Kazakh destroyer
JF-Expert Member
- Nov 16, 2017
- 3,278
- 6,843
mkuu kwa mujibu wa vitabu vya dini tauni ni ugonjwa wowote wa mlipuko unaosababisha vifo vingi kwa mara moja....Hawa matapeli kumbe bado wapo na kushindwa kuponyesha corona? Ona linavyopotosha , plague/Tauni inaletwa na bacterium Yersinia pestis , corona ni virus, wapi na wapi!
Bado utapeli umejichimbia kwenye vichwa vyao
Taun ni ugonjwa ambao unaua watu wengi kwa mda mfupi kwa hiyo hata Spanish flu ilikua tauni, shida moja watu wamekariri lakin inajulikana neno moja linaweza kuwa na maana Zaid ya moja lakin watu wanajifanya hawajui
Ndo maana nikasema kwenye lugha neno linaweza likawa na maana tofauti tofauti kulingana na linapotumikaNa tauni ni kibiblia. ugonjwa wowote mbaya wa kuambukiza kwenye biblia uliitwa tauni.
Sent using Jamii Forums mobile app
| 2 Samuel 24:15 King James Version (KJV) 15 So the Lord sent a pestilence upon Israel from the morning even to the time appointed: and there died of the people from Dan even to Beersheba seventy thousand men. |
Man hiyo ni Wikipedia haiaminiki sanaaKwanza tauni ni plague sio corona na kama hii hali ya sasa ndo hio iliyotabiriwa.......View attachment 1437804View attachment 1437806 hii tauni yenyewe ya enzi hizo ilikua ni kitu gani kwenye biblia?
Haiaminiki ukimaanisha hakukua na tauni ulaya ama??Man hiyo ni Wikipedia haiaminiki sanaa
Tauni siyo neno la biblia!tauni
kwenye uislamu limetajwa toka enzi ya musa..Tauni siyo neno la biblia!
Mungu mlinzi wetuJana nyumbani tumeitwa na mzee tusali nashangaa neno likasomwa Zaburi ya 91.
Anasema kirusi kina amfifiro...Kwani Gwajima anasemaje
Waache hao hawamchukii mwalimu wanachukia nguvu zilizo ndani yake maana zinavuruga miungu yao waelewe tu😂😂😂Una uhakika amekusanya mtu anaongea mbele ya camera unasema amekusanya watu acha upotoshaji