Mwalimu aliyekuwa anaishi ofisini apata makazi

Mwalimu aliyekuwa anaishi ofisini apata makazi

Nasikia vijana wanashangilia sana kupata ajira za Ualimu, na akina Mpwayungu wanaongeza mashambulizi humu
 
Wewe jamaa ni chizi sana kuandika na kusoma na usafi umejua kupitia walimu leo una wadharau sishangai kusema wewe ulimegwa kiboga na teacher, huwezi weka bifu zito hivi.
 
Wewe jamaa ni chizi sana kuandika na kusoma na usafi umejua kupitia walimu leo una wadharau sishangai kusema wewe ulimegwa kiboga na teacher, huwezi weka bifu zito hivi.
Sasa kulala ofisini ni utaratibu gn nawww??? Kwanza ni kosa kulala ofisi ya umma kama hana ata elfu ishirini alale chooni
 
Wewe hauko sawa
Ualimu umekufanyaje mzee mzima mpaka uuchukie kiasi cha kuona ni kazi ya laana?
Mkuu ualimu ni jehanamu moja Kwa moja, wamelaniwa ndomana wote ni masikini wa kutupwa kwenye dampo
 
Back
Top Bottom