Kilimbatzz
JF-Expert Member
- Feb 11, 2023
- 9,134
- 14,593
Karibu mwalimuWalimu bhana [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Karibu mwalimuWalimu bhana [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Aahahhaha
Apunguze kuzira
Kiswahili cha famasiala kimekataliwaFamasikhara na kisueee, ka hawakudhulumiana pesa basi walishare tunda Kila mmoja akang'ang'ania
Ishu ya star wa SA itakuwa kulikuwa na Sheriff pamoja na next of kin pale ukumbini ndo ikawa rahisi sheriff kumpa taarifa next of kin na sisi tukaipata habari .... hii ni mujibu wa huyo boya aliyeandika ushuzi na kuita nchi yake pithole countryUna uhakika mtoa mada ndio mtoa taarifa wa kwanza wa huu msiba? Yaani ndugu ndio wanaona hapa?
Bahati mbaya dunia ya sasa inazunguka kwemye social media si huku kwetu unapopaita pithole country au huko ulipo heaven on earth issues ni hizi hizi. Juzi juzi tu star SA kafia jukwaani within minutes dunia nzima imejua kupitia social networks,aka nae same huko USAUK watu kibao wanauana na tunaona mitandaoni. Hio haina maana kwamba Hakuna formal process ya kutoa taarifa kwa wahusika.
Aahahhaha,Uzuri wewe unajikubali sana na haususi. Hapa naangalia location yako uko kanda ya ziwa magharibi
Famasiala ndo niniKiswahili cha famasiala kimekataliwa
Kwahiyo social networks zipo kwa ajili ya kitu gani mkuu?Poleni kwa wafiwa ila binafsi sipendi taarifa kama hizi kwenye hizi social networks, je mtoa mada next of kin wa marehemu ana taarifa?,je kuna tamko kutoka police kuhusiana na mauaji haya?
We umedata siyo bure, kwahiyo taarifa kuambatanishwa na picha ndo unaona haifai? [emoji848]Means wewe it's ok kusikia na kuona picha za baba ,mama,dada etc kwenye social networks siku wakifa?,sikulaumu matokeo ya kuishi ni pithole country, issue kama hii sherrif anakuja kwenye address ya next of kin na kumpa taarifa, sio kama mtoa mada hii alivyofanya
Kwa Mara ya kwanza mwalimu mpwayungu village umeandika Kwa nidhamuSina mengi ya kuandika, niwape pole mke wa marehemu, watoto, wazazi wake na Familia yake yote ndugu jamaa na marafiki. Mungu amrehemu nakumpunguzia adhabu ya kaburi
Apumzike kwa amani..haya yanaweza kuwa ni mauaji ya visasiGEITA.
Kuna tukio la mauaji limetokea Mkoa wa Geita Wilaya ya Geita.
Mwalimu Emmanuel Peter Chacha wa shule ya msingi Igaka iliyoko halmashauri ya Wilaya ya Geita ameuawa Leo March 15 Kwa kuchomwa kisu na mwalimu mwenzake.
Marehemu alichomwa kisu wakati akielekea darasani kufundisha.
Haijajulikana Kwa yakini sababu zilizopelekea kutoka Kwa tukio Hilo.
Hapa Chini ni picha ya marehemu Mwl Emmanuel Peter Chacha enzi za Uhai wake.
So sad!View attachment 2552701
mpwayungu village Mshana Jr
Hkn hyo stiker haina maana mwamb kazingua kutupia nayo hvyo uvyoWewe mshamba tu!
Hiyo sio sticker ya upya...
Ni urembo (chain card) ya kiatu.
Ndio style ya kiatu ilivo.
Badala ushangae kwanini mchizi ana bandeji mkono wa kushoto, unashangaa style ya viatu?
Hapo ni madem tu, marehemu mwamba akijifanya bishoo,kapita na Dem wa muuwaji wakePoleni wafiwa, aliyeua apelekwe Mirembe akachunguzwe kwa kina. Sio Bure!
Rukwa 1stKuna mikoa ukiwa smart kichwani hutakiwi kuishi wa kwanza Geita, Shinyanga, Njombe, Kigoma, Tanga
Hii mikoa ina jamii za watu wengi wajinga,washamba , washirikina, wavivu n.k
Ni mtazamo wako tu si universal fact.
Wew chalii wa r umetoka wapi kwa wasukumaMkoa wa Geita ula laana au? Mbona matukio kila siku?
Lakini pia Igaka si ipo Mwanza? Nadhani ndio jirani na Ibanda mpaka wa Mwanza na Geita.