Mwalimu aliyekuwa anaishi ofisini apata makazi

Mwalimu aliyekuwa anaishi ofisini apata makazi

Hao wenye elfu tatu wamepanga ila mwalimu analala mpaka chooni [emoji23][emoji23][emoji23]
Nakuelewa sn mkuu.. mwalimu anaweza akawa analipwa pesa zaid ya mlinzi lkn walimu wengi fikra zao mgando, majungu, fitina na roho mbaya zimewajaa na ndo maana hawawez kufanikiwa
 
Nakuelewa sn mkuu.. mwalimu anaweza akawa analipwa pesa zaid ya mlinzi lkn walimu wengi fikra zao mgando, majungu, fitina na roho mbaya zimewajaa na ndo maana hawawez kufanikiwa
Walimu wote ni wachawi tuu
 
Tukisema hii kada inadharaulika mnanijia juu, yani mpaka wananchi wameamua kujichanga kumjengea banda la kulala

UALIMU ni kada ya ajabu haijawahi kutokea. Hapa bongo mimi naapa bora niwe nadeki vyoo vya wafungwa na kusafisha ndoo za uharo kuliko kuwa kwenye hii kada looohView attachment 2647085
Hii picha ndio ofisi au nyumba aliyojengewa? Tz unatia simanzi!
 
Mshahara haupo kwa ajili ya kumtajirisha mtu ukiona mtumishi wa umma ametajirika ujue huyo ni mwizi . Kama uliingia kwenye utumishi ili utajirike umekosea njia na utajichukia mpaka unastaafu
Imeniuma sana hii comment yako,nna mwaka watano TAMISEMI ila unachokisema nidhahiri shahiri sana,naona nazidi kujichukia with time,nawaza nakuwazua hivi maisha yangu ndio yatakua hivihivi hadi nastaafu au niamshe zangu tu.nikweli utumishi wa umma kama sio wizi na magendo ngumu sana kuishi maisha ya ndoto zako.
 
Imeniuma sana hii comment yako,nna mwaka watano TAMISEMI ila unachokisema nidhahiri shahiri sana,naona nazidi kujichukia with time,nawaza nakuwazua hivi maisha yangu ndio yatakua hivihivi hadi nastaafu au niamshe zangu tu.nikweli utumishi wa umma kama sio wizi na magendo ngumu sana kuishi maisha ya ndoto zako.
Angalia halmashauri au kituo cha kazi uli ho watu wanafanya nn wasio waajiriwa simanishi ku bet hapana. Mfano kama upo makambako watu wanapanda miti na viazi. Tafuta watu wa kukuongozq chukua shamba panda viazi anzakuvitunza kwa kuiba muda wa mwajiri baada ya muda utavuna. Nunua chakula cha kutosha. Mshahara gawa nusu shamba nusu matumizi. Utakuwa unakua taratibu. Panda mazao ya kudumu huo ndiyo mtaji wako wa kustaafia. Kila ukichukua mkopo weka kwenye hilo zao la kudumu

Baada ya muda jenga vijumba vile vya matofali ya kuchoma kama upo wilayani hapo utaanza kupangisha watumishi wageni.
Kaa mbali na starehe na makundi sogozi mwisho wa siku kila mtu ataendq kwao alipotokea
Note usiache kazi inayokupa ugali utajuta. Ushauri siyo wote mzuri
 
Back
Top Bottom