Mwalimu mdhalilishaji watoto wa kiume Oysterbay yupo wapi siku hizi?

Mwalimu mdhalilishaji watoto wa kiume Oysterbay yupo wapi siku hizi?

lifanyie kazi hilo wacha ubishi
Kama ulikua kijijini na umeanza tuumia internet juzi , basi ujue " LOL , LMAOF" ziko siku ningi kabla hujaja mjini na kudhani ni misemo ya ki gay, tume anza tumia chatrooms toka gay curios kama nyie hamja chukua mitandao na kuifanya yenu na LGBT yenu , ungejua hilo kama unge kulia mjini . Ttozo mnao tumia itandao baada ya Facebook kuja mna shida sana .
 
Nilikuwa nakuona mtu unayejitambua kumbe mpuuzi tu

Unaandika vitu vya kufikirika then unataka upewe fact

Check your mental health status unaonekana dish limecheza
Kuchelewa sio tatizo hatuwezi ficha minyanyaso hiyo sababu tuu eti kulinda Institution , watoto walikua abused ( Allegedly) na wengine tuli experience kuulizwa maswali ya sio ya kawaida na huyo alleged monster .
 
WE JAMAA UNA AKILI TIMAMU KWELI.???

UNAMTAFITA KWA LENGO GANI????

MTU MWENYE AKILI TIMAMU hawezi kuandika USHENZI kama Huu.

Kwanini usimtaje kwa majina Huyo Mwalimu???

Kama una picha zake ungeziweka hapa

Pia kama ingewezekana tumfungulie MASHAKA ya Ulawiti.

NATAKA NIJUE HAYA.
Siwezi taja jina sababu hizo ni tuhuma zangu moja na nimeweka hapa ili wengine wajitokeze waseme kama nao wame weza patwa a unyanyasaji huu, hapo ndio tungeweza fanya kitu, Mimi niliulizwa swali , je swahili hilo lilikualinapelekea nini ,s ina uhakika sababu hakuendelea ila wako ambao siwajui wako wapi kwa sasa ambao nilisikia wali kuwa abused sexually hao ndio nilitaka wajitokeze waseme hapa kwasababu ID zao hatuwezi zijua . from ther ndio tungejua tunafanyaje to protect other kids, jambo lolote linaanza na kuongea .
 
Nilikuwa nakuona mtu unayejitambua kumbe mpuuzi tu

Unaandika vitu vya kufikirika then unataka upewe fact

Check your mental health status unaonekana dish limecheza
NIpe sababu za kuniona dish lime yumba .
 
Kama ulikua kijijini na umeanza tuumia internet juzi , basi ujue " LOL , LMAOF" ziko siku ningi kabla hujaja mjini na kudhani ni misemo ya ki gay, tume anza tumia chatrooms toka gay curios kama nyie hamja chukua mitandao na kuifanya yenu na LGBT yenu , ungejua hilo kama unge kulia mjini . Ttozo mnao tumia itandao baada ya Facebook kuja mna shida sana .
zama zinabadilika, unapaswa kubadilika pia.
 
Nime review your comments inaonekana something is wrong with you

First unataka apriciation watu wakutambue wewe ni nani hii inawezekana unapoishi watu hawakupi attention you live like a stranger

Mtu mzima km wewe kuleta alegetion za kufikirika you must be suffering from mental health hata unavyocoment something is missing
NIpe sababu za kuniona dish lime yumba .
 
Nime review your comments inaonekana something is wrong with you

First unataka apriciation watu wakutambue wewe ni nani hii inawezekana unapoishi watu hawakupi attention you live like a stranger

Mtu mzima km wewe kuleta alegetion za kufikirika you must be suffering from mental health hata unavyocoment something is missing
Siku zote allegations za namna hii huchukuliwa kama ni za kufikirika na ndio maana uta sikia mtoto kabakwa na nyie wabakaji ndio wa kwanza kujifanya kuuliza eti kwanini hukusema miaka yote, yote ni njia ya kujilinda uhalifu wenu , kama hapa una nitengeneza ki saikolojia ili ni jione mjinga ,kichaa , mpubavu na nikae kimya na wengine walio pitia same situation waogope kabisa to com forward, ili muendele raha zenu za ku abuse watoto, hizo tackticks zenu nyie pedophiles , sikai kimya hata uniite chizi .
 
Yes hakuni nyanyasa, ila alitaka kuninyanyasa na habari zilikuwepo ame nyanyasa fulani na fulani, ila siku zote hawa pedophiles wana lindwa na watu kama nyie msio taka amini wala waza haya mambo yana wezekana watoto kudhalilisha , au labda utakuta na yie wenyewe ni pedophile na manaogoa uzi kama huu una weza wa expose wa mlio fanyia watoto.
Kuna kisa kimoja nilishuhudia , kulikua na mwanafunzi mmoja mkorofi sana , huyo mwanafunzi likua ni wale bully , aliye kua anapenda wapiga wanafunzi wengine wakiwa wanatoka shuleni ,yani mkiwa shuleni ana kufanyia ubabe , kama haumpi pesa ya kula ana kuambia ngoja tukitoka shule utaona, mkiwa njiani kurudi nyumbani ( sababu wengi wetu tumeishi jirani na shule so tunatembea tuu kwenda nyumbani) basi huyo mwanafunzi anaanza kutu dunda mangumi, wengine mpaka tukawa tunabadili njia kurudi home kumkimbia huyo jamaa alituonea sana , yeye ni wale wanafunzi walio kuja Obay kwa mjomba wake kuishi alitokea kijijini , hivyo alikua na malezi duni na nadhani alikua hapewi pesa ya ula shuleni .
Ikatoke kibaya zaidi ni kwamba , naye tukawa naye mafundisho, sasa utamkwepa ukitoka shule lakini utakumbana naye mkitoka mafundisho ,hapo ikawa balaa zaidi .
Kuna siku kwa ubabe wake , akaazna kumpiga mwanafunzi mmoja tukiwa tuna toka mafundisho ,yule mwanafunzi akawa analia na ndipo huyo mwalimu akamuona ,akamuuliza , yule mwanafunzi akasema , kilicho toke yule mwalimu aka muita yule mwanafunzi mkorofi , ana mchukua na kumpeleka chumbani kwake ambapo ni hapo hapo nje ya Kanisa alikua anaishi .
Baada ya kuingia ndani naye huyo mwanafunzi, sisi tukasogea mlangoni tukitaka sikiliza na ukawa tuna sikia.
Kikweli hatukuona kitu ila kwa sasa mimi mimi mzima ndio nimekuja pata wazo kwamba kile kilio nilicho sikia kule ndani sio cha mtu kuchapwa bakora, jamaa alikua analia kama anaumia kitu kina mwingia , halafu alikuwa akilia ana mwambia "kimya" kwa kumgombeza , tulimsikia analia kabisa huko ndani , sisi kwa utoto tukadhani ana chapwa basi tukaondoka.
Baada ya muda naye tukamuona ame toka huko ndani ana lia, wakati tunarudi nyumbani tukiwa njiani yule mwanafunzi hakutusogelea kabisa, aka yuko nyuma kwa mbali ana rudi nyumbani huku analia njia nzima.
Toka siku hiyo huyo mwanafunzi alibadilika kabisa, hakuwa hi tu bully tena , sasa siwezi sema ali nyanayswa ila kuna uwezekani sababu ile milio ya mle ndani kwa sasa naweza sema ilikua ni ya mtu ana bakwa na kwanini huyo mwana funzi behavior yake ili badilika ghafla ? .Kipo kisa kingine ambacho nacho nili hadithiwa na victim himself .
sasa kama ni hivyo mbona ushahidi upo

Btw sijawahi kuwaza kufanya huo unyama
 
Inasikitisha sana! Yani walimu baada ya kuwa mfano kukemea hizo tabia ndiokwanza wanaziishi!!!!
 
Back
Top Bottom