hakomana sekemesekeme
JF-Expert Member
- Oct 15, 2023
- 646
- 1,568
🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😳 Umesema alifanya?Mwalimu wa Shule ya Sekondari Naputa iliyopo Wilaya ya Tandahimba mkoani Mtwara, aliyetambulika kwa jina moja, Said, amehukumiwa kwenda jela miaka 30 kwa kosa la kuruhusu kuingiliwa kinyume na maumbile na mwanafunzi wake.
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mtwara, Issa Suleiman amesema siku za nyuma mwalimu huyo alijenga urafiki na mwanafunzi wa kidato cha nne (19) anayesoma shuleni hapo kwa kumnunulia vitafunwa shuleni hapo.
Amesema baada ya muda, mwalimu alimtaka mwanafunzi huyo akamtembelee nyumbani kwake na ndipo alipoanza kumuonyesha video chafu kupitia simu janja kisha kumsihi amwingilie kinyume na maumbile.
Ameeleza kuwa baada ya mwanafunzi huyo kuambiwa hivyo alikataa na kusema hawezi kufanya kitendo hicho, ndipo mwalimu alipoanza kumtisha kwa kumwambia asipofanya hivyo atapata adhabu kali mara kwa mara shuleni pamoja na kufukuzwa shule na hapo ndipo alipolazimika kufanya jambo hilo bila ridhaa yake
aisee ilisimamaje??
Nimeipenda hiiKile kichwa (mtalimbo) ni taasisi inayojitegemea😂 kama mahakama tu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] na alikojoa kabisaa eti.hahaha, eti bila ridhaa yake, uku mb<><> imesimama
tena creampie, huku anaunguruma kama simba[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] na alikojoa kabisaa eti.
Eti alishindwa kutafuta jamaa wa mtaani, amfanye bwana ake, na vipesa anavyo mbona angetaka kubadilisha vijana ni yeye tyuuh.Dah Dunia imegota mahala pake...Sema nini walimu kama hawa kitaa wana soko kwa masela
Sasa mnatupiga fix mlijuaje kakojowaaa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] na alikojoa kabisaa eti.
Huyo Dogo alikua basha wa mwalimu, ila sahivi kamchokaa, ko akaamua waachane, ticha akazingua, Dogo akaona amchome mwalimu. LolDogo itakuwa michezo yake mana mtu kudindisha ukiwa under pressure n ngumu
Tena akiwa na miaka 19🤔Kwahiyo mwanafunzi alidindisha bolo bila ridhaa yake?
Sijaelewa bado.