Mwalimu Mkuu Shule ya Msingi Nzasa aonywa kwa kumwalika Amber Rutty kama mgeni shuleni

Mbona yule mkono wa baunsa leo ni mbunge wako na 'anakupigania' dhidi ya chanjo uchwara?
unalinganisha kula hadharani na kuliwa hadharani tena kutatuliwa rinda?

Gwaji boy kwenye jamii anastaharabika.

Amber ruty anashindwa kujistir vzr hata kwa wanafunzi, watoto watajifunza nini kwake?
 
Amber Rutty alikwisha hukumiwa na mahakama na kutumikia adhabu yake. Kuendelea kumuhukumu kwa makosa ambayo alisha adhibiwa nayo ni kumblack mail na kuingilia haki zake zilizopo kisheria.
Shida sio yeye wala dhambi zake....
Mavazi aliyovaa hayafai kwa mazingira hayo.
 
Taasisi nyingi za serikali zina usimamizi mkubwa kwenye mavazi ya wanao ingia. Iweje mwalimu mkuu kuruhusu watu wenye jina chafu na mavazi mabaya kwenye jamii kwenda kufanya ziara shuleni?

Mwalimu popote ulipo, umefanya tukio la kipum.bavu zaidi tangu kuwepo kwa dunia hii.
 

Mwalimu Chupu Chupu Huko 🤣🤣🤣
 
Tatizo la ambaruty sio kwamba nchi hii anafilwa peke yake a,a,a wanaofilwa wapo wengi tu, ila wenzake wanakula mikabinyau kimya kimya, lkn yeye akishafilwa anataka atoe na episode
Ila tatizo lake hapo shuleni nadhani mavazi na sio ule mchezo wake wa kugongwa barabara ya vumbi
 
Mavazi na maadali ndio chanzo cha rutyy kutengwa na jamii
 
Kweli sisi bado sana.

Au kwasababu huyo ni mbongo!

Angekuwa wa kutoka mamtoni hata angewatembelea nusu Uchi wasingesema chochote, ndio kwanza wangepongeza
 
Na bado kuna tabia ya kuwapeleka wasani
Kwenda kuwakatisha mauno watoto
Bllshyt

Ova
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…