TANZIA Mwalimu auawa na Mwalimu mwenzake shuleni

TANZIA Mwalimu auawa na Mwalimu mwenzake shuleni

GEITA.

Kuna tukio la mauaji limetokea Mkoa wa Geita Wilaya ya Geita.

Mwalimu Emmanuel Peter Chacha wa shule ya msingi Igaka iliyoko halmashauri ya Wilaya ya Geita ameuawa Leo March 15 Kwa kuchomwa kisu na mwalimu mwenzake.

Marehemu alichomwa kisu wakati akielekea darasani kufundisha.

Haijajulikana Kwa yakini sababu zilizopelekea kutoka Kwa tukio Hilo.

Hapa Chini ni picha ya marehemu Mwl Emmanuel Peter Chacha enzi za Uhai wake.

So sad!View attachment 2552701
mpwayungu village Mshana Jr
Mkurya kakutana na ngosha , vita ni vita muraa ,mbuzi kafia kwa muuza supu
 
Hiyo mikoa siyo..inahitaji utafiti.Ngo changamkieni fursa.
 
Kuna mikoa ukiwa smart kichwani hutakiwi kuishi wa kwanza Geita, Shinyanga, Njombe, Kigoma, Tanga


Hii mikoa ina jamii za watu wengi wajinga,washamba , washirikina, wavivu n.k

Ni mtazamo wako tu si universal fact.
Wewe na u-smart wako unamzidi Nini FRESHO,GAKI,SALUM'JAMBO',NDEGESELA,GACHUMA,MWANZA HUDUMA etc
 
Means wewe it's ok kusikia na kuona picha za baba ,mama,dada etc kwenye social networks siku wakifa?,sikulaumu matokeo ya kuishi ni pithole country, issue kama hii sherrif anakuja kwenye address ya next of kin na kumpa taarifa, sio kama mtoa mada hii alivyofanya
Acheni ujuaji basi Kila mahali, hili ni tukio la mauaji na limetokea in a public area unataka watu wasitoe ripoti? Sio kama kamfata mgonjwa wa malaria hospitali akampiga picha dakika za mwisho akaja m report kwenye social networks

Haya we mzungu Uchwara niambie ni nchi Gani ambao raia Hawa report vifo kama hivi kwenye social platforms wanasubiri mpaka sheriff amtafute next of kin?

Mkishaangalia movie mbili tatu mnakua wazungu
 
Hii ni mada inajadiliwa na tuna haki ya disagree, issue ya AKA pale Durban, SA ni tofauti na hii,mtoa mada mpaka ametoa picha ya marehemu, ninajaribu kuona kama Police Geita wametoa statement kuhusu murder hii sijaona, wewe ukija pata taarifa za kifo cha close family member thr social media, may be utafikiri twice, but anyway haya ndio maoni yangu you can't change it
Jo. Acha unaa, ulitaka tusubiri wanafamilia watoe ruhusa ndio tupate taarifa ya huyu mwamba? unaishi dunia ipi

Magu alitema ndoano lkn dunia na wa Tz tukajua kabla serikali haijatoa taarifa rasmi sembuse teacher ambaye amevaa raba ambayo bado Ina utepe.

Tusirudi zama zile jo. Kama uliona sio poa ungepita kimya tu bila kuchangia
 
Ukiishi mikoani hakikisha unavaa kawaida
Unalala pabaya
Ushobokei mademu zao
Unaishi kawaida

Mikoani wakijua upo smart kichwani wanakuua dk 0 .au kukutupia jini na ulozi ndo maana watu wengi hawataki kufanya Kazi huko.

Rip HoMie
 
Ukiishi mikoani hakikisha unavaa kawaida
Unalala pabaya
Ushobokei mademu zao
Unaishi kawaida

Mikoani wakijua upo smart kichwani wanakuua dk 0 .au kukutupia jini na ulozi ndo maana watu wengi hawataki kufanya Kazi huko.

Rip HoMie
Mkuu Uandishi wako wa kupendwa kutoa hitimisho kwa kila jambo unanifamya nijue umri wako!! Yakupa upevuke kiakili.Kwamba mikoani hakuna watu smart ila wapo dar tu au,na mikoani ni wapi huko maana hata hiyo dar ni mkoa

Badilika na upevuke kiakili,!!
 
Means wewe it's ok kusikia na kuona picha za baba ,mama,dada etc kwenye social networks siku wakifa?,sikulaumu matokeo ya kuishi ni pithole country, issue kama hii sherrif anakuja kwenye address ya next of kin na kumpa taarifa, sio kama mtoa mada hii alivyofanya
We zuzu, Sasa we ungepataje habari bila social network
 
GEITA.

Kuna tukio la mauaji limetokea Mkoa wa Geita Wilaya ya Geita.

Mwalimu Emmanuel Peter Chacha wa shule ya msingi Igaka iliyoko halmashauri ya Wilaya ya Geita ameuawa Leo March 15 Kwa kuchomwa kisu na mwalimu mwenzake.

Marehemu alichomwa kisu wakati akielekea darasani kufundisha.

Haijajulikana Kwa yakini sababu zilizopelekea kutoka Kwa tukio Hilo.

Hapa Chini ni picha ya marehemu Mwl Emmanuel Peter Chacha enzi za Uhai wake.

So sad!View attachment 2552701
mpwayungu village Mshana Jr
Hii issue ya k kuibiana.
 
GEITA.

Kuna tukio la mauaji limetokea Mkoa wa Geita Wilaya ya Geita.

Mwalimu Emmanuel Peter Chacha wa shule ya msingi Igaka iliyoko halmashauri ya Wilaya ya Geita ameuawa Leo March 15 Kwa kuchomwa kisu na mwalimu mwenzake.

Marehemu alichomwa kisu wakati akielekea darasani kufundisha.

Haijajulikana Kwa yakini sababu zilizopelekea kutoka Kwa tukio Hilo.

Hapa Chini ni picha ya marehemu Mwl Emmanuel Peter Chacha enzi za Uhai wake.

So sad!View attachment 2552701
mpwayungu village Mshana Jr
Walimu wa primary ni tatizo, something has to be done!
 
Wewe mshamba tu!

Hiyo sio sticker ya upya...
Ni urembo (chain card) ya kiatu.
Ndio style ya kiatu ilivo.

Badala ushangae kwanini mchizi ana bandeji mkono wa kushoto, unashangaa style ya viatu?
Na wewe badala ushangae mchizi anawaza nini unaenda kushangaa pamba zilizopo mkono wa kushoto halafu unaziita bandage
 
Back
Top Bottom