DiasporaUSA
JF-Expert Member
- Aug 27, 2016
- 23,382
- 29,639
Anafunga saa ngapi hayo maombiMwalimu Mwakasege amesema wanadamu wanapaswa kujihoji ni wapi tumemkosea Mungu kisha tutubu na kumrudia.
Mwakasege amesisitiza kuwa hii Corona siyo mpya bali ni ile Tauni iliyosemwa katika Biblia takatifu.
Mwalimu Mwakasege amesema hayo wakati wa semina inayoendelea huko Njiro Arusha na kesho ndio siku ya kufunga semina.
Source Upendo tv!
kush and Wisdom