Mwalimu atupwa jela miaka 30 kwa kumshawishi mwanafunzi amlawiti

Kwahiyo mwanafunzi alidindisha bila ridhaa yake?

Sijaelewa bado.
 
pasipo ridhaa yake na akamuingilia Mwalimu wake kinyume na maumbile”
Akanunuliwa vitafunwa...
Akaitwa amtembelee, wa kiume kwa wakiume
Akaoneshwa X rated kupitia simu.....
Akaambiwa akopi na kupesti alichokiona....akasema amekatazwa na mama!
Akaambiwa atachapwa....
Akaja siku nyingine, akasimama dede, akapiga pushapu.....


Ana miaka 19.
 
Anafungwa kwani wakati Rais wenu aliahasema mtu mzima kufanya ni kwa akili zake?..... Rais alishatoa kibali hadharani wamuachie tu maana ni mtu mzima anajua anachofanya.
 
Wote hao nu mashoga japo police imetumia moja awe shahidi ilikumfunga mualimu....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…