Mwalimu Japhet Maganga wa CWT hafukuziki? Jibu hili hapa

Sasa kisha onyesha nia yake ni kubaki kule cWT mumuache aende, tatizo la watu kama wewe mnadhani roho mbaya ni sifa. Yeye hataki kurejea Temeke anataka kubaki CWT, kwanini msimwache afanye anachotaka? kwanini kulazimishana? mwajiri mkuu, mwajiri mkuu kwani serikali ni Mungu? Tumieni busara na hekima mumuache akafanye apendacho, mkimlazimisha mnapata nini?
 
Arudi Temeke tu kwa sababu hakusomea ukatibu mkuu alisomea ualimu.
 
Hata hela za serikalini zinaliwa hovyo hilo pia ujue
 
Jamiiforum ni hela yako tu ukitaka kumchafua mtu mwaga hela kwa viongozi wa JF utamchafua mpaka uchoke na ukitaka usichafuliwe fanya ivoivo
 
Na hata kama kaingia kwa hiari bado anayo haki ya kujitoa muda wowote.......ndo maana jamaa kakataa teuzi ili aendelee kulamba maokoto ya bwerere huko cwt ila ndo hivyo wamemkamia.​
 
Hiyo kitu nimesikia ila nilikuwa sijui huyu uliyemtaja
 
Sio lazima na hata yeye sio chawa, ila ni Mwalimu na kituo chake ni Temeke kuna maelfu na maelfu ya walimu ambao wanaweza kuongoza hiko chama kama muajiri kakataa arudi kwenye kazi aliyoiomba
Yeye amechagua kutoenda kufundisha na pia aliukataa uchawa. Wewe unatakaje?
 
Hata ile kupewa ukuu wa wilaya ilikuwa ni mipango ya kuelewa wamnase vipi. Akastuka. Ana team kiubwa sana nyuma yake.
Sasa mbona wanaogopa kumfuta kazi? Unadhani yeye hawasomi? Kama kweli wana ubavu wamfute kazi awawashie moto wa makaa ya mawe.
 
Mwajiri ana haki ya kukuita kazini. Mnamjaza tuu huyu Jamaa.
Kuitwa kazini ni suala la binafsi kati ya mtumishi na mwajiri. Kwanini mwajiri anafanya suala la mtumishi mmoja katika halmashauri yake kuwa la kitaifa? Wewe unadhani mwajiri hajavunja haki ya faragha ya mtumishi huyu?
 
Hata ile kupewa ukuu wa wilaya ilikuwa ni mipango ya kuelewa wamnase vipi. Akastuka. Ana team kiubwa sana nyuma yake.
Sasa wameshindwa kumnasa wanalazimisha mambo. CCM ni majitu wa ovyo sana.
 
Reading between the lines....wanataka kumtumia kama case study kwa watumishi wengine kwamba wasijisahau wanapokuwa kwenye secondment kama huyo bwana...kwamba ukijisahau mwajiri wako anao uwezo wa kutia kitumbua chako mchanga kama ambavyo watatia kitumbua cha huyo mwalimu mchanga.

His options are very limited...for him to save his ass ni bora arudi halmashauri akafundishe au aache ualimu akalime...very likely shule za binafsi pia zikamkataa...hiyo ndiyo practical meaning ya ule usemi: serikali ina mkono mreeeefu!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…