Mwalimu Maganga, Katibu Mkuu CWT aliyekataa uteuzi wa Ukuu wa Wilaya arudishwa kwenye Ualimu

Jamaa hakuwa na back up plan wala support aisee...!
 
Jamaa laizingua sanakukataa teuzi ya Mh Rais
 
Acha kupotosha mdau


Ticha ameomba kibal na muombwaj kakataa kutoa kibal husika unasemaje kuwa anakomolewa???


Arud kwenye ajira yake ili wenzake nao wale
Ndio tatizo la kudandia treni kwa mbele!! Mbona wafrika ndio mabingwa wa fitina, ungekuwa mfuatiliaji wa mambo ungejua nini kimekuwa kina mkuta jamaa toka alipokataa uteuzi, lilikuwa ni suala la muda tu.
 
Hivi ni sawa mkurugenzi kusaini tangazo/taarifa hii pasipo hata kuweka jina lake? Au hiyo kuandika cheo chake tu ilitosha?
 
Mantiki ya taarifa za mwajiriwa kuwekwa hadharani ni zipi?

Alipaswa apewe barua yake kisha aripoti kazini. Kubandikwa kwenye mbao za matangazo ni upuuzi usio na maana.

Mbona kabla ya hapo, vibali vyake havikuwa wazi?

Pathetic!.
Kweli ndugu taratibu za kazi ni kati ya mwajiri na mwajiriwa. Ni ujinga wa hali ya juu.
 
Hakuna kitu angepoteza.. angeenda tu.. angepigwa chini angerudi kufundisha
 
Uko sahihi kabisa
 
Hii ingekuwa awamu iliyopita tungeambiwa huyo Mzee ana visasi mara ni sadist etc.

Kwa hali ilivyo,hata huko kwenye ualimu awe macho lazima atakuwa anafuatiliwa kwa karibu!
 
angedhalilishwa kivipi kama performance yake ingekuwa ya kuridhisha?
Sio kila mtu anapenda kua mkuu wa wilaya Kuna wengine wapo tayari hata kuacha kazi kuliko kuteuliwa nafasi za kisiasa na wengine wapo tayari hata kuua au kujidhalilisha Ili wazipate hizo nafasi muhimu ni kuheshimu maamuzi ya watu
 
Sasa kapata nini kwa kukataa ukuu wa wilaya? Hata kama angeenda kutenguliwa, angerudi kwenye ualimu wake ambao ndio karudi sasa hivi.

Yeye alikataa sio kwa kutaka kurudi darasani, alikataa ili aendelee kuwa katibu wa CWT.

Mtumishi wa umma unabishana na Rais; hii akili sijui ni ya wapi!
 
Kwa mshahara wake ule kama alizichanga vizuri hafi masikini.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…