Mwalimu Mpwayungu Village aishi milele

Akili za watanzania ni changamoto kaka!Sio tu kutufundishia watoto wetu,wametufundisha na sisi pia....sielewagi kabisa hii kasumba ya kuwadharau walimu.......Huwezi kuwa Dr wala lawyer bila mwalimu.....
Sio kuwa mwalimu wa primary ndio ana stahil heshima zaid?
Waalimu tuwaheshim guys, wanaish maisha duni sana lakin wana moyo sana kutufundishia watoto wetu
 
Hiyo si lazima iwe karatasi ya mwalimu. MPUUZI yeyote anaweza akamvimbisha bichwa MPUUZI nambari wani Mpwayungu
 
Akili za watanzania ni changamoto kaka!Sio tu kutufundishia watoto wetu,wametufundisha na sisi pia....sielewagi kabisa hii kasumba ya kuwadharau walimu.......Huwezi kuwa Dr wala lawyer bila mwalimu.....
Asante Kwa kuona umuhimu wetu
 
Akili za watanzania ni changamoto kaka!Sio tu kutufundishia watoto wetu,wametufundisha na sisi pia....sielewagi kabisa hii kasumba ya kuwadharau walimu.......Huwezi kuwa Dr wala lawyer bila mwalimu.....
Kwakwel hata mimi huwa inaniacha na maswali sana kwamba watu wanapata vipi ujasiri wa kuwadhalilisha hawa watu muhimu
 
🀷
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…