Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Teh, acha kujichanganya mkuu unajiabisha. Sasa ilikuwaje wampe tiketi ya kwenda ikulu huyo mtuhumiwa?Kwani hawakuhoji? CHADEMA kwa muda wote walikuwa wanauliza inakuwaje watu wanafungwa kwa makosa madogo madogo wakati mtuhumiwa mkubwa wa ufajaji wa fedha za umma hafikishwi mahakamani. Huko siyo kuhoji?
Hoja ya Makonda imepanguliwaje? Kwamba Mwakyembe kasema kwamba Makonda hajavamia Clouds?
Fisadi gani mwanasiasa umemuona amepandishwa kizimbani?!Si bora hawa ni mawziri wanaweza kutenguliwa kuliko yule mlietaka kumpa ikulu?
Acheni kujificha kwenye hoja ya mahakama ya ufisadi, kama mna jeuri kweli leteni ile hoja si mnasema mwakyembe alidanganya?Ndiyo hao-hao kwanini yeye Mwakyembe mwenye ushahidi hajafanya hima hii kesi ya Richmond ipelekwe kwenye mahakama ya mafisadi mliyoipamba hadi kwenye ilani ya CCM??
Mtatumia majengo ya mahakama ya mafisadi kama stoo ya mkaa mpaka lini au mpaka mnyonyoke tena mpaka kope za macho???
Nani huyo mwenye akili ya kumtega mtu?Fumbo mfumbie mjinga mwerevu hung'amua.
Baadhi ya makamanda wa CHADEMA (hasa CHADEMA asilia) hawaitaki ndoa ya kisiasa kati ya Mbowe na Lowasa, sasa watoke vipi ni jinsi ya kuirudisha suala RICHMOND bungeni.
Mwakyembe naye kawatega waingie vichwa vichwa. Likiachwa kurudishwa bungeni, basi yatosha CHADEMA kuthibitishiwa kuwa waliyekuwa wakimtuhumu, kwenye majukwaa kuwa ni fisadi, kweli ni fisadi.
Hivyo hoja yao, ya kila siku kila akitajwa kuhusika na ufisadi, ati mwenye ushahidi atoe afikishwe mahakamani, haitakuwa na nguvu tena. Kwanza, kwa yeye kujiuzuru Uwaziri Mkuu, ilikuwa adhabu tosha kwa mtu mwenye uchu wa madaraka, kama yeye.
Mkuu sema kweli bana[emoji3][emoji16][emoji23],unawazia ile 15%,ni noma.Phd siitaki,maana nikimuangalia prof.lipumbu na huyu,aaaaahhhh,la saba latosha
Saa hizi itakuwa afterthought, uongo utatungwa azima yote 2020. Kama walishindwa kuweka wazi kipindi kile baasi.
Wewe ndugu acha kumtetea ElKama kuna siku mwakyembe kaongea pumba basi ni leo
Yani pumba first grade, yeye alisema report ya Nape haijakamilika kisa bashite hajaojiwa yet walifanya jitihada zote za kumtafuta ila aliwakimbia
Leo anasema report yake ya richmond ambayo alifunga safari hadi nje kwenda kutafuta ushahidi lakini alishindwa kumuhoji Lowassa aliyekuwa hapa ni kamili,na hakuona haja ya kumuhoji Lowassa
Seriously halmashauri ya kichwa chake sijui kama ipo sawa
JPM kauza nyumba za serikali kwa bei chee pamoja na kugawa nyumba za serikali kwa hawala zake. Kanunua kivuko kibovu kwa bei za kifisadi bilioni 8 ili hali report ya CAG bei yake ni chini ya bilioni 5. Ufisadi ktk wizara ya ujenzi kipindi yuko Waziri wa ujenziUfisadi wa jpm ni upi?
wakati ule akimuumiza Lowasa akiwa bado CCM kwako alikua na hoja lakini leo sababu ya mapenzi ya chama na si nchi unamuona Mwakyembe bomu. Watanzania lazima tutakua tumerogwa na mchawi wetu labda kishakufa.Kha! Ndo mnamuita Dr huyo, mbona hoja zake hazina mashiko na hazistahili kuongelewa na mtu mwenye hadhi-cheti cha PHD achilia mbali nafasi aliyonayo ya uwaziri.
My take: Atumwe India kwa matibabu haraka sana, mana naona ile sumu imekula kaubongo kaliko kabakia kazima kale daaah
Sasa ni mbunge gani mpuuzi anaehoji sasa maamuzi ambayo yalishajadiliwa na bunge na maazimio yakapitishwa.?
hapo ni kweli na hiyo kesi itamkuta na Sumaye na yeye sijui mtamsafishaje. Ninyi watu mna matatizo gani mnadhani madongo wanayopigwa kina Sumaye kama wangekuwa wasafi wangekaa kimya?JPM kauza nyumba za serikali kwa bei chee pamoja na kugawa nyumba za serikali kwa hawala zake. Kanunua kivuko kibovu kwa bei za kifisadi bilioni 8 ili hali report ya CAG bei yake ni chini ya bilioni 5. Ufisadi ktk wizara ya ujenzi kipindi yuko Waziri wa ujenzi
Kwa hivyo una kubaliana na mimi kwamba kwenye vyama vyetu hakuna msafi siyo?Ana tofauti gani na aliyeikulu??Bilioni nane za Kivuko kibovu cha mwaka 1928,Barabara substandard, hotel aliyopewa kama.10% ya kutoa tender. Hahahahahaha msafi Malaika.tu lakini.siyo kwenye Chama Chetu Cha Mauaji
We vipi,? Tuoneshe msafi basi tumpe urais
Nadhani wewe si CHADEMA kama kweli wewe ni mwanachadema basi wewe ni mzalendo wa kweli. hawawezi kulirudisha hilo maana wanamhitaji sana Lowasa mwaka 2020 kumuingiza tena huko wanatakua na kazi ya kumsafisha tena.Chadema wenzangu tuombe liludishwe jamani tupate ukweli