Mwalimu Japhet Maganga wa CWT hafukuziki? Jibu hili hapa

Mwalimu Japhet Maganga wa CWT hafukuziki? Jibu hili hapa

Sasa kisha onyesha nia yake ni kubaki kule cWT mumuache aende, tatizo la watu kama wewe mnadhani roho mbaya ni sifa. Yeye hataki kurejea Temeke anataka kubaki CWT, kwanini msimwache afanye anachotaka? kwanini kulazimishana? mwajiri mkuu, mwajiri mkuu kwani serikali ni Mungu? Tumieni busara na hekima mumuache akafanye apendacho, mkimlazimisha mnapata nini?
Hv Janeth ni mchungaji wa kanisa au ni mtumishi anayefuata taratibu za serikali,Sijui roho mbaya iko wapi hapo bro?
 
Reading between the lines....wanataka kumtumia kama case study kwa watumishi wengine kwamba wasijisahau wanapokuwa kwenye secondment kama huyo bwana...kwamba ukijisahau mwajiri wako anao uwezo wa kutia kitumbua chako mchanga kama ambavyo watatia kitumbua cha huyo mwalimu mchanga.

His options are very limited...for him to save his ass ni bora arudi halmashauri akafundishe au aache ualimu akalime...very likely shule za binafsi pia zikamkataa...hiyo ndiyo practical meaning ya ule usemi: serikali ina mkono mreeeefu!
Lakini ni uonevu, Hakutaka kufundisha akatafuta pa kukimbilia, mkamruhusu kumpa hiyo secondment. sasa Bado hataki kufundisha kaomba aendelee kuwa huko, kwa sababu zile zile mlizompa ruhusa mwanzo, tumieni hizo hizo kumpa sasa, kwani kimebadirika nini? Watu wako maofisini wanadhani kufundisha ni kitu rahisi, mwenzenu kachoka mumuache aendelee kuwa huko ajira ina ukomo akistaafu atajua mwenyewe , atakuaj kuaga na ataondoka.
Walimu kibao kila siku wanasoma ili waondokane na kufundisha. Wapo wenye wito na hiyo kazi muwape wao. Huyo hataki. Mkimrudisha mnapata nini.
 
Hv Janeth ni mchungaji wa kanisa au ni mtumishi anayefuata taratibu za serikali,Sijui roho mbaya iko wapi hapo bro?
Kwani huyo Mganga kwanini mwanzo walimruhusu kwenda huko CWT, na kwanini sababu hizo hizo zsitumike kumruhusu akaendelee na majukumu yake huko CWT. Roho mbaya na wivu ni pale wanamuona huko CWT wanamkubali na hataki kurudi kufundisha kwasababu hataki kufundisha na mshahara wa kule ni mzuri. Wanaona anafaidi sana. Kuna walimu chungu mzima wangewapa nafasi huyo jamaa wakamuacha huko aliko, lakini kwa wivu na roho mbaya, Huyo Janeth na wenzake wanafanya haya kumkomoa mwenzao. Kwanini atishiwe kufukuzwa kazi na alienda kule kwa ruhusa. Na kwanini wamnyime ruhusa, kama walimruhusu mwazo kwanini wasimruhusu sasa?
 
Nimeshangaa jinsi suala la Katibu Mkuu wa CWT mwalimu Japhet Maganga linavyofanyiwa siasa badala ya kuchukuliwa kama suala la kiutumishi. Kwanza sio jambo la kawaida mtumishi wa umma kufukuzwa kazi kwa mujibu sheria na jambo hilo kugeuzwa kuwa suala la umma.

Mwalimu Maganga kateuliwa kuwa DC amegoma kwenda kuapishwa. Ameomba aongezewe kibali cha kuendelea kutumikia CWT, serikali imegoma kumuongezea muda licha ya kwamba siku za nyuma serikali imekuwa ikimuongezea muda bila tatizo lolote. Kana kwamba hilo halitoshi, barua ya kukataliwa kuongezew muda imewekwa kwenye public domain na pia barua ya kuombwa kurudi kazini imekuwa public.

Nimebaki najiuliza: ni watumishi wangapi wamefukuzwa kimyakimya bila serikali kuutangaziia umma? Kwanini hili suala binasi linageuzwa kuwa la umma? Je, serikali hawaoni kuwa tayari wamevunja sheria kwa kuingilia faragha ya mwalimu Maganga kuhusu masuala ya kazi na kwamba anaweza kuwashtaki mahakamani wakamlipa mabilioni ya shilingi kwa kumchafua na kudhalilisha utu wake hadharani?
View attachment 2785979
Mtu kukataa kuwa chawa ni utashi wake binafsi. Maganga aliona future yake haipo kwenye siasa ndio maana akaamua kugomea nafasi ya uteuzi. Kukataa uteuzi ndio iwe nongwa kiasi hiki? Acha hizo bhana. Serikali inajidhalilisha sana kwa kuendelea kukomalia jambo hili bila kufuata sheria.

Sheria za kazi zipo wazi. Mtu alitakiwa kuripoti kazini tarehe 1 lakini hadi leo tarehe 18 hajafanya hivyo na bado serikali inaweweseka mitandaoni kumtaja kama ni mtumishi wa umma wa Manispaa ya Temeke. Sheria inasema mtumishi asiporipoti kazi kwa siku 3 mfululizo bila sababu wala ruhusa kutoka kwa mwajiri anakuwa amejifuta kazi mwenyewe. Inakuwaje maganga anakuwa nje ya kituo cha kazi kwa siku 18 bado serikali inahangaika naye? Au mtu akiteuliwa kuwa DC akagoma sheria za kazi kwake zinatumika tofauti na watumishi wengine? Maswali ni mengi kuliko majibu.

Ukifikiria kwa undani utagundua nia ya serikali kuwateua viongozi wakuu wa CWT kuwa wakuu wa wilaya haikuwa bahati mbaya. Watakuwa walifanya hivyo kwa nia ovu baada ya kuona hawa viongozi labda wamekuwa vikwazo kwao kujipenyeza CWT kuchota mapesa kwa ajili ya kujipanga na uchaguzi mkuu 2025 na mambo mengine ndani ya chama. Ndipo Maganga na wenzake wakashtukia ishu na kugoma. Baada ya kugoma kuondoka kupisha mwanya wa uchotaji wa hela, serikali imeamua kumkomesha kwa kutomuongezea muda wa kuendelea kubaki CWT. Hii ndio kete ya mwisho kwa serikali kupata nafasi kuingia CWT kujichotea mapesa ya bwerere.

Kwa hali ilivyo, serikali watakuwa wanatafuta sababu ya kumkomoa Maganga kwa kuwa amekuwa kikwazo kwao kutimiza kutimiza jambo lao. Na huenda kuna mahali serikali imejichanganya, hivyo Maganga anasubiri wamfukuze kazi halafu awashike pumb* washindwe kuchomoa. Bila shaka atakuwa anasubiri wautangazie umma kuwa wamemfuta kazi kisha akimbilie mahakamani kuwakamua mamilioni ya fidia. Usidhani yeye ni bwege agome kwenda kazini tangu tarehe 1 hadi leo terehe 18 lakini bado serikali inaweweseka kutafuta huruma mitandaoni.

Kuna shida mahali sio bure. Let us wait and see what gona happen.
mkuu niliwasikia hata akina kitenge kwenye kile kipindi chao cha goodmorning huko wasafi wanalishadadia hili suala kwenye uchambuzi wao uchwara wa magazeti.
 
mil 7 ukuu wa wilaya mil 3 ili kumfikia jamaa mkuu wa wilaya alee sana rushwaaa na vitrip kadhaa
Yaani Mkuu wa Wilaya mshahala wake ni millioni (3)tatu tu?
Dah...! ni pesa ndogo sana ukilinganisha na majukumu yake.

Wangelipwa japo m.7 na Wakuu wa Mikoa walipwe japo m.9 hivi.
Majukumu na hadhi zao ni kubwa lazima yaendane na kipato chao.
 
Yaani Mkuu wa Wilaya mshahala wake ni millioni (3)tatu tu?
Dah...! ni pesa ndogo sana ukilinganisha na majukumu yake.

Wangelipwa japo m.7 na Wakuu wa Mikoa walipwe japo m.9 hivi.
Majukumu na hadhi zao ni kubwa lazima yaendane na kipato chao.
Wakuu wa mikoa na wilaya wana majukumu. gani zaidi ya kuendeleza uchawa na kuisaidia CCM kuiba kura?
 
Lakini ni uonevu, Hakutaka kufundisha akatafuta pa kukimbilia, mkamruhusu kumpa hiyo secondment. sasa Bado hataki kufundisha kaomba aendelee kuwa huko, kwa sababu zile zile mlizompa ruhusa mwanzo, tumieni hizo hizo kumpa sasa, kwani kimebadirika nini? Watu wako maofisini wanadhani kufundisha ni kitu rahisi, mwenzenu kachoka mumuache aendelee kuwa huko ajira ina ukomo akistaafu atajua mwenyewe , atakuaj kuaga na ataondoka.
Walimu kibao kila siku wanasoma ili waondokane na kufundisha. Wapo wenye wito na hiyo kazi muwape wao. Huyo hataki. Mkimrudisha mnapata nini.
CCM ni watu wa kisasi
Walinusurika kumuua Tundu Lissu. Kama akikaidi kwenda kufundisha, watamuua!
 
Kwanini wamuondolee ualimu wake? wamepungukiwa nini alipoenda huko CWT? wao wana majukumu yao na yule anaendelea na majukumu yake aliyoenda kuyafanya alipoomba ruhusa mwanzo, tena na tena. Yani Temeke hawana walimu kabisa mpaka wamrejeshe Maganga? Alikataa uteuzi labda hakuyaweza majukumu aliyokuwa anapewa< au hakutaka kufanya alichopewa,Tatizo nini?
Yeye kaomba kuendelea kubaki huko CWT kwa utaratibu aliokuwa akiufuata tangu awali. Leo kumebadirika nini ahdi anyimwe?

Toka lini mtumishi anachagua aina ya kazi ktk field aliyoajiriwa??

CWT ni ya waalimu,mwalimu yeyote anawezafanya kazi CWT kwa kuteuliwa na anaweza kutenguliwa pia.
Kwa sababu anajua sio haki yake ya milele ndio sababu ALIOMBA kuendelea,sio kugomea kutoka,sasa watu kwanini washangae ombi lake kukataliwa!!!!
 
Wakuu wa mikoa na wilaya wana majukumu. gani zaidi ya kuendeleza uchawa na kuisaidia CCM kuiba kura?
Ni watekelezaji wa Sera za Chama na Serikali katika maeneo Yao.

Kila eneo lina changamoto nyingi sana ambazo ni jukumu la wakuu wa wilaya na mikoa kuziweka mezani na kuzitatua.

We fikiria Mkuu wa Wilaya kulipwa m.3 sawa sawa na mshahala wa mhadhiri msaidizi wa chuo kimoja cha VETA.
Ni haki hiyo?
 
kweli humu Duniani kuna watu na viatu,
akiomba yeye ni sharti apewe tu eti ndio haki na hana shukran wala heshima kwa mamlaka, akiombwa yeye sasa, mabega juu hataki tena kwa mikogo kama yote,
akinyimwa sasa ilo shavu linavyofura kama chatu kameza sungura [emoji851]

sasa mtu kama huyu aliejaa uchoyo, tamaa na kiburi, aisee acha niishie hapo....
Umeumizwa sana na hili jambo
 
Nimeshangaa jinsi suala la Katibu Mkuu wa CWT mwalimu Japhet Maganga linavyofanyiwa siasa badala ya kuchukuliwa kama suala la kiutumishi. Kwanza sio jambo la kawaida mtumishi wa umma kufukuzwa kazi kwa mujibu sheria na jambo hilo kugeuzwa kuwa suala la umma.

Mwalimu Maganga kateuliwa kuwa DC amegoma kwenda kuapishwa. Ameomba aongezewe kibali cha kuendelea kutumikia CWT, serikali imegoma kumuongezea muda licha ya kwamba siku za nyuma serikali imekuwa ikimuongezea muda bila tatizo lolote. Kana kwamba hilo halitoshi, barua ya kukataliwa kuongezew muda imewekwa kwenye public domain na pia barua ya kuombwa kurudi kazini imekuwa public.

Nimebaki najiuliza: ni watumishi wangapi wamefukuzwa kimyakimya bila serikali kuutangaziia umma? Kwanini hili suala binasi linageuzwa kuwa la umma? Je, serikali hawaoni kuwa tayari wamevunja sheria kwa kuingilia faragha ya mwalimu Maganga kuhusu masuala ya kazi na kwamba anaweza kuwashtaki mahakamani wakamlipa mabilioni ya shilingi kwa kumchafua na kudhalilisha utu wake hadharani?
View attachment 2785979
Mtu kukataa kuwa chawa ni utashi wake binafsi. Maganga aliona future yake haipo kwenye siasa ndio maana akaamua kugomea nafasi ya uteuzi. Kukataa uteuzi ndio iwe nongwa kiasi hiki? Acha hizo bhana. Serikali inajidhalilisha sana kwa kuendelea kukomalia jambo hili bila kufuata sheria.

Sheria za kazi zipo wazi. Mtu alitakiwa kuripoti kazini tarehe 1 lakini hadi leo tarehe 18 hajafanya hivyo na bado serikali inaweweseka mitandaoni kumtaja kama ni mtumishi wa umma wa Manispaa ya Temeke. Sheria inasema mtumishi asiporipoti kazi kwa siku 3 mfululizo bila sababu wala ruhusa kutoka kwa mwajiri anakuwa amejifuta kazi mwenyewe. Inakuwaje maganga anakuwa nje ya kituo cha kazi kwa siku 18 bado serikali inahangaika naye? Au mtu akiteuliwa kuwa DC akagoma sheria za kazi kwake zinatumika tofauti na watumishi wengine? Maswali ni mengi kuliko majibu.

Ukifikiria kwa undani utagundua nia ya serikali kuwateua viongozi wakuu wa CWT kuwa wakuu wa wilaya haikuwa bahati mbaya. Watakuwa walifanya hivyo kwa nia ovu baada ya kuona hawa viongozi labda wamekuwa vikwazo kwao kujipenyeza CWT kuchota mapesa kwa ajili ya kujipanga na uchaguzi mkuu 2025 na mambo mengine ndani ya chama. Ndipo Maganga na wenzake wakashtukia ishu na kugoma. Baada ya kugoma kuondoka kupisha mwanya wa uchotaji wa hela, serikali imeamua kumkomesha kwa kutomuongezea muda wa kuendelea kubaki CWT. Hii ndio kete ya mwisho kwa serikali kupata nafasi kuingia CWT kujichotea mapesa ya bwerere.

Kwa hali ilivyo, serikali watakuwa wanatafuta sababu ya kumkomoa Maganga kwa kuwa amekuwa kikwazo kwao kutimiza kutimiza jambo lao. Na huenda kuna mahali serikali imejichanganya, hivyo Maganga anasubiri wamfukuze kazi halafu awashike pumb* washindwe kuchomoa. Bila shaka atakuwa anasubiri wautangazie umma kuwa wamemfuta kazi kisha akimbilie mahakamani kuwakamua mamilioni ya fidia. Usidhani yeye ni bwege agome kwenda kazini tangu tarehe 1 hadi leo terehe 18 lakini bado serikali inaweweseka kutafuta huruma mitandaoni.

Kuna shida mahali sio bure. Let us wait and see what gona happen.
Wakizingatia sheria na Kanuni za Utumishi wa Umma katika kumchukulia hatua za kinidhamu,anafukizika vizuri tu.Kwa sababu kosa lipo tayari.Kanuni ya 57 inaelekeza kuwa mtumishi ambaye hatakuwa katika kituo chake Cha bila ruhusa kwa angalau siku 5 za kazi atakuwa ametenda kosa la kinidhamu na adhabu yake ni kufukuzwa kazi.
 
Sio lazima na hata yeye sio chawa, ila ni Mwalimu na kituo chake ni Temeke kuna maelfu na maelfu ya walimu ambao wanaweza kuongoza hiko chama kama muajiri kakataa arudi kwenye kazi aliyoiomba
Hivi walimu wa shule binafsi hawaruhusiwi kuwa wanachama wa CWT? Na kama wanaruhusiwa si watakuwa na haki sawa za kugombea, kuchaguliwa na kupiga kura kama walimu wengine wa shule za serikali? Ili kama vipi ahamie shule za binafsi na kuendelea kuwa na cheo chake cha ukatibu mkuu CWT.
 
Nimeshangaa jinsi suala la Katibu Mkuu wa CWT mwalimu Japhet Maganga linavyofanyiwa siasa badala ya kuchukuliwa kama suala la kiutumishi. Kwanza sio jambo la kawaida mtumishi wa umma kufukuzwa kazi kwa mujibu sheria na jambo hilo kugeuzwa kuwa suala la umma.

Mwalimu Maganga kateuliwa kuwa DC amegoma kwenda kuapishwa. Ameomba aongezewe kibali cha kuendelea kutumikia CWT, serikali imegoma kumuongezea muda licha ya kwamba siku za nyuma serikali imekuwa ikimuongezea muda bila tatizo lolote. Kana kwamba hilo halitoshi, barua ya kukataliwa kuongezew muda imewekwa kwenye public domain na pia barua ya kuombwa kurudi kazini imekuwa public.

Nimebaki najiuliza: ni watumishi wangapi wamefukuzwa kimyakimya bila serikali kuutangaziia umma? Kwanini hili suala binasi linageuzwa kuwa la umma? Je, serikali hawaoni kuwa tayari wamevunja sheria kwa kuingilia faragha ya mwalimu Maganga kuhusu masuala ya kazi na kwamba anaweza kuwashtaki mahakamani wakamlipa mabilioni ya shilingi kwa kumchafua na kudhalilisha utu wake hadharani?
View attachment 2785979
Mtu kukataa kuwa chawa ni utashi wake binafsi. Maganga aliona future yake haipo kwenye siasa ndio maana akaamua kugomea nafasi ya uteuzi. Kukataa uteuzi ndio iwe nongwa kiasi hiki? Acha hizo bhana. Serikali inajidhalilisha sana kwa kuendelea kukomalia jambo hili bila kufuata sheria.

Sheria za kazi zipo wazi. Mtu alitakiwa kuripoti kazini tarehe 1 lakini hadi leo tarehe 18 hajafanya hivyo na bado serikali inaweweseka mitandaoni kumtaja kama ni mtumishi wa umma wa Manispaa ya Temeke. Sheria inasema mtumishi asiporipoti kazi kwa siku 3 mfululizo bila sababu wala ruhusa kutoka kwa mwajiri anakuwa amejifuta kazi mwenyewe. Inakuwaje maganga anakuwa nje ya kituo cha kazi kwa siku 18 bado serikali inahangaika naye? Au mtu akiteuliwa kuwa DC akagoma sheria za kazi kwake zinatumika tofauti na watumishi wengine? Maswali ni mengi kuliko majibu.

Ukifikiria kwa undani utagundua nia ya serikali kuwateua viongozi wakuu wa CWT kuwa wakuu wa wilaya haikuwa bahati mbaya. Watakuwa walifanya hivyo kwa nia ovu baada ya kuona hawa viongozi labda wamekuwa vikwazo kwao kujipenyeza CWT kuchota mapesa kwa ajili ya kujipanga na uchaguzi mkuu 2025 na mambo mengine ndani ya chama. Ndipo Maganga na wenzake wakashtukia ishu na kugoma. Baada ya kugoma kuondoka kupisha mwanya wa uchotaji wa hela, serikali imeamua kumkomesha kwa kutomuongezea muda wa kuendelea kubaki CWT. Hii ndio kete ya mwisho kwa serikali kupata nafasi kuingia CWT kujichotea mapesa ya bwerere.

Kwa hali ilivyo, serikali watakuwa wanatafuta sababu ya kumkomoa Maganga kwa kuwa amekuwa kikwazo kwao kutimiza kutimiza jambo lao. Na huenda kuna mahali serikali imejichanganya, hivyo Maganga anasubiri wamfukuze kazi halafu awashike pumb* washindwe kuchomoa. Bila shaka atakuwa anasubiri wautangazie umma kuwa wamemfuta kazi kisha akimbilie mahakamani kuwakamua mamilioni ya fidia. Usidhani yeye ni bwege agome kwenda kazini tangu tarehe 1 hadi leo terehe 18 lakini bado serikali inaweweseka kutafuta huruma mitandaoni.

Kuna shida mahali sio bure. Let us wait and see what gona happen.
CWT ni mali ya walimu ama mali ya serikali, je watumishi wa CWT mwajiri wao ni michango ya walimu ama inatoka serikalini ukiondoa mshahara wake wa ualimu ambao ni milioni kasoro
 
yeye si hodari sana, si mwamba sana, tunachoomba asijinyonge tu kwa stress, lakini Lazima ashike adabu na anyooke vizur, huu ni mwanzo tu, atapata tabu sana kwenye mafao
Hizi ndio akili za Uvccm mafala sana...
 
Nimeshangaa jinsi suala la Katibu Mkuu wa CWT mwalimu Japhet Maganga linavyofanyiwa siasa badala ya kuchukuliwa kama suala la kiutumishi. Kwanza sio jambo la kawaida mtumishi wa umma kufukuzwa kazi kwa mujibu sheria na jambo hilo kugeuzwa kuwa suala la umma.

Mwalimu Maganga kateuliwa kuwa DC amegoma kwenda kuapishwa. Ameomba aongezewe kibali cha kuendelea kutumikia CWT, serikali imegoma kumuongezea muda licha ya kwamba siku za nyuma serikali imekuwa ikimuongezea muda bila tatizo lolote. Kana kwamba hilo halitoshi, barua ya kukataliwa kuongezew muda imewekwa kwenye public domain na pia barua ya kuombwa kurudi kazini imekuwa public.

Nimebaki najiuliza: ni watumishi wangapi wamefukuzwa kimyakimya bila serikali kuutangaziia umma? Kwanini hili suala binasi linageuzwa kuwa la umma? Je, serikali hawaoni kuwa tayari wamevunja sheria kwa kuingilia faragha ya mwalimu Maganga kuhusu masuala ya kazi na kwamba anaweza kuwashtaki mahakamani wakamlipa mabilioni ya shilingi kwa kumchafua na kudhalilisha utu wake hadharani?
View attachment 2785979
Mtu kukataa kuwa chawa ni utashi wake binafsi. Maganga aliona future yake haipo kwenye siasa ndio maana akaamua kugomea nafasi ya uteuzi. Kukataa uteuzi ndio iwe nongwa kiasi hiki? Acha hizo bhana. Serikali inajidhalilisha sana kwa kuendelea kukomalia jambo hili bila kufuata sheria.

Sheria za kazi zipo wazi. Mtu alitakiwa kuripoti kazini tarehe 1 lakini hadi leo tarehe 18 hajafanya hivyo na bado serikali inaweweseka mitandaoni kumtaja kama ni mtumishi wa umma wa Manispaa ya Temeke. Sheria inasema mtumishi asiporipoti kazi kwa siku 3 mfululizo bila sababu wala ruhusa kutoka kwa mwajiri anakuwa amejifuta kazi mwenyewe. Inakuwaje maganga anakuwa nje ya kituo cha kazi kwa siku 18 bado serikali inahangaika naye? Au mtu akiteuliwa kuwa DC akagoma sheria za kazi kwake zinatumika tofauti na watumishi wengine? Maswali ni mengi kuliko majibu.

Ukifikiria kwa undani utagundua nia ya serikali kuwateua viongozi wakuu wa CWT kuwa wakuu wa wilaya haikuwa bahati mbaya. Watakuwa walifanya hivyo kwa nia ovu baada ya kuona hawa viongozi labda wamekuwa vikwazo kwao kujipenyeza CWT kuchota mapesa kwa ajili ya kujipanga na uchaguzi mkuu 2025 na mambo mengine ndani ya chama. Ndipo Maganga na wenzake wakashtukia ishu na kugoma. Baada ya kugoma kuondoka kupisha mwanya wa uchotaji wa hela, serikali imeamua kumkomesha kwa kutomuongezea muda wa kuendelea kubaki CWT. Hii ndio kete ya mwisho kwa serikali kupata nafasi kuingia CWT kujichotea mapesa ya bwerere.

Kwa hali ilivyo, serikali watakuwa wanatafuta sababu ya kumkomoa Maganga kwa kuwa amekuwa kikwazo kwao kutimiza kutimiza jambo lao. Na huenda kuna mahali serikali imejichanganya, hivyo Maganga anasubiri wamfukuze kazi halafu awashike pumb* washindwe kuchomoa. Bila shaka atakuwa anasubiri wautangazie umma kuwa wamemfuta kazi kisha akimbilie mahakamani kuwakamua mamilioni ya fidia. Usidhani yeye ni bwege agome kwenda kazini tangu tarehe 1 hadi leo terehe 18 lakini bado serikali inaweweseka kutafuta huruma mitandaoni.

Kuna shida mahali sio bure. Let us wait and see what gona happen.
Una uhakika Serikali ndio imeiweka public hizi Nyaraka?
 
Ni watekelezaji wa Sera za Chama na Serikali katika maeneo Yao.

Kila eneo lina changamoto nyingi sana ambazo ni jukumu la wakuu wa wilaya na mikoa kuziweka mezani na kuzitatua.

We fikiria Mkuu wa Wilaya kulipwa m.3 sawa sawa na mshahala wa mhadhiri msaidizi wa chuo kimoja cha VETA.
Ni haki hiyo?
Wakuu wa wilaya na mikoa hawategemei mishahara. Wana maposho lukuki na wanalipiwa kila kitu na serikali.....nyumba, umeme, maji, mafuta ya gari, walinzi, wanapewa VX ya bure, nk na wakistaafu wanazawadia V8. Ukuu wa wilaya na mkoa ni zaidi ya ufalme. Ndio maana kila DC na RC lazima aisaidie CCM kuiba kura ibaki madrakani ili aendelee kufaidi matunda ya ufalme.

Pili, ili uwe DC au RC sharti uwe CHAWA au ubadilishwe kuwa chawa. Maganga aliukataa uDC kwa sababu aligoma kubadilishwa kuwa chawa. Sasa kwanini wamlazimishe? Kwani kuwa chawa lazima?
 
Back
Top Bottom