Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na wewe muongo Anthrax ni Kimeta kwa KiswahiliHii sio Tauni. Aache kudanganya watu.
Tauni ni Anthrax kwa kimombo, hili ni gonjwa lingine kabisa.
Unforgetable
Mkuu wewe ndio upo sahihi.Kwa mujibu Wa Mwl Mwakasege kama umesikiliza vizuri..alichosema ni kuwa kwenye biblia Tauni inamaanisha ugonjwa wowote unaoambukiza haraka na akalinganisha na Corona kwa sasa na bado ameongeza kwa kusema kuwa yeye anasimamia neno na si sayansi yetu hii ambayo ukitafsiri wote tutasema kuwa ni plague na organism ni Yersnia kama mdau alivyosema juu hapo
Sent using Jamii Forums mobile app
Dawa anayo ila sharti wagonjwa waende huko loliondo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hivi babu wa Loliondo anasemaje kuhusu ulaji huu uliokuja au yeye alishashiba moja kwa moja?
Kiswahili hakina utajiri wa maneno Soma biblia ya kingereza utaelewa, ugonjwa unao ua watu wengi kwa mda mfupi unaitwaje???Kwanza tauni ni plague sio corona na kama hii hali ya sasa ndo hio iliyotabiriwa.......View attachment 1437804View attachment 1437806 hii tauni yenyewe ya enzi hizo ilikua ni kitu gani kwenye biblia?
Una uhakika amekusanya mtu anaongea mbele ya camera unasema amekusanya watu acha upotoshajiMmh bado anakusanya watu na hii CORO??
wonders shall never seize[emoji849]
Sent using Jamii Forums mobile app
Kila tatizo ni fulsa Kama ulikua hujuiKila mtu anatumia huu ugonjwa kama fursa
Watu hawajaangalia jion hii wakat wa mahubir wanaongea tu pumbaMwakasege ajakusanya watu alikua anaongea mbele ya camera bila ya watu tuacheni upotoshaji
Wewewewe!!! Ni PLAGUE na unasambazwa na viroboto toka kwenye panya.Hii sio Tauni. Aache kudanganya watu.
Tauni ni Anthrax kwa kimombo, hili ni gonjwa lingine kabisa.
Unforgetable
Hama kwenu,, umeshakuwa mkubwa sasaJana nyumbani tumeitwa na mzee tusali nashangaa neno likasomwa Zaburi ya 91.
mhhh, kwamba hakuna audience, ? jana nimefuatilia kwenye TV naona yupo kwenye Jukwaa ila camera imeelekezwa kwake mwanzo mwisho, Je ni kwamba kaenda uwanjani bila ya kuwepo watu au wameamua kutoonesha waumini waliokuwepo uwanjani?Mwakasege ajakusanya watu alikua anaongea mbele ya camera bila ya watu tuacheni upotoshaji