ROMUARD KYARUZI
JF-Expert Member
- Sep 18, 2018
- 683
- 465
Hatuna hakika kama ni ngozi tu ndiyoiliyopona UBONGO bado.Mwakyembe amesahau alivyobabuka mwili watu walikuwa wakimuulizia pia , leo kapona anaponda wanaomuulizia Azori Gwanda ! Hii ni aibu kubwa sana !
Watu hawaelewi hayo ndiyo maandalizi ya kuzuia mawazo mbadala ya watu wengine.Musiba kasema magufuli atatawala milele na milele
Unafikiri haya yanatokea kwa bahati mbaya? ndio kujizatiti kilelemi kwenyewe huko
Waziri mzima hajui maoni husaidia kupata majibu aibu kwa dakitari mzima kuingia kundi la mapoy aliyo wataja mh SuguWatoa maoni si watu hatari kama wale wanaoteka
Hana hoja kama wenzie. MBONA Waziri amekuwa akifungia magazeti mengine. Sasa tunakaribia kufika tulipokuwa twapatafuta.Waziri wetu huyu ni mkali sana.
Mkuu hata mimi nashangaa, sijui amekula maharage ya aina gani!!Huyu dr amekula uporo wa nini??