Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Fasadi ndiyo kitu gani?Kikwete fisadi., je, EL fisadi siyo fasadi?
Duuh mpwa reli ya 1940?
Wa wapi Wewe!!Ufisadi wa jpm ni upi?
Choo kilihamia chumbani
Si bora hawa ni mawziri wanaweza kutenguliwa kuliko yule mlietaka kumpa ikulu?Awamu hii mwanasiasa gani fisadi umeona ameshtakiwa kwa ubadhirifu wa mali ya umma zaidi ya kuona mafisadi akina Mwakieembe na Muhongo yakiwa mawaziri badala ya kufikishwa mahakamani !
Kwahiyo nchi hii hakuna msafi wakiwemo chadema
Ndio maana nikasema jk na el wote wanahusika, lile ni dili la el na na jk. Hata hela mlizotumia kwenye kampeni 2015 zilikuwemo pia za richmond!Dili ni la kikwete lowasa alikuwa pawn kama ambavyo professor muhongo alikuwa pawn kwenye ESCROW ssa nyie vibaraka mnashabikia tu na mnaaminishwa lowasa anaweza piga dili na kikwete asijue??? Mbona kwenye retreat ya CCM 2012 lowassa aliuliza je ni kipi alichofanya kwenye richmond asichokijua? What did he reply???kaulize
Kma it was that simple longtime magufuli au mwakyembe wangekwisha msweka ndani lowassa
Si bora hawa ni mawziri wanaweza kutenguliwa kuliko yule mlietaka kumpa ikulu?
Haya assume alidanganya, lakini kwa sababu aliyetuhumiwa pamoja na waliomtuhumu bado wapo, kumaliza mzizi wa fitina ni chadema kulianzisha ili ukweli uthibitike. Hii itasaidia sana katika mambo mengi lakini pia hata wakati wa kampeni 2020.Kha! Ndo mnamuita Dr huyo, mbona hoja zake hazina mashiko na hazistahili kuongelewa na mtu mwenye hadhi-cheti cha PHD achilia mbali nafasi aliyonayo ya uwaziri.
My take: Atumwe India kwa matibabu haraka sana, mana naona ile sumu imekula kaubongo kaliko kabakia kazima kale daaah
Ndio maana nikasema jk na el wote wanahusika, lile ni dili la el na na jk. Hata hela mlizotumia kwenye kampeni 2015 zilikuwemo pia za richmond!
Ha
Haya assume alidanganya, lakini kwa sababu aliyetuhumiwa pamoja na waliomtuhumu bado wapo, kumaliza mzizi wa fitina ni chadema kulianzisha ili ukweli uthibitike. Hii itasaidia sana katika mambo mengi lakini pia hata wakati wa kampeni 2020.