Mwalimu atekwa afanyiwa unyama Jijini Arusha

Mwalimu atekwa afanyiwa unyama Jijini Arusha

1. Pole sana kwa yaliyokukuta, Mungu ni mwema uko hai,mtegemee yeye atakulinda wakati wote.
2. Arusha hasa hapo mjini kuna sintofahamu inayotokana na uoga wa CCM dhidi ya Godbless Lema, jambo linalopelekea wanajifanya wanyama.
3. Hili suala usikimbie kimbie nalo, lifanyie utafiti/ufuatiliaji wa kimya kimya ili kufahamu nini ni nini,itakusaidia kwenye maamuzi.
4. Kuna barua hapo juu ulipokea tarehe 17/08/2016,lakini imepitishwa na Mkuu wa shule tarehe 22/08/2016, inamaana ulipewa kabla haijapitishwa na Mkuu wa Shule?

5. Hili suala usikimbilie kulisolve kisiasa.
Mkuu wa shule hapitishi barua.. Uteuzi ulianza tar 17 na akaambiwa Tarehe 22 aliyoitaja ni Mwalimu mkuu kutoa hongera zake..
Tarehe 19 Aug ilikuwa Ijumaa na 22 Jumatatu..
Aliripoti Ngarenaro kituo kipya, sio kwa Mwalimu Mkuu
 
Pole sn dada batuli ,haki daima iko palepale hata ipindishwe vp itabaki palepale,mungu azidi kukupa nguvu,imani,subira na faraja
 
Dada achana na hizo kazi za kuteuliwa we jihisi uko compatible na maisha yako....wala usitafute sababu kwann umetengeliwa kwan unamfariji na kumfanya ajione mshindi yule aliekutengua achana nayo hayo...fanya kazi zako..piga kazi tena ikibidi baadae waachie hata hyo kazi yao ya Ualimu
T
In this world there is No justice
 
Soma uelewa kabla ya kuandika kwa kukurupuka nimeomba msaada wa mods kuweka Audio hapo juu hili siyo swala la kisiasa uwe unajiongeza
Umekariri. Usipoweka audio kwa hiyo story ibaki ina hang? Kwa nn hukusubir audio umeanza na text? Au na wewe shigongo?

Sent from my TECNO H6 using JamiiForums mobile app
 
Mapungufu au upuuzi wa watekaji haiwezi kuwa sababu ya kufanya tusiamini uwepo wa tukio la utekaji haraka kiasi hiki. Wakati mwingine tukio la utekaji huweza kupangwa kipuuzi kutegemea na malengo ya watekaji au mfadhili wa utekaji wenyewe. Umakini unaotaka tuwe nao ni pamoja na wewe kutoharakisha kupuuza utekaji kwa sababu ya upuuzi wa watekaji!
Kuna watu hata ukileta post ya mke kapigwa na mumewe Arusha bado watasema chanzo ni lema.... Uvivu wa kushirikisha akili.
 
Mkurugenzi, Mkurugenzi, Mkurugenzi,.....na jins nanii anapenda kukomoa sioni akimwondoa huyo Mkurugenzi.....
 
Hivi ile kesi ya Kagenzi iliishia wapi?

Kama tayari keshatoa maelezo yake polisi na uchunguzi unaendelea kulikuwa na haja gani yakukimbilia mitandaoni sasa?
 
Walimu tuna hali ngumu............... walimu

Na sisi tuna umuhimu................. walimu

Tutazua kitimutimu....................... walimu

Hadi wizara ya elimu................... walimu

Pole dada, Mungu akufanyie wepesi.
 
Hivi ile kesi ya Kagenzi iliishia wapi?

Kama tayari keshatoa maelezo yake polisi na uchunguzi unaendelea kulikuwa na haja gani yakukimbilia mitandaoni sasa?
Mbona unatokwa na povu sana kwa hiyo huu ukatili hukutakiwa kuripotiwa kwenye mitandaoni?
 
Back
Top Bottom