Mwalimu aliyekuwa anaishi ofisini apata makazi

Mwalimu aliyekuwa anaishi ofisini apata makazi

Sasa kama wanalipwa mshahara vizuri mbona wanalala madasani [emoji23][emoji23][emoji23]
Mshahara haupo kwa ajili ya kumtajirisha mtu ukiona mtumishi wa umma ametajirika ujue huyo ni mwizi . Kama uliingia kwenye utumishi ili utajirike umekosea njia na utajichukia mpaka unastaafu
 
Tukisema hii kada inadharaulika mnanijia juu, yani mpaka wananchi wameamua kujichanga kumjengea banda la kulala

UALIMU ni kada ya ajabu haijawahi kutokea. Hapa bongo mimi naapa bora niwe nadeki vyoo vya wafungwa na kusafisha ndoo za uharo kuliko kuwa kwenye hii kada looohView attachment 2647085
Tunanunua magoli ya Yanga kwanza
 
Mshahara haupo kwa ajili ya kumtajirisha mtu ukiona mtumishi wa umma ametajirika ujue huyo ni mwizi . Kama uliingia kwenye utumishi ili utajirike umekosea njia na utajichukia mpaka unastaafu
Sasa mbona Nikisema walimu ni masikini unakataa
 
Mkuu nimeambiwa jina lako lipo kwenye mkeka wa ajira za afya na elimu,utapangiwa Nangurukuru Primary School
Hhhahaha siwez kuwa kwenye ajira za mafungu mm, nimefika level ya kukataa kuajiriwa hata iwe ni pesa kiasi gn
 
Back
Top Bottom