Mwalimu aliyekuwa anaishi ofisini apata makazi

Mwalimu aliyekuwa anaishi ofisini apata makazi

Nawaheshimu sana waalimu vijana wa kileo wanasumbuliwa na utandawazi. Hawatambui walikotoka waendako na vizazi vijao.
Ni kwa bahati mbaya sana vijana hawa wa kileo wanamiliki simu janja na kuitumia vibaya.
Mbaya zaidi kuna vijana maarufu lakini hawamudu chakula malazi na garama za makazi
Mpwayungu Villa
Najua Mpwayungu Village unaakili nyingi za kukutosha unaweza usihitaji ushauri kwa sasa lakini nakushauri uwe mwanaharakati ikifika 2030-35 gombea.

Kama utakuwa vizuri kiuchumi chukua fomu ya ubunge kwa tiketi ya chama pinzani, unaweza kupata kwa 85% na ukawa mbunge.
Kama ukiona hujaimarika vya kutosha chukua udiwani 2025 ujifunze siasa na propaganda ikifika 2028 chukua fomu ya ubungu wa Africa mashariki kwa vijana...

Usichoke kujaribu haya ni maono yangu kwako. Unaweza kuwa utabiri hatari kwa sasa lakini unakiwango sahihi kutimizika endapo tu utaheshimu akili na kutokupenda kukaa kwenye comfortable zone muda mwingi.
 
Nawaheshimu sana waalimu vijana wa kileo wanasumbuliwa na utandawazi. Hawatambui walikotoka waendako na vizazi vijao.
Ni kwa bahati mbaya sana vijana hawa wa kileo wanamiliki simu janja na kuitumia vibaya.
Mbaya zaidi kuna vijana maarufu lakini hawamudu chakula malazi na garama za makazi
Mpwayungu Villa
Najua Mpwayungu Village unaakili nyingi za kukutosha unaweza usihitaji ushauri kwa sasa lakini nakushauri uwe mwanaharakati ikifika 2030-35 gombea.

Kama utakuwa vizuri kiuchumi chukua fomu ya ubunge kwa tiketi ya chama pinzani, unaweza kupata kwa 85% na ukawa mbunge.
Kama ukiona hujaimarika vya kutosha chukua udiwani 2025 ujifunze siasa na propaganda ikifika 2028 chukua fomu ya ubungu wa Africa mashariki kwa vijana...

Usichoke kujaribu haya ni maono yangu kwako. Unaweza kuwa utabiri hatari kwa sasa lakini unakiwango sahihi kutimizika endapo tu utaheshimu akili na kutokupenda kukaa kwenye comfortable zone muda mwingi.
[emoji120][emoji120][emoji120]
 
Angetutajia kwanza madaraja ya mishahara ya watumishi wote wa halmashauri ili tujue hao walimu wananyanyaswa na kudharauriwa kivipi?
Cc tunajua ndo mana tunamshangaa tu
Kijana anatakiwa atofautishe kati ya marupurupu na wizi toka kwa kada nyingine
Mtoa madabyeye mwenyewe ni mwalimu, alishagatoa uzi huko nyuma akiwa chuini anasoma diploma ya ualimu
 
Angalia mgeto huo wa madam ticha

Aiseeeeee, sibezi kada ya ualimu

Ila kuwa mwalimu bongo hii bora ukapige debe

Afu ukisha kuwa ticha ghafla akili inaanza kulemaa, ni wachache sana wanaobaki kwenye mstari

Hivi Nyie maticha, yale makadeti yaliopauka pauka mnatoaga wapi, mazeee
 
Angalia mgeto huo wa madam ticha

Aiseeeeee, sibezi kada ya ualimu

Ila kuwa mwalimu bongo hii bora ukapige debe

Afu ukisha kuwa ticha ghafla akili inaanza kulemaa, ni wachache sana wanaobaki kwenye mstari

Hivi Nyie maticha, yale makadeti yaliopauka pauka mnatoaga wapi, mazeee
Kadeti imepaukaa inanuka uvundo Ina mwezi haifuliwi
 
Nyumba kashapata mjadala hakuna ni ahamie tu alale vizuri [emoji3]
Unaona ni maisha hayo? Huoni ni fedheha mbele za watu kukaa kwenye banda la mbuzi hilo hata mwendawazimu hawez kukubali. Ametoka kulala madarasani saizi kahamia kwenye banda la mbuzi
 
Back
Top Bottom