Sio kuwa mwalimu wa primary ndio ana stahil heshima zaid?
Waalimu tuwaheshim guys, wanaish maisha duni sana lakin wana moyo sana kutufundishia watoto wetu
Asante Kwa kuona umuhimu wetuAkili za watanzania ni changamoto kaka!Sio tu kutufundishia watoto wetu,wametufundisha na sisi pia....sielewagi kabisa hii kasumba ya kuwadharau walimu.......Huwezi kuwa Dr wala lawyer bila mwalimu.....
AahaaaaHiyo si lazima iwe karatasi ya mwalimu. MPUUZI yeyote anaweza akamvimbisha bichwa MPUUZI nambari wani Mpwayungu
Kwakwel hata mimi huwa inaniacha na maswali sana kwamba watu wanapata vipi ujasiri wa kuwadhalilisha hawa watu muhimuAkili za watanzania ni changamoto kaka!Sio tu kutufundishia watoto wetu,wametufundisha na sisi pia....sielewagi kabisa hii kasumba ya kuwadharau walimu.......Huwezi kuwa Dr wala lawyer bila mwalimu.....
Watanzania wengi hawajielewiKwakwel hata mimi huwa inaniacha na maswali sana kwamba watu wanapata vipi ujasiri wa kuwadhalilisha hawa watu muhimu
Afu grammar mbovuHUYU NI WEWE UMEANDIKA.
HALAFU MWALIMU MZIMA UNA MUANDIKO MBAYA HIVI?[emoji23][emoji23]
HALAFU NILIJUA WEWE NI MWALIMU WA SEKONDARI KIDGO NKUHESHIMU ILA KUMBE WEWE NI MWALIMU WA PRIMARY
[emoji23][emoji23][emoji23]
HOVYOOOO
Grammar Kama ni mbovu we rekebisha tu,kiingereza sikuzaliwa nachoAfu grammar mbovu
Binafsi,mna heshima zangu nyingi sana,sana!Mungu awatie nguvuAsante Kwa kuona umuhimu wetu
Inashangaza πKwakwel hata mimi huwa inaniacha na maswali sana kwamba watu wanapata vipi ujasiri wa kuwadhalilisha hawa watu muhimu
Asante mkuuBinafsi,mna heshima zangu nyingi sana,sana!Mungu awatie nguvu
Mrembo JohannaInashangaza π
π€·Kwa kazi nzuri iliyotukuka ya kuwatoa watoto wetu ujinga,mwanafunzi wake mmoja huko mikoa ya kusini ameona amkumbuke Kwa njia hii
Mwanafunzi huyo ambaye ameajiriwa mwaka huu hapa Katavi wilaya ya Tanganyika ameamua kulitaja jina la mwalimu huyu nguri/nguli katika moja ya maswali yake
Mwalimu aheshimiwe popote na kila mtu,
View attachment 2679748
Mwalimu ni mungu wa tatu duniani
[emoji1666]Sio kuwa mwalimu wa primary ndio ana stahil heshima zaid?
Waalimu tuwaheshim guys, wanaish maisha duni sana lakin wana moyo sana kutufundishia watoto wetu
Niambie Tajiri la Dunia!Mrembo Johanna
πͺπͺπͺπͺπͺ
Aahaaaaa,dahOyaaaaaaa weeee Rabi Mpwayungu Village , mbona una pendeka hivi ??? Au mkeo hatoshi ??
Wapo wapumbavu hudharau hata mama mzazi kama Mpwayungu!Akili za watanzania ni changamoto kaka!Sio tu kutufundishia watoto wetu,wametufundisha na sisi pia....sielewagi kabisa hii kasumba ya kuwadharau walimu.......Huwezi kuwa Dr wala lawyer bila mwalimu.....