Mwalimu mdhalilishaji watoto wa kiume Oysterbay yupo wapi siku hizi?

lifanyie kazi hilo wacha ubishi
Kama ulikua kijijini na umeanza tuumia internet juzi , basi ujue " LOL , LMAOF" ziko siku ningi kabla hujaja mjini na kudhani ni misemo ya ki gay, tume anza tumia chatrooms toka gay curios kama nyie hamja chukua mitandao na kuifanya yenu na LGBT yenu , ungejua hilo kama unge kulia mjini . Ttozo mnao tumia itandao baada ya Facebook kuja mna shida sana .
 
Nilikuwa nakuona mtu unayejitambua kumbe mpuuzi tu

Unaandika vitu vya kufikirika then unataka upewe fact

Check your mental health status unaonekana dish limecheza
Kuchelewa sio tatizo hatuwezi ficha minyanyaso hiyo sababu tuu eti kulinda Institution , watoto walikua abused ( Allegedly) na wengine tuli experience kuulizwa maswali ya sio ya kawaida na huyo alleged monster .
 
Siwezi taja jina sababu hizo ni tuhuma zangu moja na nimeweka hapa ili wengine wajitokeze waseme kama nao wame weza patwa a unyanyasaji huu, hapo ndio tungeweza fanya kitu, Mimi niliulizwa swali , je swahili hilo lilikualinapelekea nini ,s ina uhakika sababu hakuendelea ila wako ambao siwajui wako wapi kwa sasa ambao nilisikia wali kuwa abused sexually hao ndio nilitaka wajitokeze waseme hapa kwasababu ID zao hatuwezi zijua . from ther ndio tungejua tunafanyaje to protect other kids, jambo lolote linaanza na kuongea .
 
Nilikuwa nakuona mtu unayejitambua kumbe mpuuzi tu

Unaandika vitu vya kufikirika then unataka upewe fact

Check your mental health status unaonekana dish limecheza
NIpe sababu za kuniona dish lime yumba .
 
zama zinabadilika, unapaswa kubadilika pia.
 
Nime review your comments inaonekana something is wrong with you

First unataka apriciation watu wakutambue wewe ni nani hii inawezekana unapoishi watu hawakupi attention you live like a stranger

Mtu mzima km wewe kuleta alegetion za kufikirika you must be suffering from mental health hata unavyocoment something is missing
NIpe sababu za kuniona dish lime yumba .
 
Siku zote allegations za namna hii huchukuliwa kama ni za kufikirika na ndio maana uta sikia mtoto kabakwa na nyie wabakaji ndio wa kwanza kujifanya kuuliza eti kwanini hukusema miaka yote, yote ni njia ya kujilinda uhalifu wenu , kama hapa una nitengeneza ki saikolojia ili ni jione mjinga ,kichaa , mpubavu na nikae kimya na wengine walio pitia same situation waogope kabisa to com forward, ili muendele raha zenu za ku abuse watoto, hizo tackticks zenu nyie pedophiles , sikai kimya hata uniite chizi .
 
sasa kama ni hivyo mbona ushahidi upo

Btw sijawahi kuwaza kufanya huo unyama
 
Inasikitisha sana! Yani walimu baada ya kuwa mfano kukemea hizo tabia ndiokwanza wanaziishi!!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…