Kilimbatzz
JF-Expert Member
- Feb 11, 2023
- 9,134
- 14,593
Huyo ni mwalimu asikuumize kichwa chakoKama ni ajira mpya na vjjn hakuna nyumba za block za kupanga akaae wap
Hv unaijua Tanzania mkuu au umeishia Hapo masas KWENU [emoji1][emoji1][emoji1]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyo ni mwalimu asikuumize kichwa chakoKama ni ajira mpya na vjjn hakuna nyumba za block za kupanga akaae wap
Hv unaijua Tanzania mkuu au umeishia Hapo masas KWENU [emoji1][emoji1][emoji1]
Mshahara haupo kwa ajili ya kumtajirisha mtu ukiona mtumishi wa umma ametajirika ujue huyo ni mwizi . Kama uliingia kwenye utumishi ili utajirike umekosea njia na utajichukia mpaka unastaafuSasa kama wanalipwa mshahara vizuri mbona wanalala madasani [emoji23][emoji23][emoji23]
Inawezekan alikuw au alibakwa na mwalimu huyuHuyo ni mwalimu asikuumize kichwa chako
Usifananishe ulinzi na kada hizi za CCMBora hata uwe mlinzi kuliko kua mwalimu au sio ?
Alikuwa na akabakwaInawezekan alikuw au alibakwa na mwalimu huyu
Kwa hio mlinzi hakai kundi moja na Mwalimu ? 😆Usifananishe ulinzi na kada hizi za CCM
Ualimu ni kazi yakizandiki sana mkuu, bora mzibua MaviKwa hio mlinzi na Mwalimu Mara 100 mlinzi Ila sio Mwalimu ? [emoji38]
Watakutana sehemu gani?Kwa hio mlinzi hakai kundi moja na Mwalimu ? 😆
Mkuu sio kweli, nyumba za kupanga zimemshinda??Kama ni ajira mpya na vjjn hakuna nyumba za block za kupanga akaae wap
Hv unaijua Tanzania mkuu au umeishia Hapo masas KWENU [emoji1][emoji1][emoji1]
Mwalimu hawez pata pesa za apa na pale kama za mlinzi, mlinzi akielekeza tu maegesho ya gari ana buku mbili mfukoniWatakutana sehemu gani?
Weekend ukiingia kazini unahesabiwa posho
Sikukuu posho
Night posho
Masaa zaidi ya 8 posho.
Mwalimu anaingia hapo?
Njoeni mlinde
😆😆😆 We jamaa acha Basi punguza ukali wa maneno aseeUalimu ni kazi yakizandiki sana mkuu, bora mzibua Mavi
Tunanunua magoli ya Yanga kwanzaTukisema hii kada inadharaulika mnanijia juu, yani mpaka wananchi wameamua kujichanga kumjengea banda la kulala
UALIMU ni kada ya ajabu haijawahi kutokea. Hapa bongo mimi naapa bora niwe nadeki vyoo vya wafungwa na kusafisha ndoo za uharo kuliko kuwa kwenye hii kada looohView attachment 2647085
Wacheza mpira wamepelekwa na ndege ya Taifa.Kipa kuokoa penat 1 tu kapewa mln 10
[emoji1]
Ova
Hhhahaha wanakunya vichakaniyWacheza mpira wamepelekwa na ndege ya Taifa.
Mwalimu baskeli ni usafiri wa kifahari maana wengi hawana hata baskeli kwa kuwa kwa kipato chao hawamudu.
Sasa mbona Nikisema walimu ni masikini unakataaMshahara haupo kwa ajili ya kumtajirisha mtu ukiona mtumishi wa umma ametajirika ujue huyo ni mwizi . Kama uliingia kwenye utumishi ili utajirike umekosea njia na utajichukia mpaka unastaafu
Hhhahaha siwez kuwa kwenye ajira za mafungu mm, nimefika level ya kukataa kuajiriwa hata iwe ni pesa kiasi gnMkuu nimeambiwa jina lako lipo kwenye mkeka wa ajira za afya na elimu,utapangiwa Nangurukuru Primary School
Inabidi rais afanye kuwakaribisha walim jumba jeupe nao,ale nao chakulaMkuu sio kweli, nyumba za kupanga zimemshinda??
DahWacheza mpira wamepelekwa na ndege ya Taifa.
Mwalimu baskeli ni usafiri wa kifahari maana wengi hawana hata baskeli kwa kuwa kwa kipato chao hawamudu.