Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni hatar sana tuwaombee sana watoto wetuDuh waalimu tena
Kwahiyo mwanafunzi alidindisha bila ridhaa yake?Mwalimu wa kiume aitwaye Ramadhan Said Nanyalika (32) Mkazi wa Mtaa wa Matogoro, Tandahimba Mjini Mkoani Mtwara ambaye ni Mwalimu wa Shule ya Sekondari Naputa, amehukumiwa kwenda jela miaka 30 baada ya kuruhusu kuingiliwa kinyume na maumbile.
Taarifa hiyo imetolewa leo July 09,2024 na Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mtwara, SACP, Issa Suleiman, wakati akitoa taarifa ya mafanikio ya doria, misako, oparesheni na mafanikio ya Mahakamani kuanzia June 01, 2024 hadi Jume 3, 2024.
RPC Issa amesema “Mtuhumiwa siku za nyuma alijenga urafiki Shuleni na Mwanafunzi wa kiume wa kidato cha nne mwenye umri wa miaka 19 ambaye jina lake limehifadhiwa kwa kuanza kumnunulia vitafunwa Shuleni na kisha kumtaka Mwanafunzi huyo amtembelee nyumbani kwake, siku Mwanafunzi huyo alipomtembelea nyumbani, Mwalimu huyo alianza kwa kumuonesha video chafu kupitia simu janja yake (smartphone) na baadaye kumtaka amuingilie kinyume na maumbile”
“Baada ya Mwanafunzi huyo kuambiwa hivyo alikataa na kusema hawezi kufanya kitendo hicho, ndipo Mwalimu alianza kumtisha kwa kumwambia endapo hatokubali kufanya hivyo atapata adhabu za mara kwa mara ikiwa ni pamoja na kufukuzwa Shule, kutokana na vitisho hivyo Mwanafunzi huyo
alilazimika kutekeleza kitendo hicho pasipo ridhaa yake na akamuingilia Mwalimu wake kinyume na maumbile”
#MillardAyoUPDATES
Akanunuliwa vitafunwa...pasipo ridhaa yake na akamuingilia Mwalimu wake kinyume na maumbile”
Ndio miee najiuliza sipati majibuKwahiyo mwanafunzi alidindisha bolo bila ridhaa yake?
Sijaelewa bado.
Duh! We jamaa mbona unashabikia sana haya mambo?dogo kafaidi
Hakuna ubora hapoBora hii kuliko angemlawiti huyo dogo
Bora kwa huyo mwanafunz! Je angelawitiwa kwa nguvu? Huyo mwalimu hana alichopoteza amevuna ushoga wake.Hakuna ubora hapo
Na ndio alichotaka mbwa huyoHuyo anenda kuolewa rasmi huko gerezani
Wote hao nu mashoga japo police imetumia moja awe shahidi ilikumfunga mualimu....Mwalimu wa kiume aitwaye Ramadhan Said Nanyalika (32) Mkazi wa Mtaa wa Matogoro, Tandahimba Mjini Mkoani Mtwara ambaye ni Mwalimu wa Shule ya Sekondari Naputa, amehukumiwa kwenda jela miaka 30 baada ya kuruhusu kuingiliwa kinyume na maumbile.
Taarifa hiyo imetolewa leo July 09,2024 na Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mtwara, SACP, Issa Suleiman, wakati akitoa taarifa ya mafanikio ya doria, misako, oparesheni na mafanikio ya Mahakamani kuanzia June 01, 2024 hadi Jume 3, 2024.
RPC Issa amesema “Mtuhumiwa siku za nyuma alijenga urafiki Shuleni na Mwanafunzi wa kiume wa kidato cha nne mwenye umri wa miaka 19 ambaye jina lake limehifadhiwa kwa kuanza kumnunulia vitafunwa Shuleni na kisha kumtaka Mwanafunzi huyo amtembelee nyumbani kwake, siku Mwanafunzi huyo alipomtembelea nyumbani, Mwalimu huyo alianza kwa kumuonesha video chafu kupitia simu janja yake (smartphone) na baadaye kumtaka amuingilie kinyume na maumbile”
“Baada ya Mwanafunzi huyo kuambiwa hivyo alikataa na kusema hawezi kufanya kitendo hicho, ndipo Mwalimu alianza kumtisha kwa kumwambia endapo hatokubali kufanya hivyo atapata adhabu za mara kwa mara ikiwa ni pamoja na kufukuzwa Shule, kutokana na vitisho hivyo Mwanafunzi huyo
alilazimika kutekeleza kitendo hicho pasipo ridhaa yake na akamuingilia Mwalimu wake kinyume na maumbile”
#MillardAyoUPDATES
Manyapara yamepelelewa mboga.Huyo anenda kuolewa rasmi huko gerezani
Na analika kweli 🤣🤣🤣🤣Jina lenyewe NANYALIKA”