Artifact Collector
JF-Expert Member
- Mar 7, 2019
- 6,617
- 10,205
Biblia ya kingereza inasema ni plague numbers 16:46, Sasa Kama hao waliotuletea dini wanaosema ni plague, kwa kiswahili ndo tauniHalafu tauni Ina ambukizwa na panya Kama sijakosea
Plague au tauni Ina maana Zaid ya moja, mosi ni ugonjwa Kama ugonjwa, na pili ni ugonjwa unao ua watu wengi kwa mda mfupi, kwa hiyo alivyosema Corona ni plague akukosea