kwamba Lowassa alionewa ndio maana mwakyembe akamjibu hivyo!

Fuatilia mambo kwa umakini.

Umeshinda Mkuu. IQ yako inaweza kuwa insignificant, kwa hiyo naweza kuwa nimevaa mkenge hapa.
 
Sasa fikiri bashite aje huko chadema alafu mmpe VIP treatment! Si mtakuwa wajinga wakutupwa?

That is the problem, you don't think outside the box. You narrow your thinking and fit yourself into Chadema's patter of doing things. Unataka nikukumbushe kwamba Chadema hawana nchi wanayoitawala katika Afrika au utajiongeza mwenyewe baadaye???
 
Huyo Mwakyembe kichwa chake kilishaharibika yupo yupo tu. Ni mgonjwa huyo. Kipindi cha Richmond yeye ndie alikuwa mwenyekiti wa kamati alishindwa nini kueleza yote. Leo anatujia na porojo za alfu lelaulela. Mwakyembe anayotamaa ya madaraka tangu kipindi cha Richmond aliaidiwa uwaziri akashindwa kutoa ripoti akachapiachapia. Leo anatujia na mafangas yake eti rudisheni Richmond. Miaka 20 inaenda alikuwa wapi kueleza. Umewadhalilisha sana wanyakyusa unapenda madaraka huwezi kusimamia ukweli unapinda kama bendera
 
Mkuu hao ndio wanasiasa wa siasa majitaka tulionao nchi hii!
 
Hii serikali ijiuzulu tu.

Yaani wao ndio wameshika dola na wao ndio waliofunga huo mjadala Bungeni alafu leo ndio wanaowataka wapinzani waibue swala hilo badala ya kutekeleza maazimio ya Bunge au kufungua kesi Mahakamani.

Pathetic!
Aloufungua mjadala huo ni nasari uyo mbunge kijana
 
Kha! Ndo mnamuita Dr huyo, mbona hoja zake hazina mashiko na hazistahili kuongelewa na mtu mwenye hadhi-cheti cha PHD achilia mbali nafasi aliyonayo ya uwaziri.
vigeu geu kama kinyonga, lowasa hasafishiki, wewe ulitaka alete hoja ipi ili uione inamashiko
 
That is the problem, you don't think outside the box. You narrow your thinking and fit yourself into Chadema's patter of doing things. Unataka nikukumbushe kwamba Chadema hawana nchi wanayoitawala katika Afrika au utajiongeza mwenyewe baadaye???
Hivi unajua tunachojadili hapa?
 
Una maana gani mkuu kwa hili neno lair!????? Nijuavyo mimi maana ya hili neno ni mahali ambapo wanyama wa porini wanaishi sasa sijui unaunganishaje na Mwakyembe na mnyama wa porini????? Ungeamua kutumia lugha moja tu ambayo unayoielewa kamili iwe kidhungu ama kimang'ati usingejichanganya namna hii. Usiwe kama ma surrogate wa Donald Fred Trump wakibanwa wanarudisha habari za Obama. Hapa kaulizwa juu ya Richmond wewe unataka ajibu kuhusu ESCROW halafu unataka kudharau IQ za wenzako wakati wewe IQ ya kwako ni questionable.
 
Heh!huyu Nassari Leo ndo anaona mh. lowassa hakutendewa haki!? wakati kipindi mile walikuwa wakishangilia na kupiga meza lowassa akikaangwa bungeni waache unafiki
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…