Mwalimu Mwakasege: Corona ndio Tauni kwa mujibu wa Biblia

Mwalimu Mwakasege: Corona ndio Tauni kwa mujibu wa Biblia

Halafu tauni Ina ambukizwa na panya Kama sijakosea
Biblia ya kingereza inasema ni plague numbers 16:46, Sasa Kama hao waliotuletea dini wanaosema ni plague, kwa kiswahili ndo tauni

Plague au tauni Ina maana Zaid ya moja, mosi ni ugonjwa Kama ugonjwa, na pili ni ugonjwa unao ua watu wengi kwa mda mfupi, kwa hiyo alivyosema Corona ni plague akukosea
 
Mwalimu Mwakasege amesema wanadamu wanapaswa kujihoji ni wapi tumemkosea Mungu kisha tutubu na kumrudia.

Mwakasege amesisitiza kuwa hii Corona siyo mpya bali ni ile Tauni iliyosemwa katika Biblia takatifu.

Mwalimu Mwakasege amesema hayo wakati wa semina inayoendelea huko Njiro Arusha na kesho ndio siku ya kufunga semina.

Source Upendo tv!
Na tauni itakuwa nini!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Naona hukunielewela, mimi niliuliza ili kuelewweshwa kama ulivyofanya hapa ndio nimeelewa
Ok sawa sawa mkuu

your welcome,ndo hivyo mkuu.
Hana audience yoyote,..kwa hiyo ule ukumbi ameuweka pale kwa sbabu anafuatiliwa na watu wengi zaidi

Kesho nayo ni siku jaribu kuingia you tube mida ya saa kumi na nusu hiv had kumi na mbili then jaribu kumsearch utamwona.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ok sawa sawa mkuu

your welcome,ndo hivyo mkuu.
Hana audience yoyote,..kwa hiyo ule ukumbi ameuweka pale kwa sbabu anafuatiliwa na watu wengi zaidi

Kesho nayo ni siku jaribu kuingia you tube mida ya saa kumi na nusu hiv had kumi na mbili then jaribu kumsearch utamwona.

Sent using Jamii Forums mobile app
Nashukuru, namfuatilia Live UPENDO TV
 
Kwangu corona ni pigo sio tauni........na kama alivyosema corona ndo tauni iliyotabiriwa kwenye biblia je ile tauni iliyowatandika kule ulaya na kaskazini mwa afrika na ikaua watu wengi sana zaidi ya hii corona......japo corona mwisho wake haujafika ila pia idadi ya vifo bado haijafikia hata nusu ya tauni ya kipindi kile lile tukio nalo tutasemaje?? kama hii corona ndo huo utabiri wa biblia tauni ya kipindi kile haikua utabiri??? Pia kuna spanish influenza nayo vipi????
Kasome Numbers 16:46 utaelewa kwanini anasema korona ni tauni
 
Wale ni spiritual hawana dawa,
Si ndo wanafanya uponyaji? Sa wafanye sasa, wasisubiri mabingwa wanaoumiza vichwa vyao kutafuta ufumbuzi wa tatizo wamefanikiwa halafu wao waje na ule usanii wa wale wanawake zao wanaosemaga "nilipewa kila dawa hospitalini sikupona,ila nikaja hapa kwa mara ya kwanza mwezi wa nne mwanzoni,ukawa unaombea wagonjwa basi na mie kurudi nyumbani siku ile nikakuta mungu wako ametenda muujiza,yaaani (kwa sauti ya kike) nikajikuta nshapona korona.kwenda hospitali kupima wakanambia sina kirusi hata kimoja".
Nabii anamwuliza: hata kimoja?
Mwanamke anajibu: eeeh hata kimoja.
Kudadadaki.jinga kabisa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Si ndo wanafanya uponyaji? Sa wafanye sasa, wasisubiri mabingwa wanaoumiza vichwa vyao kutafuta ufumbuzi wa tatizo wamefanikiwa halafu wao waje na ule usanii wa wale wanawake zao wanaosemaga "nilipewa kila dawa hospitalini sikupona,ila nikaja hapa kwa mara ya kwanza mwezi wa nne mwanzoni,ukawa unaombea wagonjwa basi na mie kurudi nyumbani siku ile nikakuta mungu wako ametenda muujiza,yaaani (kwa sauti ya kike) nikajikuta nshapona korona.kwenda hospitali kupima wakanambia sina kirusi hata kimoja".
Nabii anamwuliza: hata kimoja?
Mwanamke anajibu: eeeh hata kimoja.
Kudadadaki.jinga kabisa

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwan wamekulazimisha uwaamin, we Kama umewaona ni matapeli wapotezee kwan uteseke
 
Kama hajasoma historia ninamkumbusha tu kuwa dunia kupitia nyakati ngumu haijaanza leo. Yapo magonjwa yaliua 20 millions per year, mengine 50 millions per 5 yrs. Mengine 250 millions per few years.
Corona ndani ya nusu mwaka imeua laki 3 tu licha ya idadi kubwa ya wanadamu kwasasa ukilinganisha na miaka hiyo.
Goma bado halijajulikana tutadumu nalo kwa muda gani.
 
Back
Top Bottom