Artifact Collector
JF-Expert Member
- Mar 7, 2019
- 6,617
- 10,205
Tauni Ina maana nyingi, kwenye lugha maneno Yana maana Zaid ya moja, tauni ni ugonjwa, Ila pia maana nyingine ni ugonjwa unao ua watu wengi kwa mda mfupiCorona sio tauni
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tauni Ina maana nyingi, kwenye lugha maneno Yana maana Zaid ya moja, tauni ni ugonjwa, Ila pia maana nyingine ni ugonjwa unao ua watu wengi kwa mda mfupiCorona sio tauni
Uko sahihi, wengi humu wazushi tu.Mwakasege ajakusanya watu alikua anaongea mbele ya camera bila ya watu tuacheni upotoshaji
sijasema haiwezekani nisome tena, "alikuwa jukwaani ikimaanisha ni uwanjani" wewe kwa akili yako unaweza kufunga Jukwaa kisha ukahubiri bila wasikilizaji?Kwan haiwezekan yeye kuhubiri bila audience acha kukariri
Exactly!
Alisema mwanzon kwamba Niko na camera tu lakin watu wameshaanza kuzushaUko sahihi, wengi humu wazushi tu.
Umeangalia mahubir tokea jana ijumaa?sijasema haiwezekani nisome tena, "alikuwa jukwaani ikimaanisha ni uwanjani" wewe kwa akili yako unaweza kufunga Jukwaa kisha ukahubiri bila wasikilizaji?
Umefuatilia mahubiri yake tokea ameanza juzi, Kama ulikua unafuatilia huwez uliza maswali yasiyo na kichwasijasema haiwezekani nisome tena, "alikuwa jukwaani ikimaanisha ni uwanjani" wewe kwa akili yako unaweza kufunga Jukwaa kisha ukahubiri bila wasikilizaji?
Unabishana na Biblia bwashee?!Corona sio tauni
Zile kamera ni kwa ajili ya watu wa mitandaoni(LIVE-you tube) watu wa nje ya nchi na ndani + UPENDO TV + CABLE YA ARUSHA(jina limenitoka) + online Radiomhhh, kwamba hakuna audience, ? jana nimefuatilia kwenye TV naona yupo kwenye Jukwaa ila camera imeelekezwa kwake mwanzo mwisho, Je ni kwamba kaenda uwanjani bila ya kuwepo watu au wameamua kutoonesha waumini waliokuwepo uwanjani?
Utakuta hajawah kufuatilia lakin anakubishia wewe unayefuatilia ndo maajabu ya watanzaniaUmeangalia mahubir tokea jana ijumaa?
Tatizo lako umekariri kimwili hivyo inakuwia vigumu kuelewa " kiroho"Wameandika plague ila kwenye bibliia ya kiswahili wakisema tauni wanamaanisha huo ugonjwa wenyewe wa tauni na kama ni janga la kumaliza watu wengi hawajaliita tauni kwenye kitabu cha ufunuo wameandika ni mapigo na kuna sehemu wameandika misiba ila sehemu walizoandika tauni wamemaanisha huo ugonjwa wenyewe wa tauni....ila biblia za kiingereza plague imebeba maana 2 hio tauni yenyewe na hayo mapigo......mleta mada angesema ni mapigo na si tauni maana ukishasema tauni unaenda moja kwa moja kwenye ugonjwa wenyewe na si majanga ya kumaliza watu wengi
Mkuu hili jambo hujafatlia na huna facts, ungejua nini kimefanyika ungehoji!mhhh, kwamba hakuna audience, ? jana nimefuatilia kwenye TV naona yupo kwenye Jukwaa ila camera imeelekezwa kwake mwanzo mwisho, Je ni kwamba kaenda uwanjani bila ya kuwepo watu au wameamua kutoonesha waumini waliokuwepo uwanjani?
Hapa nimeanza kujifunza jambo!Alisema mwanzon kwamba Niko na camera tu lakin watu wameshaanza kuzusha
Ukisoma vizuri nimeuliza nipate kueleweshwaMkuu hili jambo hujafatlia na huna facts, ungejua nini kimefanyika ungehoji!
Kwangu corona ni pigo sio tauni........na kama alivyosema corona ndo tauni iliyotabiriwa kwenye biblia je ile tauni iliyowatandika kule ulaya na kaskazini mwa afrika na ikaua watu wengi sana zaidi ya hii corona......japo corona mwisho wake haujafika ila pia idadi ya vifo bado haijafikia hata nusu ya tauni ya kipindi kile lile tukio nalo tutasemaje?? kama hii corona ndo huo utabiri wa biblia tauni ya kipindi kile haikua utabiri??? Pia kuna spanish influenza nayo vipi????Tatizo lako umekariri kimwili hivyo inakuwia vigumu kuelewa " kiroho"
Corona ni tauni!
Nalipenda sana, napenda kuisoma usiku mara kwa mara. Big up kwa mzee wakoJana nyumbani tumeitwa na mzee tusali nashangaa neno likasomwa Zaburi ya 91.
Naona hukunielewela, mimi niliuliza ili kuelewweshwa kama ulivyofanya hapa ndio nimeelewaAisee nyie watu
Tatizo tuna ubishi wa kishamba!!!
Zile kamera ni kwa ajili ya watu wa mitandaoni(LIVE-you tube) watu wa nje ya nchi na ndani + UPENDO RADIO + CABLE YA ARUSHA
sasa pale hana audience na alisema mapema kuwa ni kwa njia ya Radio na Mitandao(you tube) + Upendo Tv na cable flani hivi ya Arusha
Na anasikika zaidi ya Radio 17+
Sasa endeleeni kuropoka humu
Sent using Jamii Forums mobile app
Nenda kwake mkuu!Kwani Gwajima anasemaje
Jana nyumbani tumeitwa na mzee tusali nashangaa neno likasomwa Zaburi ya 91.