Mwalimu aliyekuwa anaishi ofisini apata makazi

Mwalimu aliyekuwa anaishi ofisini apata makazi

Tukisema hii kada inadharaulika mnanijia juu, yani mpaka wananchi wameamua kujichanga kumjengea banda la kulala

UALIMU ni kada ya ajabu haijawahi kutokea. Hapa bongo mimi naapa bora niwe nadeki vyoo vya wafungwa na kusafisha ndoo za uharo kuliko kuwa kwenye hii kada looohView attachment 2647085
Hujawahi kuniangusha kwa kuhamasisha kuhusu hi tasinia ya ualimu unao sema ni ukweli mtupu na hivi punde waalimu wa nchi hi watasikilizwa tu, hali ya ualimu ni mbaya imewafanya waalimu waishe maisha ya kiufukara na huonekana kama majinga tu.........wajinga ndo wanao kupinga ila wewe ni true whistle-blower wa taifa
 
Hujawahi kuniangusha kwa kuhamasisha kuhusu hi tasinia ya ualimu unao sema ni ukweli mtupu na hivi punde waalimu wa nchi hi watasikilizwa tu, hali ya ualimu ni mbaya imewafanya waalimu waishe maisha ya kiufukara na huonekana kama majinga tu.........wajinga ndo wanao kupinga ila wewe ni true whistle-blower wa taifa
Thanks much my Homie
 
Tukisema hii kada inadharaulika mnanijia juu, yani mpaka wananchi wameamua kujichanga kumjengea banda la kulala

UALIMU ni kada ya ajabu haijawahi kutokea. Hapa bongo mimi naapa bora niwe nadeki vyoo vya wafungwa na kusafisha ndoo za uharo kuliko kuwa kwenye hii kada looohView attachment 2647085
MPwayungu Mungu anakuona aisee.

Unaiasisi vyema kada ya ualimu. Wasichokijua ni kwamba unapambania kada hiyo kwa jasho na damu ilihali waalimu wenyewe wanakulaani na wanatamani ufutike.

Kudos mkuu
 
MPwayungu Mungu anakuona aisee.

Unaiasisi vyema kada ya ualimu. Wasichokijua ni kwamba unapambania kada hiyo kwa jasho na damu ilihali waalimu wenyewe wanakulaani na wanatamani ufutike.

Kudos mkuu
Nasitaki hongera zao, nitawapa spana za kutosha mpaka nati ziwakae Sawa
 
Kazi ya kimaku sana naahidi kuunga mkono hoja zote za Mpwayungu halafu walimu hawaonagi aibu mtu unaishije ofisini kishapu sijui kiloleli hapo tukimfwatilia kachangishwa Hela ya Mwenge
 
Mwalimu Mpwayungu sioni sababu ya wewe kuteseka na walimu wenzako acha kila mmoja ashinde mechi zake.
 
Back
Top Bottom