mjingamimi
JF-Expert Member
- Aug 3, 2015
- 42,209
- 51,004
Basi Ebola nayo ni TAUNI
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa mujibu Wa Mwl Mwakasege kama umesikiliza vizuri..alichosema ni kuwa kwenye biblia Tauni inamaanisha ugonjwa wowote unaoambukiza haraka na akalinganisha na Corona kwa sasa na bado ameongeza kwa kusema kuwa yeye anasimamia neno na si sayansi yetu hii ambayo ukitafsiri wote tutasema kuwa ni plague na organism ni Yersnia kama mdau alivyosema juu hapo
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app