Mpwayungu Village
JF-Expert Member
- Jul 21, 2021
- 14,540
- 30,875
- Thread starter
- #61
Bora zitupwe kuliko wapewe walimu, I hate them too muchHizo fedha bora wangepewa waalimu kuliko kuzibagaza.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bora zitupwe kuliko wapewe walimu, I hate them too muchHizo fedha bora wangepewa waalimu kuliko kuzibagaza.
Katika maticha 100 mwenye akili mmojaNa ukizingatia Hawana akili
Kwani amekuita ukalale si analala yeye 😀😀😀Unaona ni maisha hayo? Huoni ni fedheha mbele za watu kukaa kwenye banda la mbuzi hilo hata mwendawazimu hawez kukubali. Ametoka kulala madarasani saizi kahamia kwenye banda la mbuzi
Wanafulia maji ya mtoniKadeti imepaukaa inanuka uvundo Ina mwezi haifuliwi
Hao walimu wanajua sasa kupigania haki zao?Hizo fedha bora wangepewa waalimu kuliko kuzibagaza.
Achana nao, hawana akili haoKwani una bifu Gani na walimu mkuu ??
Sasa kulala ofisini ni utaratibu gn nawww??? Kwanza ni kosa kulala ofisi ya umma kama hana ata elfu ishirini alale chooniWewe jamaa ni chizi sana kuandika na kusoma na usafi umejua kupitia walimu leo una wadharau sishangai kusema wewe ulimegwa kiboga na teacher, huwezi weka bifu zito hivi.
Ndoto zao ndozimefia apo, believe meNasikia vijana wanashangilia sana kupata ajira za Ualimu, na akina Mpwayungu wanaongeza mashambulizi humu
Tena hayo Maji akiyapata anazunguka nayo mtaa mzima yani hilo Kopo linakuwa show sebleni amewahi kunywa Maji ya dukani [emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]Hao walimu wanajua sasa kupigania haki zao?
Niliwaona wanagombania maji ya kunywa ya kopo siku ya meimos
Hhhahaha mkuu kumbe unawajuaWanafulia maji ya mtoni
Afu buti wanasafishia unga wa betrii
Hawana akili, hawajitambui, ni wachafu kuogaKwani amekuita ukalale si analala yeye [emoji3][emoji3][emoji3]
Huyo mmoja yupi?? Ni wote Hawana akili waleee mkuuKatika maticha 100 mwenye akili mmoja
Wewe hauko sawaWeweeee usifananishe mlinzi na kazi za laana
Uhuuhuhuhu [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Huo mjengo ni yeye tu kuamua atokee dirishani au mlangoni
Kulala ofisini ni tatizo lakini usigeneralize walimu wote hawana akili.Sasa kulala ofisini ni utaratibu gn nawww??? Kwanza ni kosa kulala ofisi ya umma kama hana ata elfu ishirini alale chooni
Mkuu ualimu ni jehanamu moja Kwa moja, wamelaniwa ndomana wote ni masikini wa kutupwa kwenye dampoWewe hauko sawa
Ualimu umekufanyaje mzee mzima mpaka uuchukie kiasi cha kuona ni kazi ya laana?