Mwalimu aliyetoweka Simiyu akutwa amefariki Musoma

Imagine katika mazingira ya aina hiyo, halafu mtu analeta taarifa huku akikejeli. Kisa tu huyo marehemu alikuwa ni mwalimu. This is totally unfair.

Huyu dogo Mwenyezi Mungu amrehemu.
 
Angekuwa analeta hoja angejibiwa, wewe nawe unaonekana tuu chuki moja na mtoa mada, yaani kwa akili yako unaona kabisa anatoa hoja? Hujiulizi kwanini kila mtu anamlalamikia? If possible update your IQ brother, huu upumbavu
Mkuu mbona mimi sina chuki na mualimu Baba angu alikua mualimu japo aliacha mapema Mjoba angu ni mualimu secondary,.... mimi nacho semea nyie waalimu mlimesoma mambo mengi kama saikolojia tumiani hiyo saikolojia mlio soma kumjibu huyu, bila kutumia matusi kama yeye.
 
Ameathirika kisaikolojia hata kwa mtu ambae hujasoma saikolojia unaliona hili
 
Mimi wala sina shida na Mpwayungu maana anayoyasema ni ya kweli
 
Ameathirika kisaikolojia hata kwa mtu ambae hujasoma saikolojia unaliona hili
Shida ipo tena kubwa sana.Moyo wake umejaa hasira na hana pa kuzitolea zaidi ya kuja hapa Jukwaani na kuanza bullying na bahati mbaya sana Walimu ndiyo wamekuwa wahanga wa depression aliyo nayo.
 
Sijui kwa nini dunia haina ubinadamu
 
Na huyu jamaa Mpwayungu village na kejeli zote Kwa walimu ila siku mtoto wake akifika umri wa kwenda shule ataenda kumkabidhi mtoto wake wa walimu hao hao anaowaita mapoyoyo.

Na aje hapa atambe kuwa haitatokea hata siku Moja mtoto wake atakuwa chin ya uangalizi wa hao walimu anaowatukana Kila siku. It's obvious huyu jamaa ana Shida kubwa na bahati mbaya sana kwake hajui kama ana Shida.

Kale kautafiti kaliko sema katika Kila watz 4 mmoja ana kichaa Mpwayungu yupo next level huyu anabeba watu 18.😂😂😂
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…