Mwalimu adaiwa kumpiga ngumi mwanafunzi na kumng'oa jino, eti Kisha kapata alama 29 za Hisabati

Mwalimu adaiwa kumpiga ngumi mwanafunzi na kumng'oa jino, eti Kisha kapata alama 29 za Hisabati

Je MTU akifundisha na akarudi nyumbani bila kuchapa viboko mshahara hapewi.

Waalimu wa serikali wana upeo mdogo Sana na hawatazami mbali.
 
Mwalimu wa Secondary ya BUNDIKANI iliyopo Kibaha Maili Moja Jana Alhamisi July 25, 2024 amempiga ngumi na kumtoa jino bila ganzi mwanafunzi wa kidato cha 3A.

Wanafunzi wote waliopata chini ya alama 30 za somo analofundisha la Hisabati alipanga kuwachapa, mwanafunzi hakikataa kuchapwa na alipokuwa anamchapa mkononi mwanafunzi alitulia bila kuugulia maumivu kitendo ambaco mwalimu aliona ni dharau na kutaka kumchapa makalioni. Mwanafunzi akasema huwa hachapwi makalioni na hata Mwalimu Mkuu na Mwalimu wa malezi wa darasa lao kidato cha 3A wote wanafahamu kibali hicho cha kutochapwa makalioni.

Mwalimu akaanza kumchapa kichwani kitendo kilichomfanya mwanafunzi akimbilie nje ya darasa kujiepusha na adhabu za kiholela. Mwalimu akawahi kufungua milango ndani ndipo alipomtandika ngumi kama mwizi na kumtoa jino Moja na lingine limelegea sana litatoka muda wowote.

Jambo hilo limeshuhudiwa na wanafunzi wote darasani hivyo ushahidi upo.

Je hii ni halali? Mwanafunzi amefuata ELIMU lakini anakutana na ulemavu wa kudumu. Wanahabari wa Mkoa wa Pwani liangazieni swala hilo tena ofisi zenu (Press Club) haizidi hata kilometers Moja kutoka shule ya BUNDIKANI.
Oh!.
Msala tena...
 
😂😂😂Nasimama na huyu Mwalimu,huyo dogo alipaswa kupewa kipigo cha mbwa koko kutokana na dharau alizoonesha.
 
Mwalimu wa Secondary ya BUNDIKANI iliyopo Kibaha Maili Moja Jana Alhamisi July 25, 2024 amempiga ngumi na kumtoa jino bila ganzi mwanafunzi wa kidato cha 3A.

Wanafunzi wote waliopata chini ya alama 30 za somo analofundisha la Hisabati alipanga kuwachapa, mwanafunzi hakikataa kuchapwa na alipokuwa anamchapa mkononi mwanafunzi alitulia bila kuugulia maumivu kitendo ambaco mwalimu aliona ni dharau na kutaka kumchapa makalioni. Mwanafunzi akasema huwa hachapwi makalioni na hata Mwalimu Mkuu na Mwalimu wa malezi wa darasa lao kidato cha 3A wote wanafahamu kibali hicho cha kutochapwa makalioni.

Mwalimu akaanza kumchapa kichwani kitendo kilichomfanya mwanafunzi akimbilie nje ya darasa kujiepusha na adhabu za kiholela. Mwalimu akawahi kufungua milango ndani ndipo alipomtandika ngumi kama mwizi na kumtoa jino Moja na lingine limelegea sana litatoka muda wowote.

Jambo hilo limeshuhudiwa na wanafunzi wote darasani hivyo ushahidi upo.

Je hii ni halali? Mwanafunzi amefuata ELIMU lakini anakutana na ulemavu wa kudumu. Wanahabari wa Mkoa wa Pwani liangazieni swala hilo tena ofisi zenu (Press Club) haizidi hata kilometers Moja kutoka shule ya BUNDIKANI.
Nampongeza mwalimu

Hiki kizazi kinashida mno,
 
We umejuaje?? Kama ni mwl mwenzako why usingeingilia Kati kuliko??
 
Mwalimu wa Secondary ya BUNDIKANI iliyopo Kibaha Maili Moja Jana Alhamisi July 25, 2024 amempiga ngumi na kumtoa jino bila ganzi mwanafunzi wa kidato cha 3A.

Wanafunzi wote waliopata chini ya alama 30 za somo analofundisha la Hisabati alipanga kuwachapa, mwanafunzi hakikataa kuchapwa na alipokuwa anamchapa mkononi mwanafunzi alitulia bila kuugulia maumivu kitendo ambaco mwalimu aliona ni dharau na kutaka kumchapa makalioni. Mwanafunzi akasema huwa hachapwi makalioni na hata Mwalimu Mkuu na Mwalimu wa malezi wa darasa lao kidato cha 3A wote wanafahamu kibali hicho cha kutochapwa makalioni.

Mwalimu akaanza kumchapa kichwani kitendo kilichomfanya mwanafunzi akimbilie nje ya darasa kujiepusha na adhabu za kiholela. Mwalimu akawahi kufungua milango ndani ndipo alipomtandika ngumi kama mwizi na kumtoa jino Moja na lingine limelegea sana litatoka muda wowote.

Jambo hilo limeshuhudiwa na wanafunzi wote darasani hivyo ushahidi upo.

Je hii ni halali? Mwanafunzi amefuata ELIMU lakini anakutana na ulemavu wa kudumu. Wanahabari wa Mkoa wa Pwani liangazieni swala hilo tena ofisi zenu (Press Club) haizidi hata kilometers Moja kutoka shule ya BUNDIKANI.
Mbnona matukio ya walimu yamekua mengi kwani wazilinwa Elimu hapati hizi taarifa🤔
 
Safi sana kwa mwalimu wenzake wote wamechapwa yeye anajifanya mwamba
Huyo mwalimu mi ningedeal nae kimtaamtaa kama mzazi tena baada ya siku nyingi tukio kutokea. akiwa kajisahau kabisa. Nae jino ama meno mawili lazima yamtoke
 
Huyo mwalimu mi ningedeal nae kimtaamtaa kama mzazi tena baada ya siku nyingi tukio kutokea. akiwa kajisahau kabisa. Nae jino ama meno mawili lazima yamtoke
Unaweza kutandikwa mitama na wewe...

Walimu siku hizi wanapita JKT, sio wa kuonea tena.
 
Unaweza kutandikwa mitama na wewe...

Walimu siku hizi wanapita JKT, sio wa kuonea tena.
Labda kwa mzazi mbugila..
Kuna adhabu mtoto kupewa sawa
Ila kuna adhabu zingine ni kukomoa,hasira za mwalimu unamuhqmishia mtoto

Ova
 
Labda kwa mzazi mbugila..
Kuna adhabu mtoto kupewa sawa
Ila kuna adhabu zingine ni kukomoa,hasira za mwalimu unamuhqmishia mtoto

Ova
Siungi mkono alichofanya mwalimu...

Ila kudeal na watoto wa kizazi hiki inahitaji roho wa Mungu...

Watumishi ambao kazi zao haziwakutanishi na raia kila siku wanaweza wasimuelewe mwalimu...
 
Yanini kulazimisha hesabu, wakati mtu anajisomea zake jiografia.Walimu waache stress.
 
Kuna wapumbavu wanatetea huo ujinga wakidai eti walimu wana wajibu wa malezi kwa wanafunzi!
 
Back
Top Bottom