Mwalimu atupwa jela miaka 30 kwa kumshawishi mwanafunzi amlawiti

Hivi Wasenge kumbe wapo hadi huko Tandahimba?

Miaka yote huwa nadhani wanapatikana maeneo ya Majiji makubwa ya DSM, Arusha n.k

Kumbe hadi Chitoholi Kwa akina Harmonize πŸ™Œ

Kweli Dunia hadaa ....
Usikute katoka mkoa mwingine kwenda kufundisha huko
Kila mkoa hawawezi kukosa ila mikoa inazidiana wingi wa watu hao
 
Eti alishindwa kutafuta jamaa wa mtaani, amfanye bwana ake, na vipesa anavyo mbona angetaka kubadilisha vijana ni yeye tyuuh.

Au alivutiwa na Dogo wa fomu foo! [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ma baharia tupo tu hatuna ajira angetupa kazi tuu tumkaze kikubwa maokoto...Mengine mbele kwa mbele
 
acha nikae kimya
ulimi koma
 
Ulikua level gani? Acha uongoo, hakuna ticha wa kumuogopa mwanafunzii, useme alikuambia labda usitangaze kwa watu baas.

Sio kumpiga biti kalii, em tutolee uongo wako hapa. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hahaa, Nilikua kidato cha 4 zile wiki za mwishomwisho karibia na mitiani ambapo niliamua kupanga geto jirani na shule maana nilikua nakaa mbali na shule na huyo Tcha alikua anaishi apoapo shule.

Alianza mazoea kidogo kidogo mara nikamsaidie kusahisha mitiani ya madogo mara ananigawia unga wa kutumia geto and the like ilimradi nijae kwenye mfumo wake
..

Ntarudi
 
Inasikitisha form four
thanks Lord 35+ is my πŸ”₯πŸ”₯
 
Daaa!! tumefika mahali pabaya sana.
Watoto wanaangamizwa na walimu tunao wategemea!!πŸ™„ Tuwafiche wapi watoto wetu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…