Mwalimu Japhet Maganga wa CWT hafukuziki? Jibu hili hapa

Drama hii
 
Drama hii
Watajua wenyewe. Kipindi wanamuongezea muda abaki CWT walikuwa wanafanya hivyo kimya kimya. Baada ya kugomea nafasi ya uteuzi ndipo sasa wanakuja hapa kulialia kutafuta public sympathy. CCM ni majitu ya ajabu sana.
 
Ukiwa mwizi au kibaka, siku ukitiwa kati na wananchi wenye hasira kali unatakiwa kuchutama lakini sio kwa CCM. Wezi hawa wameshtukiwa na Maganga kutaka kuiba hela za CWT lakini hawataki kuchutama. Badala yake wanamuandama na kumsakama mwalimu Maganga kutaka kumkomoa kwa kuwakatalia kuiba hela za wanachama wa CWT. Haya majitu hayana khaya hata kidogo.
 
Majuzi walitangaza hali yake si shwari, ni kama akili yake imeathirika
CCM ni majitu ya ajabu sana. Yaani huyu jamaa ni jasiri mno kupambana na kiijiji kizima cha CCM wakiwa wamembebea mawe. Walitangaza redioni au mitandaoni mkuu?
 
CCM ni majitu ya ajabu sana. Yaani huyu jamaa ni jasiri mno kupambana na kiijiji kizima cha CCM wakiwa wamembebea mawe. Walitangaza redioni au mitandaoni mkuu?
Humu jamvini
 
Asante mkuu. Lakini kama unakumbuka tittle ya uzi unaweza kunipa key words nitafute mwenyewe kupitia gugu.
Fungua uzi kabisa "Aliyepigwa mawe na wanaccm Dodoma"
 
Fungua uzi kabisa "Aliyepigwa mawe na wanaccm Dodoma"
Asante mkuu. Nashukuru nimeupata uzi. Huu uzi uliandikwa 2020 sijui sasa hivi huyu kamanda atakuwa na hali gani:
 
🙏👍
 
Ni ujinga mtupu kujiona miungu watu kumkatalia mtu maombi kwa sababu za kisiasa. Kwasababu zile zile walizo mruhusu ,mwanzo wamruhusu sasa. Kama hawana sababu ya kumzuia kuendelea kuwa huko CWT, Ndiyo aliomba na wakamruhusu, na akaomba tena na tena sasa leo kumetokea nini hadi wasimruhusu. Leo ndio wameona umuhimu wake au leo ndio wamekumbuka anatakiwa kufundisha?
CCM na Setrikali ya Ki ccm ni wapumbavu sana.
 

CWT kiko chini ya CCM,hao waliotaka sasa atoke akaitumikie CCM hiyo hiyo kwenye UDC.

Kama ameamua kukataa ofa ya pili anajivua sifa ya kuendelea na ofa ya kwanza,hana anachomiliki hapo zaidi ya huo ualimu ambao nao kaamua kuunyea kwa kuona hauna maslahi tena kwake.
Watamfilimba,watu wenyewe ndio hawa akina makonda na bananga!!!!!
 
Kwa Maokoto hayo unamfukuzaje. Waalimu acheni hela zenu zipigwe mtapewa T shirt siku ya Maadhimisho ya Mwalimu Duniani
 

Attachments

  • IMG-20231129-WA0000.jpg
    97.1 KB · Views: 4
Kwa Maokoto hayo unamfukuzaje. Waalimu acheni hela zenu zipigwe mtapewa T shirt siku ya Maadhimisho ya Mwalimu Duniani
Du! Kweli huu mfuko unaliwa sana na viongozi huku walimu wakiwa wamekaa kimya kama makondoo. Inauma na inahudhunisha sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…