Mwalimu Mwakasege: Corona ndio Tauni kwa mujibu wa Biblia

Mwalimu Mwakasege: Corona ndio Tauni kwa mujibu wa Biblia

Basi Ebola nayo ni TAUNI
Kwa mujibu Wa Mwl Mwakasege kama umesikiliza vizuri..alichosema ni kuwa kwenye biblia Tauni inamaanisha ugonjwa wowote unaoambukiza haraka na akalinganisha na Corona kwa sasa na bado ameongeza kwa kusema kuwa yeye anasimamia neno na si sayansi yetu hii ambayo ukitafsiri wote tutasema kuwa ni plague na organism ni Yersnia kama mdau alivyosema juu hapo

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tauni si ndio ugonjwa wa panya ama



Sent from my iPhone using Tapatalk
 
Hujaelewa chochote, yani kiufupi katika haya mambo wewe ni mweupe kabisa kichwani!
Amesema amefunga kula mpaka corona itoke, sasa nikasea kama ni hivyo basi majibu tutayaona baada ya siku kama 12 if he can sustain hunger. Wewe unakuja hapa unanitukana. Basi mweupe kichwani ni mama yako.
 
Umepotea na wewe tauni ni plague na ulishawatandikaga ulaya enzi hizo
Wewe ndio umepotea,plague ni bacteria infection na covid_19 ni viral infection kwahiyo ni vitu viwili tofauti hapo yaani covid_19 ni maradhi ambayo yanasababishwa na vimelea aina ya virusi ambao ni corona virus na plague inasababishwa na vimelea aina ya bacteria sasa usawa uko wapi hapo?
 
Mlipuko wa Corona sio wa kwanza kutokea duniani, huko nyuma kulitokeaa milipukko mingi ya magonjwa tena yaliuaa watu wengi zaidi ya Corona

Piga pesa tu kwenye hizo semina zako mwalimu Mwakasege

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wewe ndio umepotea,plague ni bacteria infection na covid_19 ni viral infection kwahiyo ni vitu viwili tofauti hapo yaani covid_19 ni maradhi ambayo yanasababishwa na vimelea aina ya virusi ambao ni corona virus na plague inasababishwa na vimelea aina ya bacteria sasa usawa uko wapi hapo?
Plague ni ugonjwa wowote unao ua watu wengi kwa mda mfupi ndo maana kwenye version za biblia ya kingereza wametumia plague mfano Numbers 16:46, Kama waliokuletea dini na science wanakuambia ni pi plague na unawabishia aya
 
Wewe ndio umepotea,plague ni bacteria infection na covid_19 ni viral infection kwahiyo ni vitu viwili tofauti hapo yaani covid_19 ni maradhi ambayo yanasababishwa na vimelea aina ya virusi ambao ni corona virus na plague inasababishwa na vimelea aina ya bacteria sasa usawa uko wapi hapo?
Usawa uko kwenye kuuwa watu wengi kwa muda mfupi!

Hii ni kiroho zaidi.
 
Mwalimu Mwakasege amesema wanadamu wanapaswa kujihoji ni wapi tumemkosea Mungu kisha tutubu na kumrudia.

Mwakasege amesisitiza kuwa hii Corona siyo mpya bali ni ile Tauni iliyosemwa katika Biblia takatifu.

Mwalimu Mwakasege amesema hayo wakati wa semina inayoendelea huko Njiro Arusha na kesho ndio siku ya kufunga semina.

Source Upendo tv!
Si awaulize ccm mambo ya hovyo wanayoyafanya? Au naye ni miongoni mwa wale wachumia tumbo.
 
Usawa uko kwenye kuuwa watu wengi kwa muda mfupi!

Hii ni kiroho zaidi.
Kwa jinsi ulivyoiweka hiyo title, kwa mtu ambaye hakumsikiliza mwakasege hawezi kuelewa alichokuwa anamaanisha. Ndio maana wengi wanamshambulia kwa kwasababu ya hiyo title.
 
Kwa jinsi ulivyoiweka hiyo title, kwa mtu ambaye hakumsikiliza mwakasege hawezi kuelewa alichokuwa anamaanisha. Ndio maana wengi wanamshambulia kwa kwasababu ya hiyo title.
Mwakasege hakumung'unya maneno alisema Corona ni tauni!
 
Biblia inatofautisha sana magonjwa. Yameandikwa kwa majina yake na maelezo yake tofauti. Mfano Ukoma ulikuwa na maelekezo yake na tauni na majipu.

Kwa mujibu Wa Mwl Mwakasege kama umesikiliza vizuri..alichosema ni kuwa kwenye biblia Tauni inamaanisha ugonjwa wowote unaoambukiza haraka na akalinganisha na Corona kwa sasa na bado ameongeza kwa kusema kuwa yeye anasimamia neno na si sayansi yetu hii ambayo ukitafsiri wote tutasema kuwa ni plague na organism ni Yersnia kama mdau alivyosema juu hapo

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom