Mwalimu Japhet Maganga wa CWT hafukuziki? Jibu hili hapa

Mwalimu Japhet Maganga wa CWT hafukuziki? Jibu hili hapa

Nimeshangaa jinsi suala la Katibu Mkuu wa CWT mwalimu Japhet Maganga linavyofanyiwa siasa badala ya kuchukuliwa kama suala la kiutumishi. Kwanza sio jambo la kawaida mtumishi wa umma kufukuzwa kazi kwa mujibu sheria na jambo hilo kugeuzwa kuwa suala la umma.

Mwalimu Maganga kateuliwa kuwa DC amegoma kwenda kuapishwa. Ameomba aongezewe kibali cha kuendelea kutumikia CWT, serikali imegoma kumuongezea muda licha ya kwamba siku za nyuma serikali imekuwa ikimuongezea muda bila tatizo lolote. Kana kwamba hilo halitoshi, barua ya kukataliwa kuongezew muda imewekwa kwenye public domain na pia barua ya kuombwa kurudi kazini imekuwa public.

Nimebaki najiuliza: ni watumishi wangapi wamefukuzwa kimyakimya bila serikali kuutangaziia umma? Kwanini hili suala binasi linageuzwa kuwa la umma? Je, serikali hawaoni kuwa tayari wamevunja sheria kwa kuingilia faragha ya mwalimu Maganga kuhusu masuala ya kazi na kwamba anaweza kuwashtaki mahakamani wakamlipa mabilioni ya shilingi kwa kumchafua na kudhalilisha utu wake hadharani?
View attachment 2785979
Mtu kukataa kuwa chawa ni utashi wake binafsi. Maganga aliona future yake haipo kwenye siasa ndio maana akaamua kugomea nafasi ya uteuzi. Kukataa uteuzi ndio iwe nongwa kiasi hiki? Acha hizo bhana. Serikali inajidhalilisha sana kwa kuendelea kukomalia jambo hili bila kufuata sheria.

Sheria za kazi zipo wazi. Mtu alitakiwa kuripoti kazini tarehe 1 lakini hadi leo tarehe 18 hajafanya hivyo na bado serikali inaweweseka mitandaoni kumtaja kama ni mtumishi wa umma wa Manispaa ya Temeke. Sheria inasema mtumishi asiporipoti kazi kwa siku 3 mfululizo bila sababu wala ruhusa kutoka kwa mwajiri anakuwa amejifuta kazi mwenyewe. Inakuwaje maganga anakuwa nje ya kituo cha kazi kwa siku 18 bado serikali inahangaika naye? Au mtu akiteuliwa kuwa DC akagoma sheria za kazi kwake zinatumika tofauti na watumishi wengine? Maswali ni mengi kuliko majibu.

Ukifikiria kwa undani utagundua nia ya serikali kuwateua viongozi wakuu wa CWT kuwa wakuu wa wilaya haikuwa bahati mbaya. Watakuwa walifanya hivyo kwa nia ovu baada ya kuona hawa viongozi labda wamekuwa vikwazo kwao kujipenyeza CWT kuchota mapesa kwa ajili ya kujipanga na uchaguzi mkuu 2025 na mambo mengine ndani ya chama. Ndipo Maganga na wenzake wakashtukia ishu na kugoma. Baada ya kugoma kuondoka kupisha mwanya wa uchotaji wa hela, serikali imeamua kumkomesha kwa kutomuongezea muda wa kuendelea kubaki CWT. Hii ndio kete ya mwisho kwa serikali kupata nafasi kuingia CWT kujichotea mapesa ya bwerere.

Kwa hali ilivyo, serikali watakuwa wanatafuta sababu ya kumkomoa Maganga kwa kuwa amekuwa kikwazo kwao kutimiza kutimiza jambo lao. Na huenda kuna mahali serikali imejichanganya, hivyo Maganga anasubiri wamfukuze kazi halafu awashike pumb* washindwe kuchomoa. Bila shaka atakuwa anasubiri wautangazie umma kuwa wamemfuta kazi kisha akimbilie mahakamani kuwakamua mamilioni ya fidia. Usidhani yeye ni bwege agome kwenda kazini tangu tarehe 1 hadi leo terehe 18 lakini bado serikali inaweweseka kutafuta huruma mitandaoni.

Kuna shida mahali sio bure. Let us wait and see what gona happen.
Mkuu kama wamemfanyia huo uhuni bila kufuata Sheria, ndio unategemea akienda mahakamani serekali watatii amri ya mahakama?
 
Alivyoomba kazi ya Ualimu aliiomba ili akawe katibu mkuu wa CWT maisha?

Amehamishwa na kupewa ukuu wa wilaya na serikali, kakataa, ni haki yake, sasa arudi kwenye kazi yake aliyoajiriwa.

Kama yeye kakataa kuhama na serikali imekataa asihamie anakotaka yeye, tatizo nini?

Huyo achunguzwe kwa kina tu, nini kinampa kiburi.
Hivi vitu mama vimekuzidi kimo, wewe unachoweza kujadili ni habari za Hamas na Israel tu japo ni kwa kiwango kidogo saaaaana.
 
Sheria inasema mtumishi asiporipoti kazi kwa siku 3 mfululizo bila sababu wala ruhusa kutoka kwa mwajiri anakuwa amejifuta kazi mwenyewe.
Sheria gani hiyo mkuu? Misingi ya haki asili ni kuwa lazima mtu asikilizwe kabla ya kufanya jambo dhidi yake. Usipoenda kazini kwa zaidi ya siku 5 basi hapo kunakua na msingi wa kufunguliwa mashtaka ya nidhamu ya utoro, ambapo utajitetea kwa nini hukufika kazini siku 5. Hakuna kujifukuza kazi automatic kwa sababu tu hujaenda kazini zaidi ya siku 5. Ni lazima upewe mashtaka na kusikilizwa.

Ukifikiria kwa undani utagundua nia ya serikali kuwateua viongozi wakuu wa CWT kuwa wakuu wa wilaya haikuwa bahati mbaya. Watakuwa walifanya hivyo kwa nia ovu baada ya kuona hawa viongozi labda wamekuwa vikwazo kwao kujipenyeza CWT kuchota mapesa kwa ajili ya kujipanga na uchaguzi mkuu 2025 na mambo mengine ndani ya chama. Ndipo Maganga na wenzake wakashtukia ishu na kugoma.
Sasa Hao CWT si wanachama wake wanalalamika kila siku kuwa chama hakiwasaidii na kinawakata makato makubwa (2%) na wengi wanataka kujitoa ila CWT haitaki kuwaachia. Kwa hiyo kina Maganga walikataa kuondoka ili wazilinde fedha walizozipora kwa wanachama wao..yaani kuna wema wowote kwenye kulinda fedha iliyopatikana kwa uharamu?
 
Nimeshangaa jinsi suala la Katibu Mkuu wa CWT mwalimu Japhet Maganga linavyofanyiwa siasa badala ya kuchukuliwa kama suala la kiutumishi. Kwanza sio jambo la kawaida mtumishi wa umma kufukuzwa kazi kwa mujibu sheria na jambo hilo kugeuzwa kuwa suala la umma.

Mwalimu Maganga kateuliwa kuwa DC amegoma kwenda kuapishwa. Ameomba aongezewe kibali cha kuendelea kutumikia CWT, serikali imegoma kumuongezea muda licha ya kwamba siku za nyuma serikali imekuwa ikimuongezea muda bila tatizo lolote. Kana kwamba hilo halitoshi, barua ya kukataliwa kuongezew muda imewekwa kwenye public domain na pia barua ya kuombwa kurudi kazini imekuwa public.

Nimebaki najiuliza: ni watumishi wangapi wamefukuzwa kimyakimya bila serikali kuutangaziia umma? Kwanini hili suala binasi linageuzwa kuwa la umma? Je, serikali hawaoni kuwa tayari wamevunja sheria kwa kuingilia faragha ya mwalimu Maganga kuhusu masuala ya kazi na kwamba anaweza kuwashtaki mahakamani wakamlipa mabilioni ya shilingi kwa kumchafua na kudhalilisha utu wake hadharani?
View attachment 2785979
Mtu kukataa kuwa chawa ni utashi wake binafsi. Maganga aliona future yake haipo kwenye siasa ndio maana akaamua kugomea nafasi ya uteuzi. Kukataa uteuzi ndio iwe nongwa kiasi hiki? Acha hizo bhana. Serikali inajidhalilisha sana kwa kuendelea kukomalia jambo hili bila kufuata sheria.

Sheria za kazi zipo wazi. Mtu alitakiwa kuripoti kazini tarehe 1 lakini hadi leo tarehe 18 hajafanya hivyo na bado serikali inaweweseka mitandaoni kumtaja kama ni mtumishi wa umma wa Manispaa ya Temeke. Sheria inasema mtumishi asiporipoti kazi kwa siku 3 mfululizo bila sababu wala ruhusa kutoka kwa mwajiri anakuwa amejifuta kazi mwenyewe. Inakuwaje maganga anakuwa nje ya kituo cha kazi kwa siku 18 bado serikali inahangaika naye? Au mtu akiteuliwa kuwa DC akagoma sheria za kazi kwake zinatumika tofauti na watumishi wengine? Maswali ni mengi kuliko majibu.

Ukifikiria kwa undani utagundua nia ya serikali kuwateua viongozi wakuu wa CWT kuwa wakuu wa wilaya haikuwa bahati mbaya. Watakuwa walifanya hivyo kwa nia ovu baada ya kuona hawa viongozi labda wamekuwa vikwazo kwao kujipenyeza CWT kuchota mapesa kwa ajili ya kujipanga na uchaguzi mkuu 2025 na mambo mengine ndani ya chama. Ndipo Maganga na wenzake wakashtukia ishu na kugoma. Baada ya kugoma kuondoka kupisha mwanya wa uchotaji wa hela, serikali imeamua kumkomesha kwa kutomuongezea muda wa kuendelea kubaki CWT. Hii ndio kete ya mwisho kwa serikali kupata nafasi kuingia CWT kujichotea mapesa ya bwerere.

Kwa hali ilivyo, serikali watakuwa wanatafuta sababu ya kumkomoa Maganga kwa kuwa amekuwa kikwazo kwao kutimiza kutimiza jambo lao. Na huenda kuna mahali serikali imejichanganya, hivyo Maganga anasubiri wamfukuze kazi halafu awashike pumb* washindwe kuchomoa. Bila shaka atakuwa anasubiri wautangazie umma kuwa wamemfuta kazi kisha akimbilie mahakamani kuwakamua mamilioni ya fidia. Usidhani yeye ni bwege agome kwenda kazini tangu tarehe 1 hadi leo terehe 18 lakini bado serikali inaweweseka kutafuta huruma mitandaoni.

Kuna shida mahali sio bure. Let us wait and see what gona happen.
Cwt kuna mchwa hata kama serikali imeshindwa kuchota simply eti akina Maganga wamezuia mbona bado hela za walimu zinaliwa ni kama hazina mwenyewe na ushahidi uliwahi tolewa wazi enzi za Magu kwa report ya ukaguzi iliyofanywa na CAG
 
Cwt kuna mchwa hata kama serikali imeshindwa kuchota simply eti akina Maganga wamezuia mbona bado hela za walimu zinaliwa ni kama hazina mwenyewe na ushahidi uliwahi tolewa wazi enzi za Magu kwa report ya ukaguzi iliyofanywa na CAG
Sasa kwanini hawachukuliwi hatua za kinidhamu?
 
Hiyo faragha iliyoingiliwa hapo ni ipi? Tangazo kuwekwa hadharani sio kosa. Maana Bado anaweza kuhadaa watu wasiojua kuwa Bado yuko CWT.
Hata mkataba wa ajira ya Mtu unapokoma say, kwenye Benki kwa mfano, inashauriwa kiifahamisha na kuutahadharisha umma kuhusu ukomo wa mkataba na Mtu husika. Sioni tatizo hapo.
 
Mimi nadhani serikali iko sahihi,hata sisi walimu huwa tunatumia mbinu hii,mwanafunzi anaweza kunigomea tukiwa wawili yakaisha kimya ila akinigomea darasani kukiwa na wanafunzi wanashuhudia au parade wanafunzi wote wanaona huyo lazima afukuzwe shule mbele ya parade huku wanafunzi wote wakiona ili iwe fundisho kwa wengine.

Huyo jamaa kagomea U-DC kwakuwa anapata hela nyingi za sisi walimu malofa ambazo twakatwa kila mwezi,hivyo naunga mkono huyo jamaa kushughulikiwa,ila nadhani sahihi kabisa ilikuwa ni kuishughulikia cwt ili ituachie huru walimu,can you imagine cwt wanachukua mfuko mmoja wa cement toka kwa salary yangu kila mwezi,cha kushangaza sina hata kiwanja,huku wao wakituna mashavu kama paka shume.


I hate #CWT
 
Sasa kwanini hawachukuliwi hatua za kinidhamu?
Serikali haifanyi mambo kwa pupa ila kwa strategies ndio maana iliamua kuchukua soft measures ili kutozua taharuki lakini haka kajamaa kakawa myopic kwa kukatalia mamlaka ya uteuzi.Huyu jamaa ameidhalilisha sana serikali kwa kujifanya nunda
 
Mimi nadhani serikali iko sahihi,hata sisi walimu huwa tunatumia mbinu hii,mwanafunzi anaweza kunigomea tukiwa wawili yakaisha kimya ila akinigomea darasani kukiwa na wanafunzi wanashuhudia au parade wanafunzi wote wanaona huyo lazima afukuzwe shule mbele ya parade huku wanafunzi wote wakiona ili iwe fundisho kwa wengine.

Huyo jamaa kagomea U-DC kwakuwa anapata hela nyingi za sisi walimu malofa ambazo twakatwa kila mwezi,hivyo naunga mkono huyo jamaa kushughulikiwa,ila nadhani sahihi kabisa ilikuwa ni kuishughulikia cwt ili ituachie huru walimu,can you imagine cwt wanachukua mfuko mmoja wa cement toka kwa salary yangu kila mwezi,cha kushangaza sina hata kiwanja,huku wao wakituna mashavu kama paka shume.


I hate #CWT
Isitoshe hao Cwt wakishirikiana na maafisa utumishi wanawakata walimu mishahara yao pasipo ridhaa yao kinyume na sheria ya ajira na mahusiano kazini ya mwaka 2004 ambayo inataka mwalimu ajiunge na chama cha wafanyakazi kwa hiari yake kwa kujaza TUF 15 na kuomba kujiunga na chama husika .Kwanza hicho kiburi cha kumgomea Rais kimesukumwa na nini zaidi ya hela za Cwt ambazo hazina auditing na wanajichotea bure ni kama hazina mwenyewe.Wenye mamlaka huyo jamaa achunguzwe financial status yake in detail
 
Nimeshangaa jinsi suala la Katibu Mkuu wa CWT mwalimu Japhet Maganga linavyofanyiwa siasa badala ya kuchukuliwa kama suala la kiutumishi. Kwanza sio jambo la kawaida mtumishi wa umma kufukuzwa kazi kwa mujibu sheria na jambo hilo kugeuzwa kuwa suala la umma.

Mwalimu Maganga kateuliwa kuwa DC amegoma kwenda kuapishwa. Ameomba aongezewe kibali cha kuendelea kutumikia CWT, serikali imegoma kumuongezea muda licha ya kwamba siku za nyuma serikali imekuwa ikimuongezea muda bila tatizo lolote. Kana kwamba hilo halitoshi, barua ya kukataliwa kuongezew muda imewekwa kwenye public domain na pia barua ya kuombwa kurudi kazini imekuwa public.

Nimebaki najiuliza: ni watumishi wangapi wamefukuzwa kimyakimya bila serikali kuutangaziia umma? Kwanini hili suala binasi linageuzwa kuwa la umma? Je, serikali hawaoni kuwa tayari wamevunja sheria kwa kuingilia faragha ya mwalimu Maganga kuhusu masuala ya kazi na kwamba anaweza kuwashtaki mahakamani wakamlipa mabilioni ya shilingi kwa kumchafua na kudhalilisha utu wake hadharani?
View attachment 2785979
Mtu kukataa kuwa chawa ni utashi wake binafsi. Maganga aliona future yake haipo kwenye siasa ndio maana akaamua kugomea nafasi ya uteuzi. Kukataa uteuzi ndio iwe nongwa kiasi hiki? Acha hizo bhana. Serikali inajidhalilisha sana kwa kuendelea kukomalia jambo hili bila kufuata sheria.

Sheria za kazi zipo wazi. Mtu alitakiwa kuripoti kazini tarehe 1 lakini hadi leo tarehe 18 hajafanya hivyo na bado serikali inaweweseka mitandaoni kumtaja kama ni mtumishi wa umma wa Manispaa ya Temeke. Sheria inasema mtumishi asiporipoti kazi kwa siku 3 mfululizo bila sababu wala ruhusa kutoka kwa mwajiri anakuwa amejifuta kazi mwenyewe. Inakuwaje maganga anakuwa nje ya kituo cha kazi kwa siku 18 bado serikali inahangaika naye? Au mtu akiteuliwa kuwa DC akagoma sheria za kazi kwake zinatumika tofauti na watumishi wengine? Maswali ni mengi kuliko majibu.

Ukifikiria kwa undani utagundua nia ya serikali kuwateua viongozi wakuu wa CWT kuwa wakuu wa wilaya haikuwa bahati mbaya. Watakuwa walifanya hivyo kwa nia ovu baada ya kuona hawa viongozi labda wamekuwa vikwazo kwao kujipenyeza CWT kuchota mapesa kwa ajili ya kujipanga na uchaguzi mkuu 2025 na mambo mengine ndani ya chama. Ndipo Maganga na wenzake wakashtukia ishu na kugoma. Baada ya kugoma kuondoka kupisha mwanya wa uchotaji wa hela, serikali imeamua kumkomesha kwa kutomuongezea muda wa kuendelea kubaki CWT. Hii ndio kete ya mwisho kwa serikali kupata nafasi kuingia CWT kujichotea mapesa ya bwerere.

Kwa hali ilivyo, serikali watakuwa wanatafuta sababu ya kumkomoa Maganga kwa kuwa amekuwa kikwazo kwao kutimiza kutimiza jambo lao. Na huenda kuna mahali serikali imejichanganya, hivyo Maganga anasubiri wamfukuze kazi halafu awashike pumb* washindwe kuchomoa. Bila shaka atakuwa anasubiri wautangazie umma kuwa wamemfuta kazi kisha akimbilie mahakamani kuwakamua mamilioni ya fidia. Usidhani yeye ni bwege agome kwenda kazini tangu tarehe 1 hadi leo terehe 18 lakini bado serikali inaweweseka kutafuta huruma mitandaoni.

Kuna shida mahali sio bure. Let us wait and see what gona happen.
Basi tujiulize kwanini hataki kurudi Temeke ambako ndio ajira yake iliko kwani CWT Kuna nini mpaka anang'ang'ania? Akaimbe cheichei na watoto ndio wito na ajira yake iliko
 
nadhani hata ingekua wewe katika hali ya kawaida nakuomba jambo unanipa.
Ila wewe ukija kuniomba mie nakunyima tena kwa makusudi kutokana na raha na faida ninazo pata kwenye kile ulichonipa wewe.

Kesho nikija kukuomba tena utanipa kweli? Ikiwa ndio basi wew ni binadamu wa kipekee Sana.

It is simple,
Msingi wa kazi ya ukatibu ukuu CWT ni ualimu. Na ili upate hiyo kazi ni Lazima uwe Mwalimu na unaomba ruhusa ya kuazimwa ikimaamisha hata mambo ikiharibika huko CWT uhakika wa ajira yako ya msingi uko palepale.

umeazimwa mara ya kwanza umekubaliwa, umeazimwa mara ya pili umekubaliwa, mara ya tatu umekataliwa ndio imekua nongwa?

Mtumishi wa serikali ni sharti awe mzalendo na tayari kuutumikia umma wa waTz kadiri inavyoonekana ya serikali inavyoona inafaa, sio kadiri ya tamaa na kiburi yako.
Aondolewe huyo mwana kulitafuta mwana kulipata, kwanini akatae kurudi Temeke sasa Kama kweli hakuhitaji uteuzi wa Raisi mbona anang'ang'ania CWT???
 
Back
Top Bottom