Mwalimu mdhalilishaji watoto wa kiume Oysterbay yupo wapi siku hizi?

Mwalimu mdhalilishaji watoto wa kiume Oysterbay yupo wapi siku hizi?

Ilikuwa 1986 na kuendelea ,alikuwa kama kibonge kiasi na alikua anavaa mkanda kama mnene hivi, alikua ana endesha pikipiki , kidogo kama na mkumbuka anataka kufanana kama na rais Mwinyi (Ali Hassan) kinamna fulani.
Alishafariki uyo hata Wewe pia ni tia maji tia maji tubu dhambi mkuu km ulifanya mafundisho miaka 1986 andika usia
 
Jina sikumbuki , ila alikuwa ana Pikipiki alikua anakuja hata Oyeterbay Primary kufanya mafundisho ya vipindi vya dini .
Sasa kama jina humkumbuki watu wakisema hii chai utakataa?

Toa jina na ushahidi kamili kama ni ya kweli then sheria itafata mkondo Ila sio kuchafua watu bila sababu za msingi.
 
Inaonekana umechelewa kuja mtandaoni pamoja na umri kuwa umesogea mzee mweanzangu

Unachokosea unauliza kwa lengo la kuharibu sifa ya taasisi hapa hata km ni uongo maadui wataandika kila uongo kuthibitisha malengo yako

Kuwa nakini
Kuchelewa sio tatizo hatuwezi ficha minyanyaso hiyo sababu tuu eti kulinda Institution , watoto walikua abused ( Allegedly) na wengine tuli experience kuulizwa maswali ya sio ya kawaida na huyo alleged monster .
 
Ila weee ni muongo sana dogo tutoleee upuuzi.
Ndio nyie mnao sababisha watoto wasiseme wanacho pitia kwa kuwambia waongo. Siku zote kama mtoto anakuuata ana kuambia kitu , hata kama unaona hakiwezekani na hukiamini , kitu cha kwanza kufanya unatakiwa ni kumuonyesha kwamba una muamini ana cho kosema, then wewe kama mzazi /mlezi ,usikurupuke , anza kufanya uchunguzi wako kuona kama mtoto anasema ukweli au la , hupaswi kabisa kumuonyesha kwamba humuamini , ukifanya hivyo ata kuja kuwa ana akuficha mengi sana anayo pitia sababu ya ujinga wakuto kuwa na maarifa.
 
Sasa kama jina humkumbuki watu wakisema hii chai utakataa?

Toa jina na ushahidi kamili kama ni ya kweli then sheria itafata mkondo Ila sio kuchafua watu bila sababu za msingi.
Ndio sababu nimeuliza kama kuna yoyote atakuja na story nyingine yaku eleza hapa manyanyaso aliyo pitia.
Kisa kingine ni rafiki yangu, yeye naye aliitwa kama mimi, alipo ulizwa akaambiwa kwamba, vijana na mna balehe mapema, kwa hiyo ni vizuri kuwa makini kutofanya uzinzi, aka mwamba vua nguo amuonyeshe uume na amuombe, dogo ikabidi atoe na huyo mwalimu aka ushika na kuanza muombea , hakumfanya kingine , sasa hiyo nime hadithiwa na the victim himself , je wengine wamefanyiwaje?
 
Alishafariki uyo hata Wewe pia ni tia maji tia maji tubu dhambi mkuu km ulifanya mafundisho miaka 1986 andika usia
oK, kwa hiyo ni huyo aliye kuwa ana endesha pikipiki na mnene kiasi na ana fanana na Mwinyi?
 
Funga mjadara aliisha kufa na yeye analipwa na udongo Sasa au joka kubwa
 
Alizikwa Tyr unatakaje mbona mchokonozi Wewe?
Ok ume sema amezikwa sasa yoyote anaweza kuzikwa na labda kulikua na walimu wengine ndio maana nakuuliza ni huyo niliye mtaja muonekano wake ndio unaye msema?
 
Huyo anafikiri umekuja kuzusha kushambulia Kanisa lake...
Hapa anajaribu Tu kukufunga mdomo
Inawezekana na inawezekana na yeye ni mmoja wahao ma katekistas wanao abuse watoto so ana hofu hii story ina weza lipuka na yeye akaja tajwa humu .
 
WE JAMAA UNA AKILI TIMAMU KWELI.???

UNAMTAFITA KWA LENGO GANI????

MTU MWENYE AKILI TIMAMU hawezi kuandika USHENZI kama Huu.

Kwanini usimtaje kwa majina Huyo Mwalimu???

Kama una picha zake ungeziweka hapa

Pia kama ingewezekana tumfungulie MASHAKA ya Ulawiti.

NATAKA NIJUE HAYA.
 
Back
Top Bottom