Mwaliko wa Vatican: Je, Mama kumsujudia Papa kwa kuibusu pete yake?

Mwaliko wa Vatican: Je, Mama kumsujudia Papa kwa kuibusu pete yake?

Hakuna cha ajabu. Rais Samia atafanya yote atakayotakiwa kufanya. Kama ni kubusu pete, atafanya. Kama ni magoti atapiga.

Hata Papa akiingia msikitini, atavua viatu. Kule Saudi Arabia, aliendesha misa ndani ya msikiti.

Kwanza wale waislam wanaofuata kwa umakini mafundisho ya Mtume, katika msingi wa imani, Waislam hawapo mbali na ukristo:

Wote wanasema Mungu ni mmoja tu na ana uwezo wote. Tofauti ipo tu kwenye utatu mtakatifu, kitu ambacho waislam hawakubali.

Wote wanaamini Yesu mimba yake ilitungwa kwa muujiza, wote wanakubali Yesu alitenda miujiza mingi. Wote wanakubali kuwa Yesu atarudi tena Duniani siku za mwisho. Tofauti ni pale ambapo Wakristo wanaamini Yesu ni nafsi kamili ya Mungu, na kuwa alikufa msalabani na kufufuka. Waislam wanaamini Yesu (Isa) hakusulibiwa msalabani, siyo nafsi ya Mungu bali ni nabii wa ngazi ya juu. Mtume Muhamad anasema kuwa yeye ni mfuasi namba moja wa Nabii Isa bin Mariam. Lakini waislam wasioijua Kurani wanamtusi Yesu ambaye Muhamad anasema kuwa ni mfuasi wake namba moja.

Kule India kuna Kanisa ambalo linawapa nafasi waislam kulitumia kanisa hilo kwa swala siku ya Ijumaa. Na jamii nzima, wakristo na waislam, wote wanaliona kanisa hilo ni nyumba yao ya kumwabudia Mungu wao.
 
Hakuna cha ajabu. Rais Samia atafanya yote atakayotakiwa kufanya. Kama ni kubusu pete, atafanya. Kama ni magoti atapiga.

Hata Papa akiingia msikitini, atavua viatu. Kule Saudi Arabia, aliendesha misa ndani ya msikiti.

Kwanza wale waislam wanaofuata kwa umakini mafundisho ya Mtume, katika msingi wa imani, Waislam hawapo mbali na ukristo:

Wote wanasema Mungu ni mmoja tu na ana uwezo wote. Tofauti ipo tu kwenye utatu mtakatifu, kitu ambacho waislam hawakubali.

Wote wanaamini Yesu mimba yake ilitungwa kwa muujiza, wote wanakubali Yesu alitenda miujiza mingi. Wote wanakubali kuwa Yesu atarudi tena Duniani siku za mwisho. Tofauti ni pale ambapo Wakristo wanaamini Yesu ni nafsi kamili ya Mungu, na kuwa alikufa msalabani na kufufuka. Waislam wanaamini Yesu (Isa) hakusulibiwa msalabani, siyo nafsi ya Mungu bali ni nabii wa ngazi ya juu. Mtume Muhamad anasema kuwa yeye ni mfuasi namba moja wa Nabii Isa bin Mariam. Lakini waislam wasioijua Kurani wanamtusi Yesu ambaye Muhamad anasema kuwa ni mfuasi wake namba moja.

Kule India kuna Kanisa ambalo linawapa nafasi waislam kulitumia kanisa hilo kwa swala siku ya Ijumaa. Na jamii nzima, wakristo na waislam, wote wanaliona kanisa hilo ni nyumba yao ya kumwabudia Mungu wao.

Papa hakuwahi kuvua viatu alipoingia msikitini acha kupotosha. RC ndio mtawala wa dunia.
 
Mwaliko uliombwa na Hayati Rais John Magufuli ulikubaliwa mwaka 2019 wakati wa COVID 19 ikashindikana Papa kuja Tanzania wala Rais Magufuli kwenda Vatican,

Nani aende Vatican baada ya kuondoka kwa Rais Magufuli!? jibu ni Mama,Je atakwenda kujifunza injili ya Bwana wetu Yesu kristo!? Je ataibusu Pete ya Papa pale watakapokutana!? Je atakwenda kuutetea vipi mkataba wa Dp World ambao umeingiwa na hauwezi kuvunjika!?

Kwa doctrine ya TEC na majasusi wa Kanisa, Vatican ina majibu yote juu ya Tanzania,watataka kusikia majibu ya Mama na wao kufanya maamuzi yao! Diplomasia ipo kwenye Kipimo.
When in Rome, do as the Romans does!. Mama Samia will bow down, wanaoibusu pete ya Pontiff ni viongozi Wakatoliki pekee!..
Vatican haijihusishi kabisa na siasa za nchi yoyote, ule waraka wa TEC, mwisho wake ni Kurasini!.
P
 
Mwaliko uliombwa na Hayati Rais John Magufuli ulikubaliwa mwaka 2019 wakati wa COVID 19 ikashindikana Papa kuja Tanzania wala Rais Magufuli kwenda Vatican,

Nani aende Vatican baada ya kuondoka kwa Rais Magufuli!? jibu ni Mama,Je atakwenda kujifunza injili ya Bwana wetu Yesu kristo!? Je ataibusu Pete ya Papa pale watakapokutana!? Je atakwenda kuutetea vipi mkataba wa Dp World ambao umeingiwa na hauwezi kuvunjika!?

Kwa doctrine ya TEC na majasusi wa Kanisa, Vatican ina majibu yote juu ya Tanzania,watataka kusikia majibu ya Mama na wao kufanya maamuzi yao! Diplomasia ipo kwenye Kipimo.
Vatican ni nchi na wanakwenda kule wanaenda kama waendavyo nchi nyingine, hawendi kwa masuala ya dini.

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Mwaliko uliombwa na Hayati Rais John Magufuli ulikubaliwa mwaka 2019 wakati wa COVID 19 ikashindikana Papa kuja Tanzania wala Rais Magufuli kwenda Vatican,

Nani aende Vatican baada ya kuondoka kwa Rais Magufuli!? jibu ni Mama,Je atakwenda kujifunza injili ya Bwana wetu Yesu kristo!? Je ataibusu Pete ya Papa pale watakapokutana!? Je atakwenda kuutetea vipi mkataba wa Dp World ambao umeingiwa na hauwezi kuvunjika!?

Kwa doctrine ya TEC na majasusi wa Kanisa, Vatican ina majibu yote juu ya Tanzania,watataka kusikia majibu ya Mama na wao kufanya maamuzi yao! Diplomasia ipo kwenye Kipimo.
Mh rais Samia anaenda kwa ziara ya kiserikali na siyo kidini. Papa ni mkuu wa nchi na kiongozi wa kanisa katoliki duniani
Samia ni mwenyekiti wa CCM na rais wa nchi, kule haendi kama mwenyekiti wa CCM bali mkuu nchi.
Mambo ya kubusu pete kama yapo hayaathiri Imani ya kidini ya rais wetu na hawataongelea jambo hata moja la kuhusu Yesu wala ukristo.
 
Alhaji Jakaya Kikwete akiwa na Papa Benedict XVI
pope-resigns-reax.jpg
 
When in Rome, do as the Romans does!. Mama Samia will bow down, wanaoibusu pete ya Pontiff ni viongozi Wakatoliki pekee!..
Vatican haijihusishi kabisa na siasa za nchi yoyote, ule waraka wa TEC, mwisho wake ni Kurasini!.
P
Mbona Kikwete aliibusu!!
 
Back
Top Bottom