TANZIA Mwalimu auawa na Mwalimu mwenzake shuleni

Ishu ya star wa SA itakuwa kulikuwa na Sheriff pamoja na next of kin pale ukumbini ndo ikawa rahisi sheriff kumpa taarifa next of kin na sisi tukaipata habari .... hii ni mujibu wa huyo boya aliyeandika ushuzi na kuita nchi yake pithole country
 
We umedata siyo bure, kwahiyo taarifa kuambatanishwa na picha ndo unaona haifai? [emoji848]
 
Apumzike kwa amani..haya yanaweza kuwa ni mauaji ya visasi
 
Kuna mikoa ukiwa smart kichwani hutakiwi kuishi wa kwanza Geita, Shinyanga, Njombe, Kigoma, Tanga


Hii mikoa ina jamii za watu wengi wajinga,washamba , washirikina, wavivu n.k

Ni mtazamo wako tu si universal fact.
 
Linaua watu sana Jambo Lilee!

Hasa maeneo yenye Pisi kali kama Shule ilee!
 
Wewe mshamba tu!

Hiyo sio sticker ya upya...
Ni urembo (chain card) ya kiatu.
Ndio style ya kiatu ilivo.

Badala ushangae kwanini mchizi ana bandeji mkono wa kushoto, unashangaa style ya viatu?
Hkn hyo stiker haina maana mwamb kazingua kutupia nayo hvyo uvyo

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Kuna mikoa ukiwa smart kichwani hutakiwi kuishi wa kwanza Geita, Shinyanga, Njombe, Kigoma, Tanga


Hii mikoa ina jamii za watu wengi wajinga,washamba , washirikina, wavivu n.k

Ni mtazamo wako tu si universal fact.
Rukwa 1st
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…