Mwalimu aliyewahi kunyanyaswa na Mkurugenzi wa Tanga Jiji amefariki dunia

11 Juni 2021
Dodoma, Tanzania

'Jukwaa la Walimu Wazalendo Tanzania'

Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM anayehusika na uhusiano wa kimataifa, kanali (mstaafu) Ngemela Lubinga wakati akifunga semina ya uongozi kwa jukwaa la walimu wazalendo Tanzania lililofanyika katika ukumbi wa makao makuu ya chama


Waalimu nchini wameaswa na kada huyo wa CCM kanali Lubinga kuwa wavumilivu na kufanya kazi kwa uzalendo, uaminifu ,uadilifu na kuzingatia maadili ya taaluma zao
 
Aisee kweli shule zimefungwa ngoja zifunguliwe baadhi ya maoni duni yatoweke jukwaani
 
Halafu Kuna watu wanapendekeza Ummy awe waziri mkuu.
Hivi mnaona hii nchi haina wenyewe?
 
R.IP MWALIMU...TUNZENI HUU UZI TUACHOSUBIRI NI KARMA TU KUFANYA KAZI YAKE..
 

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…