johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Mwalimu Mwakasege amesema kabla vijana hawajaungana Katika Ndoa ni vema wajitafakari kama Mungu ndiye anawaunganisha kwa Imani na siyo Upendo pekee.
Mwalimu Mwakasege amesema Upendo ukipoa basi Imani inaibeba Ndoa yenu.
Inashangaza kuona kijana anaachwa kimapenzi anakimbilia Kujinyonga, amesema Mwalimu.
Source: Upendo tv
Mwalimu Mwakasege amesema Upendo ukipoa basi Imani inaibeba Ndoa yenu.
Inashangaza kuona kijana anaachwa kimapenzi anakimbilia Kujinyonga, amesema Mwalimu.
Source: Upendo tv