HIMARS
JF-Expert Member
- Jan 23, 2012
- 70,791
- 98,334
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii ni mada inajadiliwa na tuna haki ya disagree, issue ya AKA pale Durban, SA ni tofauti na hii,mtoa mada mpaka ametoa picha ya marehemu, ninajaribu kuona kama Police Geita wametoa statement kuhusu murder hii sijaona, wewe ukija pata taarifa za kifo cha close family member thr social media, may be utafikiri twice, but anyway haya ndio maoni yangu you can't change itUna uhakika mtoa mada ndio mtoa taarifa wa kwanza wa huu msiba? Yaani ndugu ndio wanaona hapa?
Bahati mbaya dunia ya sasa inazunguka kwemye social media si huku kwetu unapopaita pithole country au huko ulipo heaven on earth issues ni hizi hizi. Juzi juzi tu star SA kafia jukwaani within minutes dunia nzima imejua kupitia social networks,aka nae same huko USAUK watu kibao wanauana na tunaona mitandaoni. Hio haina maana kwamba Hakuna formal process ya kutoa taarifa kwa wahusika.
Tutake radhi watoto wa nje ya ndoahumu kuna watoto wa haram pia wapo wa nje ya ndoa kwaiyo tuwavumilie na coment zao
Inaweza kuwa ni wivu wakimapenzi au uchawi..Hao mabwege nasikia wanarogana sana kupata vinafasi vya pesa Kama kusimamia mitihani au kuwa wakuu wa shule si wakuu wa shule wanalipwa posho ya 50000GEITA.
Kuna tukio la mauaji limetokea Mkoa wa Geita Wilaya ya Geita.
Mwalimu Emmanuel Peter Chacha wa shule ya msingi Igaka iliyoko halmashaur ya Wilaya ya Geita ameuwawa Leo march 15 Kwa kuchomwa kisu na mwalim mwenzake.
Marehem alichomwa kisu wakati akielekea darasani kufundisha.
Haijajulikana Kwa yakini sababu zilizopelekea kutoka Kwa tukio Hilo.
Hapa Chini ni picha ya marehem Mwl Emmanuel Peter Chacha enzi za Uhai wake.
So sad!View attachment 2552701
mpwayungu village Mshana Jr
Rip Mwl..GEITA.
Kuna tukio la mauaji limetokea Mkoa wa Geita Wilaya ya Geita.
Mwalimu Emmanuel Peter Chacha wa shule ya msingi Igaka iliyoko halmashaur ya Wilaya ya Geita ameuwawa Leo march 15 Kwa kuchomwa kisu na mwalim mwenzake.
Marehem alichomwa kisu wakati akielekea darasani kufundisha.
Haijajulikana Kwa yakini sababu zilizopelekea kutoka Kwa tukio Hilo.
Hapa Chini ni picha ya marehem Mwl Emmanuel Peter Chacha enzi za Uhai wake.
So sad!View attachment 2552701
mpwayungu village Mshana Jr
Siyo walimu wetu,ni walimu wenzetu[mention]Mpwayangu village [/mention] njoo utoe pole kwa walimu wetu uone
Watake radhi walimuInaweza kuwa ni wivu wakimapenzi au uchawi..Hao mabwege nasikia wanarogana sana kupata vinafasi vya pesa Kama kusikamia mitihani au kuwa wakuu wa shule
Kazi ya laana na umasikini sana hiyo.
Siyo walimu wetu,ni walimu wenzetu
Mabwege!!?Inaweza kuwa ni wivu wakimapenzi au uchawi..Hao mabwege nasikia wanarogana sana kupata vinafasi vya pesa Kama kusikamia mitihani au kuwa wakuu wa shule
Kazi ya laana na umasikini sana hiyo.
Walimu hao unafikiri wanatoka Dunia ipi kama siyo hii hii ya wapenda singeli na wapenda Kwa mpalange!!?walimu wa miaka hii ni vituko kwa kweli, zamani waalimu walikuwa watu wazima wenye heshima zao...siku hizi nashindwa niseme ni waalimu wa aina gani kwakweli?