Mwalimu aliyetoweka Simiyu akutwa amefariki Musoma

Mwalimu aliyetoweka Simiyu akutwa amefariki Musoma

Umarehemu kautaka yeye, Tamaa ya pesa kaenda kuroga kafa
Umethibitisha chanzo cha kifo chake pasipo na shaka ya kwamba kimesababishwa na tamaa ya pesa? Au hilo gazeti ulilocopy hii taarifa yako, ndiyo polisi wenye mamlaka ya kutolea tamko?

Mambo mengine unatakiwa uyaache yapite. Huku unakokwenda utapotea kijana. Na kama mimi ni muongo, basi muda ni rafiki mzuri.
 
Umethibitisha chanzo cha kifo chake pasipo na shaka ya kwamba kimesababishwa na tamaa ya pesa? Au hilo gazeti ulilocopy hii taarifa yako, ndiyo polisi wenye mamlaka ya kutolea tamko?

Mambo mengine unatakiwa uyaache yapite. Huku unakokwenda utapotea kijana. Na kama mimi ni muongo, basi muda ni rafiki mzuri.
Hii ni report ya vyombo vya dola sio mimi, sasa wewe mwalimu endelea kubisha ila ukweli ndo huo ndio mana nikaweka citations
 
Jamani
Mbona kama hii hadithi ya kifo cha mpendwa wetu Monica kala hainikai kichwani?


Tokea lini jeshi la zimamoto ndo wanafuata maiti eneo la tukio na kuipeleka monchwari?

Kuna jambo halijakaa vyema hapo

Maiti ipo kwenye maji. Pia umefupisha kulitaja kwa kirefu linaitwa jeshi la zimamoto na uokoaji
 
Wamekukosea
Walimu hawa majinga ambayo hayana vision zaidi ya ugali na soya najuta kufundishwa na mialimu
Wamekukosea nini mkuu?
Ebu jaribu kuzungumza na m1 m1 ikiwa ualimu ni chaguo lao ama mizigo,majukumu yanayowakabil na uchumi usioridhisha wa mababu zao ndio umewasukumia huko?
Ninachokifahamu mimi katika Walimu uwatukanao,ukichukua Walimu 20, ni m1 tu ndiye anaye upenda ualimu na 96% ya Walimu ama walianza kuyakabili majukumu kama mlezi ama mzazi hata kabla ya kumaliza kidato.

Wengi wao wana extended family kwa maana ya siyo tu kuwalea,bali pia kuwavusha wadogo zao,binamu zao,wapwa zao,watoto wa marehemu kaka ambao pengine wana ndoto za kuwa watu mahili ktk nyanja tofautitofauti Kitaifa na Kimataifa.

Hao Walimu uwatukanao baadhi yao wametumika km ngazi kuwapandisha wadogo zao ambao pengine leo hii ni Judges,Mabalozi,Mawaziri nk.

Ukinionba mifano sina lkn Walimu hao kuna damu za ukoo wenu mmezitelekeza ama wao wanaishi nao na wanawahudumia na pengine wanawahudumia pale shuleni, unakuta mtoto ana nia na bidii anazo tele lkn haungwi mkono na ndugu ama ametelekezwa,basi Walimu wengi uhudumia watoto wa namna hii kwa wingi.

Labda ungesema kwamba serikali ina nia ya dhati kabisa kumkandamiza na kumnyonya mtumishi wa Mma ingekaa poa kuliko kumtukuna Mwl.

Hiyo iko wazi kabisa. Iko wapi haja ya Watumishi kudai haki ambayo serikali inatambua kuwa wanasitahili kupewa ili kuboresha na kuinua hali na maisha yao? Wewe unadhani ni nia ya serikali kuboresha masirahi ya Watumishi wa Mma?

Sema hivi, Tz kuna wasomi wasiokuwa na maarifa ndiyo maana walianzisha,walipitisha na kukubali;

1 : Vyama vya wafanyakazi ili viwanyonye watumishi na ukizingatia kwamba msingi wa uwepo wa vyama hivi ilikuwa ni kipindi cha kudai Uhuru.(sasa hivi tuko Huru,vyama ni vya nini?)

2: Kuchelewesha kwa makusudi kinua mgongo na mirathi kwa kusingizia kutokamilika kwa taarifa.

3: Kuanzisha,kupitisha na kukubali uwepo wa hicho kinachoitwa kikokotoo kandamizi.(Mtu kalitumikia taifa kwa takribani miaka 27,amemaliza,kumpatia kinua mgongo chake mnaweka nongwa ili afe kwa msongo wa mawazo mapema ninyi mchukue fedha zake.

Mkuu,km ww siyo mfu kwa sasa nadhani tongotongo zimekutoka machoni,ni wajibu wako sasa kuwaomba Walimu msamaha kwa ma2C yako ya bila kukusudia.

Naziweka shukurani zangu hapa chini.
 
Maxence Melo Mhariri YinYang Moderator

kwa heshima na taadhima. Jaribuni sana kumwangalia huyu member hii tabia ambayo ameianzisha ya kudharau,kukebehi na kutusi kada ya ualimu na walimu.

Inawezekana sisi si walimu au wazazi wetu hawakuwa walimu. But hili suala si jema kwa mustakabali wa elimu na mahusiano mema. Hii dhihaka anayofanya na kebehi si sahihi na haijengi hata kidogo kila kitu kinapozidi ni tatizo.

Naombeni sana muweke heshima ya miaka yote ya JF na busara itumike. Msiruhusu watu waamue tu kudhalilisha kada flani kwa lengo la kujipatia umaarufu au kuonesha msimamo flani usio na tija katika jamii yetu.
 
Amekuwa na upumbavu na ujuha flani nadhani kuna watu walimsifia before. Imekuwa too much sasa. Anakosa heshima kabisa na kuonesha jinsi ambavyo ni mweupe kichwani. Sielewi anapitia changamoto gani kisaikolojia. Mimi amefikia hatua naona anakuwa kama ameathirika kiakili ana msongo wa mawazo n.k
Wamekukosea

Wamekukosea nini mkuu?
Ebu jaribu kuzungumza na m1 m1 ikiwa ualimu ni chaguo lao ama mizigo,majukumu yanayowakabil na uchumi usioridhisha wa mababu zao ndio umewasukumia huko?
Ninachokifahamu mimi katika Walimu uwatukanao,ukichukua Walimu 20, ni m1 tu ndiye anaye upenda ualimu na 96% ya Walimu ama walianza kuyakabili majukumu kama mlezi ama mzazi hata kabla ya kumaliza kidato.

Wengi wao wana extended family kwa maana ya siyo tu kuwalea,bali pia kuwavusha wadogo zao,binamu zao,wapwa zao,watoto wa marehemu kaka ambao pengine wana ndoto za kuwa watu mahili ktk nyanja tofautitofauti Kitaifa na Kimataifa.

Hao Walimu uwatukanao baadhi yao wametumika km ngazi kuwapandisha wadogo zao ambao pengine leo hii ni Judges,Mabalozi,Mawaziri nk.

Ukinionba mifano sina lkn Walimu hao kuna damu za ukoo wenu mmezitelekeza ama wao wanaishi nao na wanawahudumia na pengine wanawahudumia pale shuleni, unakuta mtoto ana nia na bidii anazo tele lkn haungwi mkono na ndugu ama ametelekezwa,basi Walimu wengi uhudumia watoto wa namna hii kwa wingi.

Labda ungesema kwamba serikali ina nia ya dhati kabisa kumkandamiza na kumnyonya mtumishi wa Mma ingekaa poa kuliko kumtukuna Mwl.

Hiyo iko wazi kabisa. Iko wapi haja ya Watumishi kudai haki ambayo serikali inatambua kuwa wanasitahili kupewa ili kuboresha na kuinua hali na maisha yao? Wewe unadhani ni nia ya serikali kuboresha masirahi ya Watumishi wa Mma?

Sema hivi, Tz kuna wasomi wasiokuwa na maarifa ndiyo maana walianzisha,walipitisha na kukubali;

1 : Vyama vya wafanyakazi ili viwanyonye watumishi na ukizingatia kwamba msingi wa uwepo wa vyama hivi ilikuwa ni kipindi cha kudai Uhuru.(sasa hivi tuko Huru,vyama ni vya nini?)

2: Kuchelewesha kwa makusudi kinua mgongo na mirathi kwa kusingizia kutokamilika kwa taarifa.

3: Kuanzisha,kupitisha na kukubali uwepo wa hicho kinachoitwa kikokotoo kandamizi.(Mtu kalitumikia taifa kwa takribani miaka 27,amemaliza,kumpatia kinua mgongo chake mnaweka nongwa ili afe kwa msongo wa mawazo mapema ninyi mchukue fedha zake.

Mkuu,km ww siyo mfu kwa sasa nadhani tongotongo zimekutoka machoni,ni wajibu wako sasa kuwaomba Walimu msamaha kwa ma2C yako ya bila kukusudia.

Naziweka shukurani zangu hapa chini.
 
Wamekukosea

Wamekukosea nini mkuu?
Ebu jaribu kuzungumza na m1 m1 ikiwa ualimu ni chaguo lao ama mizigo,majukumu yanayowakabil na uchumi usioridhisha wa mababu zao ndio umewasukumia huko?
Ninachokifahamu mimi katika Walimu uwatukanao,ukichukua Walimu 20, ni m1 tu ndiye anaye upenda ualimu na 96% ya Walimu ama walianza kuyakabili majukumu kama mlezi ama mzazi hata kabla ya kumaliza kidato.

Wengi wao wana extended family kwa maana ya siyo tu kuwalea,bali pia kuwavusha wadogo zao,binamu zao,wapwa zao,watoto wa marehemu kaka ambao pengine wana ndoto za kuwa watu mahili ktk nyanja tofautitofauti Kitaifa na Kimataifa.

Hao Walimu uwatukanao baadhi yao wametumika km ngazi kuwapandisha wadogo zao ambao pengine leo hii ni Judges,Mabalozi,Mawaziri nk.

Ukinionba mifano sina lkn Walimu hao kuna damu za ukoo wenu mmezitelekeza ama wao wanaishi nao na wanawahudumia na pengine wanawahudumia pale shuleni, unakuta mtoto ana nia na bidii anazo tele lkn haungwi mkono na ndugu ama ametelekezwa,basi Walimu wengi uhudumia watoto wa namna hii kwa wingi.

Labda ungesema kwamba serikali ina nia ya dhati kabisa kumkandamiza na kumnyonya mtumishi wa Mma ingekaa poa kuliko kumtukuna Mwl.

Hiyo iko wazi kabisa. Iko wapi haja ya Watumishi kudai haki ambayo serikali inatambua kuwa wanasitahili kupewa ili kuboresha na kuinua hali na maisha yao? Wewe unadhani ni nia ya serikali kuboresha masirahi ya Watumishi wa Mma?

Sema hivi, Tz kuna wasomi wasiokuwa na maarifa ndiyo maana walianzisha,walipitisha na kukubali;

1 : Vyama vya wafanyakazi ili viwanyonye watumishi na ukizingatia kwamba msingi wa uwepo wa vyama hivi ilikuwa ni kipindi cha kudai Uhuru.(sasa hivi tuko Huru,vyama ni vya nini?)

2: Kuchelewesha kwa makusudi kinua mgongo na mirathi kwa kusingizia kutokamilika kwa taarifa.

3: Kuanzisha,kupitisha na kukubali uwepo wa hicho kinachoitwa kikokotoo kandamizi.(Mtu kalitumikia taifa kwa takribani miaka 27,amemaliza,kumpatia kinua mgongo chake mnaweka nongwa ili afe kwa msongo wa mawazo mapema ninyi mchukue fedha zake.

Mkuu,km ww siyo mfu kwa sasa nadhani tongotongo zimekutoka machoni,ni wajibu wako sasa kuwaomba Walimu msamaha kwa ma2C yako ya bila kukusudia.

Naziweka shukurani zangu hapa chini.
Kwanini wasifanye mgomo na kuandamana ili wadai haki zao waachane na Roho za uoga
 
Back
Top Bottom