Mwakyembe: Marufuku kumuliza Azory Gwanda alipo. Mbona viongozi wa Serikali hamuwaulizii? Waliokashifiwa na gazeti la Tanzanite waende Mahakamani

Mwakyembe: Marufuku kumuliza Azory Gwanda alipo. Mbona viongozi wa Serikali hamuwaulizii? Waliokashifiwa na gazeti la Tanzanite waende Mahakamani

Yani Tiss iburuzwe mahakamani
Hapo ndio zito anapowapiga upofu. Tuseme anatumwa na TISS, je anayoongea ni SAHIHI au sio sahihi?Vipi kama hao TISS wanayomwambia ni kweli mfano kutembea na mke wa marehem, je huoni kuna ttz?
 
Serikali nayo mbona INAFUNGIA TU GAZETI KWANINI ISIENDE MAHAKAMANI?
Namimi swala la Tanzanite naunga mkono. Mtu kama hatendewi haki na gazeti flani kwanini haendi mahakaman?Badala yake naye anakuja mitandaoni kutoa shutuma zake. Haki inatolewa mahakaman sio kwenye page za social networks.
 
Magazeti ambayo huwa yanafungiwa na serikali, ni nani ambaye huwa ameenda mahakamani? Wendawazimu mtupu!
Wanaenda wahusika. Serikali haiwez wala haiwajibiki kwa vyovyote vile na habari binafsi za Mtu. Kama unadharirishwa ni wewe kwenda mahakaman na kudai HAKI na sio serikali iende mahakaman kusema Zito anadharirishwa. Huyo zito ndio aende mahakaman
 
Amesahau mwenzie aliyepiga marufuku Tundu Lissu asiombewe na yeye akapata ajali akaomba aombewe...Malipo ni hapa hapa maana watanzania walijua kumjibu
ipo siku atakuja kupotea yeye.alafu na sisi tutakaa kimya.
 
Yale magazei yaliyowahi kufungiwa walalamikaji ambao ni serikali walikwenda Mahakama ipi kulalamika kisha ikatoka hukumu ya kuyafungia???
Fuatilia, kuna taratibu za kutoa malalamiko. Na magazeti mengi unayoona yalifungwa yalitangulizwa barua za onyo. Idara husika ilifuata taratibu. Serikali haiwajibiki kwa vyovyote vile na habari binafsi za Mtu. Zito sio serikali kwamba msemaji wa serikali atolee maelezo,Huyo zito aende mamlaka husika.
 
Namimi swala la Tanzanite naunga mkono. Mtu kama hatendewi haki na gazeti flani kwanini haendi mahakaman?Badala yake naye anakuja mitandaoni kutoa shutuma zake. Haki inatolewa mahakaman sio kwenye page za social networks.
Kwanini serekali huyafungia magazeti kwa kigezo cha kukiuka taratibu za uandishi, kwanini nayo isiyapeleke mahakamani??
 
Fuatilia, kuna taratibu za kutoa malalamiko. Na magazeti mengi unayoona yalifungwa yalitangulizwa barua za onyo. Idara husika ilifuata taratibu. Serikali haiwajibiki kwa vyovyote vile na habari binafsi za Mtu. Zito sio serikali kwamba msemaji wa serikali atolee maelezo,Huyo zito aende mamlaka husika.
Umesema haki ipo mahakamani bwana.
 
Kwanini serekali huyafungia magazeti kwa kigezo cha kukiuka taratibu za uandishi, kwanini nayo isiyapeleke mahakamani??
Umeshasema yamekiuka taratibu na serikali ina mamlaka ya kuyafungia magazeti pale yanapokiuka taratibu. Sasa kwa Zito Gazeti limekiuka taratibu gani?Hayo malalamiko kampelekea nani?Au huko tweeter na fb ndio Serikali iliko?
 
Haya yanayofanyika kwa sasa yana lengo la kuwatoa watanzania katika report ya CAG...
 
Dr Mwakyembe ataka watu waache kuuliza alipo Azory Gwanda.

Na:Maregesi Paul, Dodoma

Waziri wa Habari, Sanaa, Utamaduni na Michezo, Dk Harrison Mwakyembe amewashangaa watu wanaofuatilia mahali alipo mwandishi wa habari Azori Gwanda.

Dk Mwakyembe ameyasema hayo bungeni leo alipokuwa akihitimisha mjadala wa bajeti ya wizara yake kwa mwaka wa fedha 2019/20.

Amesema kwamba pamoja na kwamba watu wengi wanataka kujua alipo Gwanda lazima waelewe kwamba eneo alilopotelea mwandishi huyo walipotea watu wengi wakiwamo viongozi wa Serikali.

Kutokana na hali hiyo Waziri huyo amesema watu wasiendelee kufuatilia mahali alipo mwandishi huyo kwa kuwa hilo ni suala dhaifu.

Dk Mwakyembe aliyasema hayo bungeni leo alipokuwa alihitimisha mjadala wa bajeti ya wizara yake kwa mwaka wa fedha 2018/20.

“ Pamoja na hayo Serikali itaendelea kudhibiti watu wanaokiuka utoaji wa maoni kwa kuwa hakuna uhuru usiokuwa na mipaka,”amesema Dk Mwakyembe.

Katika hatua nyingine Waziri huyo amewataka watu wanaokashifiwa na magazeti wakalalamike mahakamani kwa kuwa ndiko haki inakopatikana.

Source:Mtanzania Online
Dr Mwakyembe ataka watu waache kuuliza alipo Azory Gwanda.

Na:Maregesi Paul, Dodoma

Waziri wa Habari, Sanaa, Utamaduni na Michezo, Dk Harrison Mwakyembe amewashangaa watu wanaofuatilia mahali alipo mwandishi wa habari Azori Gwanda.

Dk Mwakyembe ameyasema hayo bungeni leo alipokuwa akihitimisha mjadala wa bajeti ya wizara yake kwa mwaka wa fedha 2019/20.

Amesema kwamba pamoja na kwamba watu wengi wanataka kujua alipo Gwanda lazima waelewe kwamba eneo alilopotelea mwandishi huyo walipotea watu wengi wakiwamo viongozi wa Serikali.

Kutokana na hali hiyo Waziri huyo amesema watu wasiendelee kufuatilia mahali alipo mwandishi huyo kwa kuwa hilo ni suala dhaifu.

Dk Mwakyembe aliyasema hayo bungeni leo alipokuwa alihitimisha mjadala wa bajeti ya wizara yake kwa mwaka wa fedha 2018/20.

“ Pamoja na hayo Serikali itaendelea kudhibiti watu wanaokiuka utoaji wa maoni kwa kuwa hakuna uhuru usiokuwa na mipaka,”amesema Dk Mwakyembe.

Katika hatua nyingine Waziri huyo amewataka watu wanaokashifiwa na magazeti wakalalamike mahakamani kwa kuwa ndiko haki inakopatikana.

Source:Mtanzania Online

Mbona magazeti mengine huwa anayafungia? Kwanini hao waliokashifiwa na hayo magazeti asiwashauri wakadai haki mahakamani?
 
Huyu mzee kuna wakati aliugua sana, sijui aliwekewa ' sumu'! Raia tuliungana kumuombea! Kumbe tungeacha tu mana na mimi naona lilikuwa swala dhaifu! Ila hawa ccm Mungu anawaona na malipo ni hapa hapa duniani! Yule mkubwa wa Sudan za hizi ananyea ndoo!
 
Dr Mwakyembe ataka watu waache kuuliza alipo Azory Gwanda.

Na:Maregesi Paul, Dodoma

Waziri wa Habari, Sanaa, Utamaduni na Michezo, Dk Harrison Mwakyembe amewashangaa watu wanaofuatilia mahali alipo mwandishi wa habari Azori Gwanda.

Dk Mwakyembe ameyasema hayo bungeni leo alipokuwa akihitimisha mjadala wa bajeti ya wizara yake kwa mwaka wa fedha 2019/20.

Amesema kwamba pamoja na kwamba watu wengi wanataka kujua alipo Gwanda lazima waelewe kwamba eneo alilopotelea mwandishi huyo walipotea watu wengi wakiwamo viongozi wa Serikali.

Kutokana na hali hiyo Waziri huyo amesema watu wasiendelee kufuatilia mahali alipo mwandishi huyo kwa kuwa hilo ni suala dhaifu.

Dk Mwakyembe aliyasema hayo bungeni leo alipokuwa alihitimisha mjadala wa bajeti ya wizara yake kwa mwaka wa fedha 2018/20.

“ Pamoja na hayo Serikali itaendelea kudhibiti watu wanaokiuka utoaji wa maoni kwa kuwa hakuna uhuru usiokuwa na mipaka,”amesema Dk Mwakyembe.

Katika hatua nyingine Waziri huyo amewataka watu wanaokashifiwa na magazeti wakalalamike mahakamani kwa kuwa ndiko haki inakopatikana.

Source:Mtanzania Online
Huyu Dr wa hovyo kabisa angekua alinifundisha ningerudisha degree yao
 
sasa mbona wenyewe wanayafungia magazeti yanayowakosoa kwa nini wasiyapeleke mahakamani
 
Umeshasema yamekiuka taratibu na serikali ina mamlaka ya kuyafungia magazeti pale yanapokiuka taratibu. Sasa kwa Zito Gazeti limekiuka taratibu gani?Hayo malalamiko kampelekea nani?Au huko tweeter na fb ndio Serikali iliko?
Serekali ndo inayosema kuwa yamekiuka taratibu wa habari kama zito anavyo tuhumu pia.
Umshauri Zitto aende mahakamani kitu ambacho ni kizuri ingawa linapokuja swala la serekali kuyatuhumu magazeti hayo hutaki iende mahakamani kutafuta haki. Nilo likataa hapa ni serekali kuwa mlalamikaji na kisha kuwa hakimu. Hivi umeshafikiria kama Zitto angekuwa na mamlaka ya kulalamika na kuhukumu hilo gazeti angelifanyaje???
 
Eeeeh mwakyembe ni mwanasheria huyu sio????hivi anajielewa kweli?
 
Lakini bado usajili wa magazeti yote uko chini ya Wizara yake, kwani anapendezwa na aina ya uandishi wa hili gazeti? Je, angekuwa ameandikwa kiongozi yeyote wa Serikali angesema hayo ama lingefungiwa?
Namimi swala la Tanzanite naunga mkono. Mtu kama hatendewi haki na gazeti flani kwanini haendi mahakaman?Badala yake naye anakuja mitandaoni kutoa shutuma zake. Haki inatolewa mahakaman sio kwenye page za social networks.
 
Hizo ndio tunaita ramli, kwamba hata mahakaman hujawahi enda unasema Mahakama zinapindisha sheria. Leo hii zito anaandikwa uchafu wake badala ya kumburuza mahakaman mhariri anakimbilia tweeter au fb kutoa shutuma zake naye.Oooh anatumwa TISS, Tuseme kweli anatumwa na TISS, je anayoongea ni SAHIHI au sio sahihi?

Narudia tena Misuli, mahakama za huku Afrika huwa hazitoi haki iwapo unafanyiwa ufedhuli na watawala. Hilo gazeti ni la mtawala analitumia kama sehemu ya kuwachafua washindani wake. Kwa mfano Membe kaamua kwenda mahakamani, huko ataishia kupotezewa muda na hatashinda chochote, na hata ikitokea akashinda hakuna utekelezaji wowote wa hiyo hukumu utafanyika na hilo gazeti litaendelea kumchafua yeye na yoyote anayemsumbua mtawala. Huu ni upumbavu wa muafrika anapokuwa na madaraka. Ww tetea, jenga hoja lakini huna jipya kwa sababu haya yanayofanywa na hilo gazeti ni upuuzi wa viongozi wa kiafrika.
 
Back
Top Bottom