cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 96,456
- 156,324
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hebu muambie aache kuotaa, huko DM kaeni vizuri sawa eeeh!!Kuna mtu alini DM akanambia we mtamu sana. Ni kweli ?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hebu muambie aache kuotaa, huko DM kaeni vizuri sawa eeeh!!Kuna mtu alini DM akanambia we mtamu sana. Ni kweli ?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] vijana mmevurugwa na maishaa, WoiiiiiihMa baharia tupo tu hatuna ajira angetupa kazi tuu tumkaze kikubwa maokoto...Mengine mbele kwa mbele
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] em rudi na uzi kabisaa, nipo kusubiri story.Hahaa, Nilikua kidato cha 4 zile wiki za mwishomwisho karibia na mitiani ambapo niliamua kupanga geto jirani na shule maana nilikua nakaa mbali na shule na huyo Tcha alikua anaishi apoapo shule.
Alianza mazoea kidogo kidogo mara nikamsaidie kusahisha mitiani ya madogo mara ananigawia unga wa kutumia geto and the like ilimradi nijae kwenye mfumo wake
..
Ntarudi
Eti kweli Dear, f4? Hata ana mvuto wa ushawishi gani?Inasikitisha form four
thanks Lord 35+ is my [emoji91][emoji91]
Mwalimu ameingiliwa kinyume na maumbile?Said, amehukumiwa kwenda jela miaka 30 kwa kosa la kuruhusu kuingiliwa kinyume na maumbile na mwanafunzi wake.
Mwalimu Said wamemlawiti huko Juzi Mwalimu Ayubu nae kapigwa Mvua 30 kwa kulala na mwanafunzi wake amefumwa anamgonga Magu hukoDuuh aisee mbona noma Sanaa....
Walimu wanasumbuliwa na stress za maisha. Ukute asilimia kubwa ya walimu ni mashoga. Na pia walimu wa kike nao wamekuwa wakiwarubuni wanafunzi wa kiume wawadinye, hasa wale masingo mathas. Tutasikia mengi mwaka huu.Mwalimu wa Shule ya Sekondari Naputa iliyopo Wilaya ya Tandahimba mkoani Mtwara, aliyetambulika kwa jina moja, Said, amehukumiwa kwenda jela miaka 30 kwa kosa la kuruhusu kuingiliwa kinyume na maumbile na mwanafunzi wake.
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mtwara, Issa Suleiman amesema siku za nyuma mwalimu huyo alijenga urafiki na mwanafunzi wa kidato cha nne (19) anayesoma shuleni hapo kwa kumnunulia vitafunwa shuleni hapo.
Amesema baada ya muda, mwalimu alimtaka mwanafunzi huyo akamtembelee nyumbani kwake na ndipo alipoanza kumuonyesha video chafu kupitia simu janja kisha kumsihi amwingilie kinyume na maumbile.
Ameeleza kuwa baada ya mwanafunzi huyo kuambiwa hivyo alikataa na kusema hawezi kufanya kitendo hicho, ndipo mwalimu alipoanza kumtisha kwa kumwambia asipofanya hivyo atapata adhabu kali mara kwa mara shuleni pamoja na kufukuzwa shule na hapo ndipo alipolazimika kufanya jambo hilo bila ridhaa yake
Kuna mambo yanaendelea dunia hii ukiyafikiria kwa akili za kawaida huwezi kupata jibu yaani ni disaster kubwa.Ndio aweze kumla mwanaume mwenzie tena jitu kubwa mwalimu wake!?
We huna akili🤣aisee ilisimamaje??
Hii kitu huwa inasimama yenyewe ikiingiia kwenye mfumo wa Ubongo😄😄😄😲😲😲😲